Mgao wa umeme: Hospitali ya KCMC yasitisha baadhi ya huduma

Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.

=======

Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea adha wanayopitia wananchi huku Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC ikieleza athari inazopata kutokana na mgawo wa umeme.

Kukosekana kwa umeme kunaifanya KCMC, inayohudumia wananchi zaidi ya milioni 15, kusitisha baadhi ya huduma kwa muda, ikiwamo upasuaji, uzalishaji mitungi ya oksijeni, maji tiba na vipimo vya MRI na Digital Xray.

Wakati hali ikiwa hivyo KCMC, mikoa mbalimbali nchini nako kuna kilio kama hicho, huku wananchi wakidai maji na umeme ni kama watoto pacha.

Kukosekana kwa umeme kumesababisha baadhi ya maeneo yanayotumia pampu kukosa huduma ya maji.

Katika mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro, Mbeya, Morogoro na Arusha, shughuli nyingi za kiuchumi zinazotumia umeme zimetatizika, hasa saluni, wachomea vyuma (welding), wauza samaki, mashine za kusaga, hoteli na baa.

Tatizo la upungufu wa maji linaelezwa linatokana na ukame na mabadiliko ya tabianchi.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (Muwsa), imewajulisha wateja wake kuwa kukatika kwa umeme mara kwa mara kumeathiri uzalishaji na usambazaji maji ya kutosha kutoka kwenye visima vinavyotumia pampu.

Visima hivyo vya Mawenzi na KCMC vimesababisha maeneo ya Shanty Town, CCP, Kitandu, Rau, Kiborlon, Ngurumo ya Upako, Sango na Mdawi Manispaa ya Moshi kuwa na upungufu wa maji kwa wateja wake.

Hali ilivyo hospitali ya KCMC
Ofisa Habari wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Gabriel Chisseo alisema maji kwa sasa ni changamoto kubwa kwa kuwa kisima chao kinategemea mitambo ya umeme kusukuma maji, lakini umeme nao ni changamoto.

“Kwa hiyo kama umeme ukiwa hakuna, hiyo sio athari ya kwanza. Kuna wagonjwa wako ICU, kuna mashine zinazotumia umeme, kuna vyumba vya upasuaji ambavyo upasuaji unaendelea na tunafanya kazi saa 24,” alisema Chisseo.

“Wakati mwingine inaweza kusababisha kifo kwa sababu mtu anatakiwa kufanyiwa upasuaji, kama ajali imetokea majeruhi wamekuja wanataka kufanya upasuaji, vyombo vinavyotumia umeme lakini umeme hakuna.

“Lingine Watanzania tunaendesha hospitali kwa kuchangia huduma, sasa unakuta umeme unapokuwa umekatika tunatakiwa tununue mafuta, sasa hela tuliyokuwa tupeleke kwenye dawa na vitenganishi inabidi tukanunue umeme,” alisema Chisseo.

“Kwa mfano mtambo wa kuzalisha oksijeni hauna uwezo wa kutumia jenereta, ni lazima tuache kuzalisha mitungi kwa sababu ni lazima tuwe na umeme mkubwa. Ina maana kile kiwanda cha kuzalisha kinasimama na ile mashine haitaki mgawo.

“Ukiiwasha umeiwasha mpaka inapomaliza procedure (utaratibu) wake wa kuzalisha gesi. Sasa ukishaipelekea umeme wa mgawo au wa kukatikakatika kwanza unaiua mashine, huzalishi inavyopaswa na wagonjwa wanakosa mitungi,” alisema.

Pia, alisema hata kwenye maji tiba mitambo yao inahitaji umeme mkubwa, hivyo hawazalishi.

Dar es Salaam ni mtafutano
Kama ilivyo katika mikoa mingi nchini, hali si shwari katika jiji la Dar es Salaam, huku mkazi wa Sinza, Hanifa Athumani akisema kutokana na changamoto ya ukosefu wa maji inamlazimu kutumia gharama kuyanunua.

“Yani kwa jana (juzi) nimetumia kama Sh6,000 kwa ajili ya kununua maji kutokana na dumu moja la lita 20 kuuzwa hadi Sh700, inaumiza kwa kweli,” alisema Hanifa, akitaka Serikali ije na mipango ya kutatua adha hiyo. Mjasiriamali mwenye saluni ya kike eneo hilo, Mariam Sultani alisema upungufu wa maji umewahi kumkosesha wateja kadhaa waliokuwa wakihitaji huduma ya kuosha nywele saluni hapo.

“Napata changamoto kwenye biashara kutokana na kukosa maji na gharama ya kununua kwa madumu ni kubwa, hivyo wateja wanaohitaji kuosha nywele wanashindwa kupata huduma hiyo na siwezi kupandisha bei,” alisema Mariam.

Edward Nombo ambaye ni mkazi wa Tabata Magenge, alisema kutokana na ugumu wa kupata huduma ya maji kwa matumizi ya nyumbani, anatumia muda mwingi kutafuta maji kwa watu wenye visima.

