Yaani laini imeandikwa namba za siri.Tatizo liko wapi hapo?
Unataka kusema hizo PIN/PUK zinatoa access ya kuingia kwenye miamala ya kifedha?
Kufanya utapeli pia sio rahisi maana watu wanahifadhi namba za simu kwenye simu, google account, icloud nk.
Ushamba unakusumbua,tangu line pini namba ikaandkwa kwenye line ya simu inaandikwa kwenye kile kibati kinachobeba lineMkuu nione kama taira, Ila ukiipata hiyo laini utanielewa
Uwe na usiku mwema
Laini pia imeandikwa namba za siriAlichokisema, si sahihi sana... Maana LINE inapowekwa kwenye simu huwa inatenganishwa na kipande chenye namba za siri. Hivyo mtu akidondosha laini, uwezekano wa kwamba amedondosha sehemu hiyohiyo na kipande chenye namba hiyo ni mdogo sana
Namba za siri zipi mzee za mobile money mfano tigo pesa au T pesa au unasemea namba za siri zipi? HahahahMkuu
Laini pia imeandikwa namba za siri
Siyo kweliMkuu
Laini pia imeandikwa namba za siri
Laini pia imeandikwa namba zaAlichokisema, si sahihi sana... Maana LINE inapowekwa kwenye simu huwa inatenganishwa na kipande chenye namba za siri. Hivyo mtu akidondosha laini, uwezekano wa kwamba amedondosha sehemu hiyohiyo na kipande chenye namba hiyo ni mdogo sana
Kiongozi, si kila namba ni namba ya siri.... BY THE WAY, KUNA WAKATI KAMA KITU HUKIJUI NI BORA UKAULIZA... kuuliza si ujinga...!!! UNAVYOZIDI KUKIELEZEA KITU USICHOKIJUA, NDIVYO UNAVYOZIDI KUONYESHA KWA KIASI GANI HUKIJUIMkuu
Laini pia imeandikwa namba za
Hiyo namba ya siri unaweza kubadili, pia number ya simcard haiwezi kuingiliana na tigopesa, mpesa nkYaani laini imeandikwa namba za siri.
Hivyo ukiidondosha mtu anafanya miamala
Halafu mkuu embu niulize kitu nahisi hii ni "deja vu"Kiongozi, si kila namba ni namba ya siri.... BY THE WAY, KUNA WAKATI KAMA KITU HUKIJUI NI BORA UKAULIZA... kuuliza si ujinga...!!! UNAVYOZIDI KUKIELEZEA KITU USICHOKIJUA, NDIVYO UNAVYOZIDI KUONYESHA KWA KIASI GANI HUKIJUI
Hiyo namba kwenye laini inaitwa ICCID Number
It stands for Integrated Circuit Card ID, a 19- or 20-digit number that’s typically printed on the back of a SIM card. The ICCID is a globally unique serial number—a one-of-a-kind signature that identifies the SIM card itself.
Yes, kila line ina hiyo kitu ila ilikuwa ni choice yako kuweka on au off ila sasa inakuwa on mda wote na hakuna option ya ku disable. Yani hata ukizima simu ukiwasha ni lazima uweke PIN ndio uendelee kutumia.Halafu mkuu embu niulize kitu nahisi hii ni "deja vu"
Kwani laini si zilikuwaga na hizi PIN na PUK toka siku nyingi???(Wahenga tulionunua simu/laini zamani)
Okay nimekusoma mkuuYes, kila line ina hiyo kitu ila ilikuwa ni choice yako kuweka on au off ila sasa inakuwa on mda wote na hakuna option ya ku disable. Yani hata ukizima simu ukiwasha ni lazima uweke PIN ndio uendelee kutumia.
Nilisajili line ya Zantel wiki mbili zilizopita, namba ya siri niliweka ninayoijua mimi.Hii hauruhusiwi kubadili
Tatizo liko wapi hapo?
Unataka kusema hizo PIN/PUK zinatoa access ya kuingia kwenye miamala ya kifedha?
Kufanya utapeli pia sio rahisi maana watu wanahifadhi namba za simu kwenye simu, google account, icloud nk.