Mfumo mpya wa cheatting waingia!!

lara 1 umesahau mbinu moja hivi inatumiwa sana na watu wafanyao kazi za field. anaondoka asubuhi na mkewe then ana mdrop ofisini kwake naye anakwenda kwake akifika anajipanga kutoka zake kwenda field... hapo ndo anapanga na miadi y a kukutana na kidate chake... jioni huuuyooo kampitia tena mkewe hao home.. mume hatoki kwenda bar wala kwenye vijiwe kumbe mchana kapiga CHAPUOOO!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Mi SIKUIJUA ATIII!!!! Nilidhani MUME CHEATER NI YULE ANAERUDI USIKU WA MANANE KALEWA!!!!!!!!! Sasa kwa MBINU HII utatofautishaje CHEATER NA MPLOE ASILIA!!!?

Wewe usiijue?
labda useme umekuja kuitangaza kwa wasioijua..
but sio wewe..
 
lara1,hivi wewe haya mambo huwa unayatoa wapi?,haki ya mungu nilikuwa kwenye kioo changu nikajikuta nacheka mwenyewe mpaka ofisini wameinuka kuja kuniangalia wakidhani nimepandishwa cheo,ikabidi niwe mpole na kueleza yaliyonisibu.Hongera sana mtu wangu unanikosha sana,hivi kwako pamejaa au bado sebuleni hakuna mtu??!
 
*Siku hizi ufuska mwingi kwa wafanyakazi unafanyika Faster sana katika mazingira;
1/Lunch time
2/Ndani ya Gari
3/Ofisini kwa bosi.
4/Safari za kikazi.
5/Night shift.
6/Overtime hours.
7/Semina
8/Field

*Katika viwango tofautitofauti sana kuanzia Sexual hugging, Tongue kiss, Breast manipulation, Buttocks palpation, Finger insertion, Oral sex, Anal sex, Vaginal sex.

*Huwezi amini wanao entertain zaidi hivi vitu kufanyika zaidi ni wanawake kuliko wanaume, bahati mbaya sana mtu akishavianza kuacha ni ngumu sana.

eeeh Mungu tunaomba utusaidie!!!
 
Mi SIKUIJUA ATIII!!!! Nilidhani MUME CHEATER NI YULE ANAERUDI USIKU WA MANANE KALEWA!!!!!!!!! Sasa kwa MBINU HII utatofautishaje CHEATER NA MPLOE ASILIA!!!?

Hii imeanza zamani dada, Zamani niliwahi beba mdada na kwenda kuchuna ngozi chapuchapu pale iliyopokuwepo Mawenzi Hoteli saa sita hivi mchana then kwenye saa nane nikaenda ofisi za National Insurance kumsalimia Bosi mmoja hivi, nilishangaa sana kumkuta pale kama secretary wa Boss
 
mbinu nyingine hutumiwa na wanaofanya kazi za kusafiri safiri na wafanyabiashara.... huwa wanaandaa kabisa vidate vya kusafiri navyo...
Kuna baba mmoja yeye anafanya kazi WIZARA YA ULINZI mara nyingi huwa anatembelea mikoani basi basi karibu kila mkoa ana kidate na kasave kama hivi wa Mbeya kaandika RPC MBEYA... wa Tanga RPC TANGA... wa Arusha RPC ARUSHA... wa Dodoma RPC DODOMA n.k. kana kwamba akipigiwa simu na mmoja wa hivyo vidate vyake kama yupo karibu na mkewe humuonesha kuwa kapigiwa simu ya kiofisi hivyo atasogea mbali na kuongea kwa kisingizio cha ofisi kumbe sivyo....
 

Haki ya mama we mtoto unanchekesha kweli kila ninaposoma coment zako,hivi wewe haya maneno unayatoaga wapi????!!!,natamani sana siku moja nikutane na wewe uso kwa uso nitakufanyia suprise.
 
*CH* si ndo wanaume wanaoupenda kuliko chochote duniani? AYA NIMEWEKA HIYO YA KIMAMA MCHUNGAJI!!!!!!! Happy NOW!!!!