“Ukienda kwa wanaomiliki matanki unakuta foleni kubwa, ili upate madumu mengi unatakiwa uwahi foleni,” alisema.

Pia, alisema kutokana na uhaba huo, wanaomiliki matanki wamepandisha bei kutoka Sh200 hadi 400 kwa dumu la lita 20.

Mshikemshike
Wakazi wa Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wamedai kukatika kwa umeme na maji kunakoendelea kunasababisha baadhi ya biashara kusimama, huku wakidai kuna wakati umeme hukatika kwa siku nzima hadi usiku.

Mmiliki wa saluni iliyopo mjini Moshi, Happy Tarimo alisema juzi umeme na maji vilikatika kwa siku nzima na kurejeshwa usiku, hali iliyosababisha shughuli za saluni kusimama kwa kuwa aina ya biashara yake hutumia maji na umeme.

“Biashara yangu inatumia umeme na maji, vyote vinakatwa kwa siku nzima nashindwa kufanya kazi, nilikopa fedha marejesho yanahitajika, naomba Serikali itusaidie hili suala maana sasa limekuwa ni janga,” alisema Tarimo.

Muuzaji wa samaki, Neema Mbuya alisema wafanyabiashara wengi wameingia kwenye mikopo na taasisi za fedha, hivyo kukatika kwa umeme kunasababisha samaki kuharibika na kupata hasara.

Huko Arusha, inaelezwa kuwa changamoto ya mgawo wa umeme na maji imekuwa adha kwa wananchi, huku Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Arusha Fanikiwa, Andrea Ngobole akisema kukosekana kwa umeme kunasababisha kudorora mazoezi ya vitendo.

Mkoani Morogoro hali ni hivyo hivyo, inaelezwa imeathiri shughuli za kiuchumi huku Catherine Bombwe anayemiliki saluni akisema kukatika kwa maji na umeme kumesababisha kipato chake kushuka.

Katika hatua nyingine, wakazi wa Jiji la Mbeya wamedai kwa sasa wanalazimika kutumia mishumaa na maji ya visima na mito kwa ajili ya matumizi ya majumbani kutokana na uhaba wa umeme na maji ulioikumba nchi kwa sasa.

Mkazi wa Sabasaba, Hadija Mbika alisema wamekuwa na wakati mgumu wa namna ya kuhudumia familia pindi kunapokuwa na mahitaji ya huduma hiyo muhimu kwa binadamu.

“Kwa mfano mimi ni mwanamke, napaswa huduma zote kutumia nishati ya umeme na maji kama kuoga na kunyoosha nguo, hivyo kukosekana huduma hizo nakosa kuwa mtanashati,” alisema Hadija.

Habari hii imeandikwa na Daniel Mjema, Fina Lyimo (Moshi), Mariam Mbwana, Tuzo Mapunda (Dar es Salaam), Hamida Shariff (Morogoro), Mussa Juma (Arusha) na Hawa Mathias (Mbeya)

Chanzo: Mwananchi
Kwa hiyo hiii awamu haijawafuta machozi na mateso?? Waliyoyapitia??
 
Halafu Wachaga wanaona adui yao mkubwa ni Magufuli (RIP) ingawaje hajawahi kuwakatia umeme wala maji (mahitaji makuu ya Binadamu) kwanza hata aliwajengea viwanda na reli, hata kaacha daraja la mto Wami linajengwa ambalo Mbowe wenu alililamikia, sasa hivi madame hata umeme hospitali yenu Kuu anawakatia.
Hapo ndipo hao Wachagga wanapoonesha ujinga wa hali ya juu!
 
Halafu Wachaga wanaona adui yao mkubwa ni Magufuli (RIP) ingawaje hajawahi kuwakatia umeme wala maji (mahitaji makuu ya Binadamu) kwanza hata aliwajengea viwanda na reli, hata kaacha daraja la mto Wami linajengwa ambalo Mbowe wenu alililamikia, sasa hivi madame hata umeme hospitali yenu Kuu anawakatia.
Kuweka kumbukumbu sawa, wachaga wana ugomvi na CCM tangu enzi za Tanu kabla na baada ya uhuru. Na hiyo ni kwa sababu moja kuu, watawala wa CCM (zamani Tanu) waliwahi kusema na kujiapiza kuhakikisha wanawafanya wachaga kuwa mafukara na kuwanyima nafasi ya kutaka kuliongoza hili taifa. Kama ilivyo CCM zanzibar dhidi ya wapemba na itikadi zao. Haitatokea wapemba wakaipenda CCM kwa ujumla wao au wachaga wakaipenda CCM kwa ujumla wao. Haiwezekani.

Ugomvi binafsi wa wachaga na Magufuli uliletwa na Magufuli mwenyewe, Magufuli hakutaka kuwatendea wema wachaga na kwa kauli zake mwenyewe aliwahi kutamka kuwa chini ya utawala wake, basi wachaga (wenyeji mkoa wa Kilimanjaro) watasubiri sana na angeendelea kuwashikisha adabu mpaka wakome!

