CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Mi SIKUIJUA ATIII!!!! Nilidhani MUME CHEATER NI YULE ANAERUDI USIKU WA MANANE KALEWA!!!!!!!!! Sasa kwa MBINU HII utatofautishaje CHEATER NA MPLOE ASILIA!!!?
Mi SIKUIJUA ATIII!!!! Nilidhani MUME CHEATER NI YULE ANAERUDI USIKU WA MANANE KALEWA!!!!!!!!! Sasa kwa MBINU HII utatofautishaje CHEATER NA MPLOE ASILIA!!!?
Hahahaaaaaa! KINO tumeshajua JINSI YA KUTEST KAMA TEGO LIPO AU SHWARI!!!!!!! Dawa ngogo tu, UNAPITISHA FUNGUO/KITU CHA CHUMA TOKA PAJA LA KUSHOTO HADI LA KULIA!!!!!!!!!!! BAAAAAAAAASS!!! KAMA TEGO LIPO CHUMA KILE KIKIFIKA USAWA WA K KIAPIGWA NA KITU KA RADI, KINATETEMEKA KABISA, KAMA CHEPESI KINAKATIKA!!!!!!!! UNAJUA HAPA UTAMU HAKUNA!!!!!!!!! NI KUNASA TU!!!!!!!!!!! Unamwambia kiupole tu, HAYA VAA PICHU UENDEEEE KWA MUMEO!!!!!!!!! Watu nundaaaaaa! Usione wanatembea na SPOKU!!!!!!!! za kutest TEGO!
*CH* si ndo wanaume wanaoupenda kuliko chochote duniani? AYA NIMEWEKA HIYO YA KIMAMA MCHUNGAJI!!!!!!! Happy NOW!!!!
mbinu nyingine hutumiwa na wanaofanya kazi za kusafiri safiri na wafanyabiashara.... huwa wanaandaa kabisa vidate vya kusafiri navyo...
Kuna baba mmoja yeye anafanya kazi WIZARA YA ULINZI mara nyingi huwa anatembelea mikoani basi basi karibu kila mkoa ana kidate na kasave kama hivi wa Mbeya kaandika RPC MBEYA... wa Tanga RPC TANGA... wa Arusha RPC ARUSHA... wa Dodoma RPC DODOMA n.k. kana kwamba akipigiwa simu na mmoja wa hivyo vidate vyake kama yupo karibu na mkewe humuonesha kuwa kapigiwa simu ya kiofisi hivyo atasogea mbali na kuongea kwa kisingizio cha ofisi kumbe sivyo....
Wakubwa zangu shikamoooni!!!!!!!
Peopleeeeeeesss NIAJE!!!!!!!!!!!!!
Bwana wale ndugu zetu sugu, wataka yote kwa pupa, wazee wa MORE is prefered to LESS, wanaoenda contrary na law of demand kama LUXURY GOODS, The Higer the price they are charged the higher their demand!!!!!!!! Kwa lugha nyepesi ni CHEATERSSSSSSSSSS!!!!!!!! wamebuni mbinu mpya ya KUFAIDI MTI WA KATI bila bugdha za wapenzi au wake/waume zao. Mbinu hii ni ya KIMAFYA zaidi na si rahisi kuishtukia hadi siku ya 60.
Ujue mi ofisini kuna tabia flani hivi mida ya saa 6 mpaka 8 watu hawaonekani, na kila mtu kaondoka kivyake si ndo nikajua tu wanaenda KULA LUNCH bana!!!!!
Sasa juzi kati hapa kuna mtu aliniomba nimsaidie biashara yake ya Kussuply vitu mahotelini na bar yeye anafanya MITIHANI. Nikakubali bana, Kila hoteli nikifika saa 6,7,8 VYUMBA VIMEJAAA!!!!!!!!!! Basi mi nadeliver mzigo nasepa!!!! Curiousty killed the Cat, ikabidi niulize "Inamaana BIASHARA NZURI HIVO HADI SAA 6 MMEJAZA VYUMBA VYOTE????" Si ndo akatiririka siri za biashara "HAWA WENGI SHORT TIME TU, WAMETOKA MAKAZINI HUKO WANAKUJA KUSHITUA VIWILI VYA FASTA AFU WANARUDI KUENDELEA NA KAZI!!!!!!!!!!! WENGINE WANAKUJA NA WANAFUNZI HAPA AFU WATOTO WANARUDI KWAO SAFI!!!!!!!!!!! we njoo saa 10 utakuta vyumba vipo teleeee!" DUUUUUUUUUUUUUH!!!!!!! UTRATRAAAAAA!!!!!! aadhubillahimina shaytwani rajim!
Si ndo nikajuaaaaa!!!!!!!! Ndo maana watu wakitoka lunch wanarudi na mood nzuri!!!!!!!! Afu badala ya lisaa wanakaa hadi 2 au 3 WALA NINI HICHO WENZETU KAMA SIO BAMIA !!!!! Ndomaana Accountant UKIFATA CHEKI MCHANA ANAFURAHI HUYO, OLE WAKO UMZUKIE ASUBUHI, ALMANUSURA KUKUTWANGA KICHWA!!!!! Nikasema ipo haja kumuuliza mtu anakula wapi NIMUIBUKIE HUKO HUKO isijekuwa ananizuga!!!!!!! Kweli watu nundaaaa, jioni unarudi kwa mumeo/mkeo mwepesiiiiii wa roho, na mchoooovu kwa KAZI za mchana kutwaaa!!!!!!!! SAA KUMI NA MOJA JIONI WIFE/HUBBY YUPO SEBULENI ANACHEZA NA WATOTO!!!!!!!!!!!!
Samahani na wewe amekusave kama RPC wa wapi?,kwa sababu inavyoonekana simu yake ulishawahi kuikamata na kuangalia ndipo ukagundua yote hayo.
Wewe usiijue?
labda useme umekuja kuitangaza kwa wasioijua..
but sio wewe..
The Boss MI SIKUJUA!!!!!!! HAKI TENA!!!!!!!!! Mume wa dada yangu NARUDI SAA KUMI NA MOJA JIONI, HATOKI TENAAA!!!!!! BASI KATIKA SALA ZANGU NIKAWA NAOMBA NIPATE MUME KAMA YULE!!!!!!!!! Ila nilipogundua HUU UMAZAFANTA MPYAAAA!!!! Namuangalia SHEMU KWA JICHO LA TATU!!!!!!!!!!!!!! SIMUAMINI AMINI VILE!!!!!!!!
JIBU SWALI LA MSINGI!!!! Utajuaje kama mtu ni CHEATER WA NEW GENERATION AU MPOLE ASILIA!!!!? angali wote saa 11 jioni wapo ndani, wamejaa tele!!!!!
mbinu nyingine hutumiwa na wanaofanya kazi za kusafiri safiri na wafanyabiashara.... huwa wanaandaa kabisa vidate vya kusafiri navyo...
Kuna baba mmoja yeye anafanya kazi WIZARA YA ULINZI mara nyingi huwa anatembelea mikoani basi basi karibu kila mkoa ana kidate na kasave kama hivi wa Mbeya kaandika RPC MBEYA... wa Tanga RPC TANGA... wa Arusha RPC ARUSHA... wa Dodoma RPC DODOMA n.k. kana kwamba akipigiwa simu na mmoja wa hivyo vidate vyake kama yupo karibu na mkewe humuonesha kuwa kapigiwa simu ya kiofisi hivyo atasogea mbali na kuongea kwa kisingizio cha ofisi kumbe sivyo....