Hapa fresh kiutu uzima!! Napenda sana kupitia threads zako nikiwa na katoto kangu so sometime kalikuwa kananiuliza maswali huyu nani? Mbona yuko uchi! ? Now ni happy.
 

Samahani na wewe amekusave kama RPC wa wapi?,kwa sababu inavyoonekana simu yake ulishawahi kuikamata na kuangalia ndipo ukagundua yote hayo.
 
Hahahahah! Yaani hiyo lunch ni kwamba watu vyakula vyao wanaingia navyo na kutoka navyo! Hawanunui chakula pale hotelini, wala Embassy wenyewe hawauzi vyakula! Uje na chakula chako, na hakikisha unaondoka nacho!
 
I am getting confused !!!

Why!? You people of the world are exploring and ushering cheating techniques instead of exploring techniques of discouraging dishonest/cheating in relationship/marriage ?

Ciello, black Berry, The Boss, Finest lara 1 a list goes on... ask these people...Why !?
 
lara 1 mi sikuwezi ila unayoongea ni kweli.Umejipanga vipi kunusuru ndoa ya Wiyelele inayovunjwa na housegirl wake? Uko wewe, Kongosho, Zion Daughter, Badili Tabia, Asprin, Preta na Ciello!!Mi ningependa Wiyelele akutane na wewe live ili umshushie vitu vyako.
 
Wewe usiijue?
labda useme umekuja kuitangaza kwa wasioijua..
but sio wewe..

The Boss MI SIKUJUA!!!!!!! HAKI TENA!!!!!!!!! Mume wa dada yangu NARUDI SAA KUMI NA MOJA JIONI, HATOKI TENAAA!!!!!! BASI KATIKA SALA ZANGU NIKAWA NAOMBA NIPATE MUME KAMA YULE!!!!!!!!! Ila nilipogundua HUU UMAZAFANTA MPYAAAA!!!! Namuangalia SHEMU KWA JICHO LA TATU!!!!!!!!!!!!!! SIMUAMINI AMINI VILE!!!!!!!!

JIBU SWALI LA MSINGI!!!! Utajuaje kama mtu ni CHEATER WA NEW GENERATION AU MPOLE ASILIA!!!!? angali wote saa 11 jioni wapo ndani, wamejaa tele!!!!!
 
Ninatangaza mgongano wa kimaslahi katika hii mada, hivyo sitachangia lolote zaidi ya kupita tu..
 
Mweh!!!! mpaka mwili umenisismuka isije ikawa na mie napigwa changa la uso mie hata sijui, kisa natoka naye home ananidrop kwa kazi, jioni ananipitia tunarudi kwa nyumba na kutulia kwa nyumba weekend tuko pamoja. Mamaaaaaaaaaaaaaa isije ikawa nshaliwa jamaniiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 


Mi wanionea BUREEEEE!!!!! Mi nimekuja hapa KUULIZA UTAJUAJE MMEO/BF NI MZEE WA KUTINGA CHOBINGO MIDA YA LUNCH!!!! Angali he is so SWEET, Saa 11 jioni yupo jikoni anakukatia nyanya na kitunguu upike vizuri, hatoki tena hadi kesho! HOW DO YOU START DOUBTING HIM IN THE 1ST PLACE!!!!!!!!!!? Si ndo jitu litacheat mpaka ETERNITY!!!!!!!!!
 

unamtamani shemeji yako?
 

HAHAHAHAAAAAAAAAAA!!!! Ngoja na mimi nisave, MKUU WA KAYA, MIZINGUO PINDE, RITZ 1, RICH MONDULI, ROSTI TAMU, NAPEE NAUYEE, SAMUEL SABA, AYUBU NDUNGAII, SALMA KIKWET, Zikipigwa hata Usiku wa manane NASEMA SIMU ZA CHAMA HIZIII!!!!!! Huoni MIJINA YOTE YA KIFISADI, TUSHATOKA KIMAISHA!!!!! LOL!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…