Yote kwa yote kwa sasa Mama Samia ameamua kununua ugomvi usiomhusu, ameamua kugombana binafsi na wachaga kimakusudi na kwa lazima, kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe ni doa kubwa kwa Samia dhidi ya wachaga, halitaweza kufutika. Jambo moja ambalo mama Samia hakuwa kulijua kuhusu Mbowe, ni kuwa; mbele ya wachaga Mbowe ni mjumbe na alama ya amani, haki na maendeleo, ni mambo ambayo wachaga wamekuwa wakiyapigania toka mkoloni. Kama walivyo wapemba walivyompenda Maalim Seif huenda ndivyo hivyo wachaga kumpenda Mbowe.

Kumsingia mtu uongo tena uongo mbaya mbele ya jamii (mfano wa Samia kumsingizia Mbowe kuwa ni gaidi) kwa wachaga huko ni kujitafutia laana, na ipo siku laana itajibu tu.
 
Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.

=======

Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea adha wanayopitia wananchi huku Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC ikieleza athari inazopata kutokana na mgawo wa umeme.

Kukosekana kwa umeme kunaifanya KCMC, inayohudumia wananchi zaidi ya milioni 15, kusitisha baadhi ya huduma kwa muda, ikiwamo upasuaji, uzalishaji mitungi ya oksijeni, maji tiba na vipimo vya MRI na Digital Xray.

Wakati hali ikiwa hivyo KCMC, mikoa mbalimbali nchini nako kuna kilio kama hicho, huku wananchi wakidai maji na umeme ni kama watoto pacha.

Kukosekana kwa umeme kumesababisha baadhi ya maeneo yanayotumia pampu kukosa huduma ya maji.

Katika mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro, Mbeya, Morogoro na Arusha, shughuli nyingi za kiuchumi zinazotumia umeme zimetatizika, hasa saluni, wachomea vyuma (welding), wauza samaki, mashine za kusaga, hoteli na baa.

Tatizo la upungufu wa maji linaelezwa linatokana na ukame na mabadiliko ya tabianchi.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (Muwsa), imewajulisha wateja wake kuwa kukatika kwa umeme mara kwa mara kumeathiri uzalishaji na usambazaji maji ya kutosha kutoka kwenye visima vinavyotumia pampu.

Visima hivyo vya Mawenzi na KCMC vimesababisha maeneo ya Shanty Town, CCP, Kitandu, Rau, Kiborlon, Ngurumo ya Upako, Sango na Mdawi Manispaa ya Moshi kuwa na upungufu wa maji kwa wateja wake.

Hali ilivyo hospitali ya KCMC
Ofisa Habari wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Gabriel Chisseo alisema maji kwa sasa ni changamoto kubwa kwa kuwa kisima chao kinategemea mitambo ya umeme kusukuma maji, lakini umeme nao ni changamoto.

“Kwa hiyo kama umeme ukiwa hakuna, hiyo sio athari ya kwanza. Kuna wagonjwa wako ICU, kuna mashine zinazotumia umeme, kuna vyumba vya upasuaji ambavyo upasuaji unaendelea na tunafanya kazi saa 24,” alisema Chisseo.

“Wakati mwingine inaweza kusababisha kifo kwa sababu mtu anatakiwa kufanyiwa upasuaji, kama ajali imetokea majeruhi wamekuja wanataka kufanya upasuaji, vyombo vinavyotumia umeme lakini umeme hakuna.

“Lingine Watanzania tunaendesha hospitali kwa kuchangia huduma, sasa unakuta umeme unapokuwa umekatika tunatakiwa tununue mafuta, sasa hela tuliyokuwa tupeleke kwenye dawa na vitenganishi inabidi tukanunue umeme,” alisema Chisseo.

“Kwa mfano mtambo wa kuzalisha oksijeni hauna uwezo wa kutumia jenereta, ni lazima tuache kuzalisha mitungi kwa sababu ni lazima tuwe na umeme mkubwa. Ina maana kile kiwanda cha kuzalisha kinasimama na ile mashine haitaki mgawo.

“Ukiiwasha umeiwasha mpaka inapomaliza procedure (utaratibu) wake wa kuzalisha gesi. Sasa ukishaipelekea umeme wa mgawo au wa kukatikakatika kwanza unaiua mashine, huzalishi inavyopaswa na wagonjwa wanakosa mitungi,” alisema.

Pia, alisema hata kwenye maji tiba mitambo yao inahitaji umeme mkubwa, hivyo hawazalishi.

Dar es Salaam ni mtafutano
Kama ilivyo katika mikoa mingi nchini, hali si shwari katika jiji la Dar es Salaam, huku mkazi wa Sinza, Hanifa Athumani akisema kutokana na changamoto ya ukosefu wa maji inamlazimu kutumia gharama kuyanunua.

