Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,027
- 20,413
- Thread starter
- #41
Kwa kuflow kote huko nakupa marks 0.00%
Kiongozi, si kila namba ni namba ya siri.... BY THE WAY, KUNA WAKATI KAMA KITU HUKIJUI NI BORA UKAULIZA... kuuliza si ujinga...!!! UNAVYOZIDI KUKIELEZEA KITU USICHOKIJUA, NDIVYO UNAVYOZIDI KUONYESHA KWA KIASI GANI HUKIJUI
Hiyo namba kwenye laini inaitwa ICCID Number
It stands for Integrated Circuit Card ID, a 19- or 20-digit number that’s typically printed on the back of a SIM card. The ICCID is a globally unique serial number—a one-of-a-kind signature that identifies the SIM card itself.