Mgeni mpya JF

Mgeni mpya JF

duh we una makosa mengi sana
1. Umejiunga tu na kutupatia chai, umesema ulikuwa unafuatilia jf kupitia simu ya "batani". Sawasawa
2. Umeingia tu na kujipa umalkia.

Anyway, karibu sana. Kwanza nikupe siri, Moderator ni Mbaga Jr
Pili, Ukiona kuna mtu anakusumbua niambie nimpe ban
NIsameheni sijui nifanyaj utaratibu mnipe ata pm sipajyi
 
Back
Top Bottom