“Yani kwa jana (juzi) nimetumia kama Sh6,000 kwa ajili ya kununua maji kutokana na dumu moja la lita 20 kuuzwa hadi Sh700, inaumiza kwa kweli,” alisema Hanifa, akitaka Serikali ije na mipango ya kutatua adha hiyo. Mjasiriamali mwenye saluni ya kike eneo hilo, Mariam Sultani alisema upungufu wa maji umewahi kumkosesha wateja kadhaa waliokuwa wakihitaji huduma ya kuosha nywele saluni hapo.

“Napata changamoto kwenye biashara kutokana na kukosa maji na gharama ya kununua kwa madumu ni kubwa, hivyo wateja wanaohitaji kuosha nywele wanashindwa kupata huduma hiyo na siwezi kupandisha bei,” alisema Mariam.

Edward Nombo ambaye ni mkazi wa Tabata Magenge, alisema kutokana na ugumu wa kupata huduma ya maji kwa matumizi ya nyumbani, anatumia muda mwingi kutafuta maji kwa watu wenye visima.

“Ukienda kwa wanaomiliki matanki unakuta foleni kubwa, ili upate madumu mengi unatakiwa uwahi foleni,” alisema.

Pia, alisema kutokana na uhaba huo, wanaomiliki matanki wamepandisha bei kutoka Sh200 hadi 400 kwa dumu la lita 20.

Mshikemshike
Wakazi wa Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wamedai kukatika kwa umeme na maji kunakoendelea kunasababisha baadhi ya biashara kusimama, huku wakidai kuna wakati umeme hukatika kwa siku nzima hadi usiku.

Mmiliki wa saluni iliyopo mjini Moshi, Happy Tarimo alisema juzi umeme na maji vilikatika kwa siku nzima na kurejeshwa usiku, hali iliyosababisha shughuli za saluni kusimama kwa kuwa aina ya biashara yake hutumia maji na umeme.

“Biashara yangu inatumia umeme na maji, vyote vinakatwa kwa siku nzima nashindwa kufanya kazi, nilikopa fedha marejesho yanahitajika, naomba Serikali itusaidie hili suala maana sasa limekuwa ni janga,” alisema Tarimo.

Muuzaji wa samaki, Neema Mbuya alisema wafanyabiashara wengi wameingia kwenye mikopo na taasisi za fedha, hivyo kukatika kwa umeme kunasababisha samaki kuharibika na kupata hasara.

Huko Arusha, inaelezwa kuwa changamoto ya mgawo wa umeme na maji imekuwa adha kwa wananchi, huku Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Arusha Fanikiwa, Andrea Ngobole akisema kukosekana kwa umeme kunasababisha kudorora mazoezi ya vitendo.

Mkoani Morogoro hali ni hivyo hivyo, inaelezwa imeathiri shughuli za kiuchumi huku Catherine Bombwe anayemiliki saluni akisema kukatika kwa maji na umeme kumesababisha kipato chake kushuka.

Katika hatua nyingine, wakazi wa Jiji la Mbeya wamedai kwa sasa wanalazimika kutumia mishumaa na maji ya visima na mito kwa ajili ya matumizi ya majumbani kutokana na uhaba wa umeme na maji ulioikumba nchi kwa sasa.

Mkazi wa Sabasaba, Hadija Mbika alisema wamekuwa na wakati mgumu wa namna ya kuhudumia familia pindi kunapokuwa na mahitaji ya huduma hiyo muhimu kwa binadamu.

“Kwa mfano mimi ni mwanamke, napaswa huduma zote kutumia nishati ya umeme na maji kama kuoga na kunyoosha nguo, hivyo kukosekana huduma hizo nakosa kuwa mtanashati,” alisema Hadija.

Habari hii imeandikwa na Daniel Mjema, Fina Lyimo (Moshi), Mariam Mbwana, Tuzo Mapunda (Dar es Salaam), Hamida Shariff (Morogoro), Mussa Juma (Arusha) na Hawa Mathias (Mbeya)

Chanzo: Mwananchi
TANZANIA OYEEEE,,,KAZI IENDELEEEDD

NYIE HANGAIKENI NA UMEME SISI TUNASUBILI NDEGE ZETU BANAAA

MTUACHE
 
KCMC ina support ya Good Samaratian Foundation kwa miaka nyingi sana. Kwani nini wao wameshindwa kujipanga vizuri?
Mgao was umeme sio jambo jipya kwetu kwanini wao hawajui hii issue pamoja na Maji?
 
Endeleeni kutetea monopoly ya TANESCO eti umeme ni serikali tuu na hauwezi kufanywa na private sector kwa issue za usalama ,sera za ovyo sijawahi kuona tangu nizaliwe, tatizo letu la umeme ni sera na rushwa sio umaskini
 
Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.

=======

Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea adha wanayopitia wananchi huku Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC ikieleza athari inazopata kutokana na mgawo wa umeme.

