Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,726
- 19,870
- Thread starter
- #41
hahahahahahahahhaahhah lohhhhh
Nimecheka dahhhh we hufai kwa kweli ..
usema ukweli matukio mengi ya udogoni ni vigumu sana kusahahu.
kilichokuwa kinanishangaza zaidi ni pale umuombe mzazi kitu . atakwambia fedha hamna subiri mwisho wa mwezi.
lakini mgeni akitokea iwe katikati ya mwenzi au la. hela za kwenda buchani sijui kununua mchele zinapo. huwa
nilikuwa najiuliza je wazazi wetu wanaweka hizi fedha akiba ajili wa wageni tu au? Na hapo siku mgeni anaondoka
atapewa nauli na fedha za kula njiani atabeba na maharage debe moja , mahindi debe tatu, maboga yaaani dahhhh.
Huu upuuzi ndo ulinifanya nianzishe topic hii ni moja ya indicator ya umasikini wa mawazo.Mtu unakuta kazaa matoto saba na bado ana mimba nyingine umeona huruma umchukue mmoja umsomeshe anataka kukuongezea na wengine na ukikataa lawama