toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Kwa hali irivyo kwa sasa naona tuje na maandamano ya umeme na maji kwa hapa Daslam
Tuna miezi miwili hatuna huduma ya maji umeme hatuuoni masaa mengi
Mpaka unajiuriza kwani karemani arifanya kosa gani hadi akatolewa Tanesco
Kwa hali irivyo ni wakati wa kuingiya barabarani wote tu bira kujali itikadi au mrengo
Tuna miezi miwili hatuna huduma ya maji umeme hatuuoni masaa mengi
Mpaka unajiuriza kwani karemani arifanya kosa gani hadi akatolewa Tanesco
Kwa hali irivyo ni wakati wa kuingiya barabarani wote tu bira kujali itikadi au mrengo