Kukosekana kwa umeme kunaifanya KCMC, inayohudumia wananchi zaidi ya milioni 15, kusitisha baadhi ya huduma kwa muda, ikiwamo upasuaji, uzalishaji mitungi ya oksijeni, maji tiba na vipimo vya MRI na Digital Xray.

Wakati hali ikiwa hivyo KCMC, mikoa mbalimbali nchini nako kuna kilio kama hicho, huku wananchi wakidai maji na umeme ni kama watoto pacha.

Kukosekana kwa umeme kumesababisha baadhi ya maeneo yanayotumia pampu kukosa huduma ya maji.

Katika mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro, Mbeya, Morogoro na Arusha, shughuli nyingi za kiuchumi zinazotumia umeme zimetatizika, hasa saluni, wachomea vyuma (welding), wauza samaki, mashine za kusaga, hoteli na baa.

Tatizo la upungufu wa maji linaelezwa linatokana na ukame na mabadiliko ya tabianchi.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (Muwsa), imewajulisha wateja wake kuwa kukatika kwa umeme mara kwa mara kumeathiri uzalishaji na usambazaji maji ya kutosha kutoka kwenye visima vinavyotumia pampu.

Visima hivyo vya Mawenzi na KCMC vimesababisha maeneo ya Shanty Town, CCP, Kitandu, Rau, Kiborlon, Ngurumo ya Upako, Sango na Mdawi Manispaa ya Moshi kuwa na upungufu wa maji kwa wateja wake.

Hali ilivyo hospitali ya KCMC
Ofisa Habari wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Gabriel Chisseo alisema maji kwa sasa ni changamoto kubwa kwa kuwa kisima chao kinategemea mitambo ya umeme kusukuma maji, lakini umeme nao ni changamoto.

“Kwa hiyo kama umeme ukiwa hakuna, hiyo sio athari ya kwanza. Kuna wagonjwa wako ICU, kuna mashine zinazotumia umeme, kuna vyumba vya upasuaji ambavyo upasuaji unaendelea na tunafanya kazi saa 24,” alisema Chisseo.

“Wakati mwingine inaweza kusababisha kifo kwa sababu mtu anatakiwa kufanyiwa upasuaji, kama ajali imetokea majeruhi wamekuja wanataka kufanya upasuaji, vyombo vinavyotumia umeme lakini umeme hakuna.

“Lingine Watanzania tunaendesha hospitali kwa kuchangia huduma, sasa unakuta umeme unapokuwa umekatika tunatakiwa tununue mafuta, sasa hela tuliyokuwa tupeleke kwenye dawa na vitenganishi inabidi tukanunue umeme,” alisema Chisseo.

“Kwa mfano mtambo wa kuzalisha oksijeni hauna uwezo wa kutumia jenereta, ni lazima tuache kuzalisha mitungi kwa sababu ni lazima tuwe na umeme mkubwa. Ina maana kile kiwanda cha kuzalisha kinasimama na ile mashine haitaki mgawo.

“Ukiiwasha umeiwasha mpaka inapomaliza procedure (utaratibu) wake wa kuzalisha gesi. Sasa ukishaipelekea umeme wa mgawo au wa kukatikakatika kwanza unaiua mashine, huzalishi inavyopaswa na wagonjwa wanakosa mitungi,” alisema.

Pia, alisema hata kwenye maji tiba mitambo yao inahitaji umeme mkubwa, hivyo hawazalishi.

Dar es Salaam ni mtafutano
Kama ilivyo katika mikoa mingi nchini, hali si shwari katika jiji la Dar es Salaam, huku mkazi wa Sinza, Hanifa Athumani akisema kutokana na changamoto ya ukosefu wa maji inamlazimu kutumia gharama kuyanunua.

“Yani kwa jana (juzi) nimetumia kama Sh6,000 kwa ajili ya kununua maji kutokana na dumu moja la lita 20 kuuzwa hadi Sh700, inaumiza kwa kweli,” alisema Hanifa, akitaka Serikali ije na mipango ya kutatua adha hiyo. Mjasiriamali mwenye saluni ya kike eneo hilo, Mariam Sultani alisema upungufu wa maji umewahi kumkosesha wateja kadhaa waliokuwa wakihitaji huduma ya kuosha nywele saluni hapo.

“Napata changamoto kwenye biashara kutokana na kukosa maji na gharama ya kununua kwa madumu ni kubwa, hivyo wateja wanaohitaji kuosha nywele wanashindwa kupata huduma hiyo na siwezi kupandisha bei,” alisema Mariam.

Edward Nombo ambaye ni mkazi wa Tabata Magenge, alisema kutokana na ugumu wa kupata huduma ya maji kwa matumizi ya nyumbani, anatumia muda mwingi kutafuta maji kwa watu wenye visima.

“Ukienda kwa wanaomiliki matanki unakuta foleni kubwa, ili upate madumu mengi unatakiwa uwahi foleni,” alisema.

Pia, alisema kutokana na uhaba huo, wanaomiliki matanki wamepandisha bei kutoka Sh200 hadi 400 kwa dumu la lita 20.

Mshikemshike
Wakazi wa Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wamedai kukatika kwa umeme na maji kunakoendelea kunasababisha baadhi ya biashara kusimama, huku wakidai kuna wakati umeme hukatika kwa siku nzima hadi usiku.

Mmiliki wa saluni iliyopo mjini Moshi, Happy Tarimo alisema juzi umeme na maji vilikatika kwa siku nzima na kurejeshwa usiku, hali iliyosababisha shughuli za saluni kusimama kwa kuwa aina ya biashara yake hutumia maji na umeme.

“Biashara yangu inatumia umeme na maji, vyote vinakatwa kwa siku nzima nashindwa kufanya kazi, nilikopa fedha marejesho yanahitajika, naomba Serikali itusaidie hili suala maana sasa limekuwa ni janga,” alisema Tarimo.

Muuzaji wa samaki, Neema Mbuya alisema wafanyabiashara wengi wameingia kwenye mikopo na taasisi za fedha, hivyo kukatika kwa umeme kunasababisha samaki kuharibika na kupata hasara.

Huko Arusha, inaelezwa kuwa changamoto ya mgawo wa umeme na maji imekuwa adha kwa wananchi, huku Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Arusha Fanikiwa, Andrea Ngobole akisema kukosekana kwa umeme kunasababisha kudorora mazoezi ya vitendo.

Mkoani Morogoro hali ni hivyo hivyo, inaelezwa imeathiri shughuli za kiuchumi huku Catherine Bombwe anayemiliki saluni akisema kukatika kwa maji na umeme kumesababisha kipato chake kushuka.

Katika hatua nyingine, wakazi wa Jiji la Mbeya wamedai kwa sasa wanalazimika kutumia mishumaa na maji ya visima na mito kwa ajili ya matumizi ya majumbani kutokana na uhaba wa umeme na maji ulioikumba nchi kwa sasa.

Mkazi wa Sabasaba, Hadija Mbika alisema wamekuwa na wakati mgumu wa namna ya kuhudumia familia pindi kunapokuwa na mahitaji ya huduma hiyo muhimu kwa binadamu.

“Kwa mfano mimi ni mwanamke, napaswa huduma zote kutumia nishati ya umeme na maji kama kuoga na kunyoosha nguo, hivyo kukosekana huduma hizo nakosa kuwa mtanashati,” alisema Hadija.

Habari hii imeandikwa na Daniel Mjema, Fina Lyimo (Moshi), Mariam Mbwana, Tuzo Mapunda (Dar es Salaam), Hamida Shariff (Morogoro), Mussa Juma (Arusha) na Hawa Mathias (Mbeya)

Chanzo: Mwananchi


Hatari sana, ila ni sawa kabisa hii serikali sio katili haiui watu, kuwateka au kutenda udhalimu wowote.
 
Mgao wa maji na umeme unaoendelea hapa nchini umeitikisa hospitali ya KCMC inayotegemewa na zaidi ya watu millioni 15 nchini na imelazimika kusitisha baadhi ya huduma kama vile upasuaji, uzalishaji wa mitungi ya Oxygen n.k.

=======

Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea adha wanayopitia wananchi huku Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC ikieleza athari inazopata kutokana na mgawo wa umeme.

Kukosekana kwa umeme kunaifanya KCMC, inayohudumia wananchi zaidi ya milioni 15, kusitisha baadhi ya huduma kwa muda, ikiwamo upasuaji, uzalishaji mitungi ya oksijeni, maji tiba na vipimo vya MRI na Digital Xray.

Wakati hali ikiwa hivyo KCMC, mikoa mbalimbali nchini nako kuna kilio kama hicho, huku wananchi wakidai maji na umeme ni kama watoto pacha.

Kukosekana kwa umeme kumesababisha baadhi ya maeneo yanayotumia pampu kukosa huduma ya maji.

Katika mikoa ya Dar es Salaam, Kilimanjaro, Mbeya, Morogoro na Arusha, shughuli nyingi za kiuchumi zinazotumia umeme zimetatizika, hasa saluni, wachomea vyuma (welding), wauza samaki, mashine za kusaga, hoteli na baa.

Tatizo la upungufu wa maji linaelezwa linatokana na ukame na mabadiliko ya tabianchi.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (Muwsa), imewajulisha wateja wake kuwa kukatika kwa umeme mara kwa mara kumeathiri uzalishaji na usambazaji maji ya kutosha kutoka kwenye visima vinavyotumia pampu.

Visima hivyo vya Mawenzi na KCMC vimesababisha maeneo ya Shanty Town, CCP, Kitandu, Rau, Kiborlon, Ngurumo ya Upako, Sango na Mdawi Manispaa ya Moshi kuwa na upungufu wa maji kwa wateja wake.

Hali ilivyo hospitali ya KCMC
Ofisa Habari wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Gabriel Chisseo alisema maji kwa sasa ni changamoto kubwa kwa kuwa kisima chao kinategemea mitambo ya umeme kusukuma maji, lakini umeme nao ni changamoto.

“Kwa hiyo kama umeme ukiwa hakuna, hiyo sio athari ya kwanza. Kuna wagonjwa wako ICU, kuna mashine zinazotumia umeme, kuna vyumba vya upasuaji ambavyo upasuaji unaendelea na tunafanya kazi saa 24,” alisema Chisseo.

“Wakati mwingine inaweza kusababisha kifo kwa sababu mtu anatakiwa kufanyiwa upasuaji, kama ajali imetokea majeruhi wamekuja wanataka kufanya upasuaji, vyombo vinavyotumia umeme lakini umeme hakuna.

“Lingine Watanzania tunaendesha hospitali kwa kuchangia huduma, sasa unakuta umeme unapokuwa umekatika tunatakiwa tununue mafuta, sasa hela tuliyokuwa tupeleke kwenye dawa na vitenganishi inabidi tukanunue umeme,” alisema Chisseo.

“Kwa mfano mtambo wa kuzalisha oksijeni hauna uwezo wa kutumia jenereta, ni lazima tuache kuzalisha mitungi kwa sababu ni lazima tuwe na umeme mkubwa. Ina maana kile kiwanda cha kuzalisha kinasimama na ile mashine haitaki mgawo.

“Ukiiwasha umeiwasha mpaka inapomaliza procedure (utaratibu) wake wa kuzalisha gesi. Sasa ukishaipelekea umeme wa mgawo au wa kukatikakatika kwanza unaiua mashine, huzalishi inavyopaswa na wagonjwa wanakosa mitungi,” alisema.

Pia, alisema hata kwenye maji tiba mitambo yao inahitaji umeme mkubwa, hivyo hawazalishi.

Dar es Salaam ni mtafutano
Kama ilivyo katika mikoa mingi nchini, hali si shwari katika jiji la Dar es Salaam, huku mkazi wa Sinza, Hanifa Athumani akisema kutokana na changamoto ya ukosefu wa maji inamlazimu kutumia gharama kuyanunua.

“Yani kwa jana (juzi) nimetumia kama Sh6,000 kwa ajili ya kununua maji kutokana na dumu moja la lita 20 kuuzwa hadi Sh700, inaumiza kwa kweli,” alisema Hanifa, akitaka Serikali ije na mipango ya kutatua adha hiyo. Mjasiriamali mwenye saluni ya kike eneo hilo, Mariam Sultani alisema upungufu wa maji umewahi kumkosesha wateja kadhaa waliokuwa wakihitaji huduma ya kuosha nywele saluni hapo.

“Napata changamoto kwenye biashara kutokana na kukosa maji na gharama ya kununua kwa madumu ni kubwa, hivyo wateja wanaohitaji kuosha nywele wanashindwa kupata huduma hiyo na siwezi kupandisha bei,” alisema Mariam.

Edward Nombo ambaye ni mkazi wa Tabata Magenge, alisema kutokana na ugumu wa kupata huduma ya maji kwa matumizi ya nyumbani, anatumia muda mwingi kutafuta maji kwa watu wenye visima.

“Ukienda kwa wanaomiliki matanki unakuta foleni kubwa, ili upate madumu mengi unatakiwa uwahi foleni,” alisema.

Pia, alisema kutokana na uhaba huo, wanaomiliki matanki wamepandisha bei kutoka Sh200 hadi 400 kwa dumu la lita 20.

Mshikemshike
Wakazi wa Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wamedai kukatika kwa umeme na maji kunakoendelea kunasababisha baadhi ya biashara kusimama, huku wakidai kuna wakati umeme hukatika kwa siku nzima hadi usiku.

Mmiliki wa saluni iliyopo mjini Moshi, Happy Tarimo alisema juzi umeme na maji vilikatika kwa siku nzima na kurejeshwa usiku, hali iliyosababisha shughuli za saluni kusimama kwa kuwa aina ya biashara yake hutumia maji na umeme.

“Biashara yangu inatumia umeme na maji, vyote vinakatwa kwa siku nzima nashindwa kufanya kazi, nilikopa fedha marejesho yanahitajika, naomba Serikali itusaidie hili suala maana sasa limekuwa ni janga,” alisema Tarimo.

Muuzaji wa samaki, Neema Mbuya alisema wafanyabiashara wengi wameingia kwenye mikopo na taasisi za fedha, hivyo kukatika kwa umeme kunasababisha samaki kuharibika na kupata hasara.

Huko Arusha, inaelezwa kuwa changamoto ya mgawo wa umeme na maji imekuwa adha kwa wananchi, huku Mkuu wa Chuo cha Uandishi wa Habari Arusha Fanikiwa, Andrea Ngobole akisema kukosekana kwa umeme kunasababisha kudorora mazoezi ya vitendo.

Mkoani Morogoro hali ni hivyo hivyo, inaelezwa imeathiri shughuli za kiuchumi huku Catherine Bombwe anayemiliki saluni akisema kukatika kwa maji na umeme kumesababisha kipato chake kushuka.

Katika hatua nyingine, wakazi wa Jiji la Mbeya wamedai kwa sasa wanalazimika kutumia mishumaa na maji ya visima na mito kwa ajili ya matumizi ya majumbani kutokana na uhaba wa umeme na maji ulioikumba nchi kwa sasa.

Mkazi wa Sabasaba, Hadija Mbika alisema wamekuwa na wakati mgumu wa namna ya kuhudumia familia pindi kunapokuwa na mahitaji ya huduma hiyo muhimu kwa binadamu.

“Kwa mfano mimi ni mwanamke, napaswa huduma zote kutumia nishati ya umeme na maji kama kuoga na kunyoosha nguo, hivyo kukosekana huduma hizo nakosa kuwa mtanashati,” alisema Hadija.

Habari hii imeandikwa na Daniel Mjema, Fina Lyimo (Moshi), Mariam Mbwana, Tuzo Mapunda (Dar es Salaam), Hamida Shariff (Morogoro), Mussa Juma (Arusha) na Hawa Mathias (Mbeya)

Chanzo: Mwananchi
Maji na umeme wa nini kwenye macho yao?! Wao wanapata vyote bila bugudha! Wanachopenda watanunuwa bila kujali shida zetu. Wakose maji na umeme kama sisi, wiki tu, utaona mabadiliko.
 
Maji na umeme wa nini kwenye macho yao?! Wao wanapata vyote bila bugudha! Wanachopenda watanunuwa bila kujali shida zetu. Wakose maji na umeme kama sisi, wiki tu, utaona mabadiliko.
Duh
 
🐒🐒🐒
1hJ.jpg
 
Ujenzi wake umefikia 80% huwezi kuliacha
Usiseme hivyo ndugu, mafisadi hawana aibu! Cha msingi Watanzania tuunganishe nguvu ile kinga ya Raisi kushitakiwa iondolewe ili akikubali kuuacha pesa ya serikali itumike vibaya ashitakiwe ebo!
 
Kuweka kumbukumbu sawa, wachaga wana ugomvi na CCM tangu enzi za Tanu kabla na baada ya uhuru. Na hiyo ni kwa sababu moja kuu, watawala wa CCM (zamani Tanu) waliwahi kusema na kujiapiza kuhakikisha wanawafanya wachaga kuwa mafukara na kuwanyima nafasi ya kutaka kuliongoza hili taifa. Kama ilivyo CCM zanzibar dhidi ya wapemba na itikadi zao. Haitatokea wapemba wakaipenda CCM kwa ujumla wao au wachaga wakaipenda CCM kwa ujumla wao. Haiwezekani.

Ugomvi binafsi wa wachaga na Magufuli uliletwa na Magufuli mwenyewe, Magufuli hakutaka kuwatendea wema wachaga na kwa kauli zake mwenyewe aliwahi kutamka kuwa chini ya utawala wake, basi wachaga (wenyeji mkoa wa Kilimanjaro) watasubiri sana na angeendelea kuwashikisha adabu mpaka wakome!

Yote kwa yote kwa sasa Mama Samia ameamua kununua ugomvi usiomhusu, ameamua kugombana binafsi na wachaga kimakusudi na kwa lazima, kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe ni doa kubwa kwa Samia dhidi ya wachaga, halitaweza kufutika. Jambo moja ambalo mama Samia hakuwa kulijua kuhusu Mbowe, ni kuwa; mbele ya wachaga Mbowe ni mjumbe na alama ya amani, haki na maendeleo, ni mambo ambayo wachaga wamekuwa wakiyapigania toka mkoloni. Kama walivyo wapemba walivyompenda Maalim Seif huenda ndivyo hivyo wachaga kumpenda Mbowe.

Kumsingia mtu uongo tena uongo mbaya mbele ya jamii (mfano wa Samia kumsingizia Mbowe kuwa ni gaidi) kwa wachaga huko ni kujitafutia laana, na ipo siku laana itajibu tu.
Mkuu nakuheshimu sana! Sikujua kabisa kuwa kumbe kucheza na Mbowe ni kucheza na kabila lote la wachaga.
 
Halafu Wachaga wanaona adui yao mkubwa ni Magufuli (RIP) ingawaje hajawahi kuwakatia umeme wala maji (mahitaji makuu ya Binadamu) kwanza hata aliwajengea viwanda na reli, hata kaacha daraja la mto Wami linajengwa ambalo Mbowe wenu alililamikia, sasa hivi madame hata umeme hospitali yenu Kuu anawakatia.
Mama hakati makusudi acha chuki mzehe
 
Back
Top Bottom