Obama ni mtu wa watu anapendwa na wengi hana makuu kama huyu wetu, maisha yake yako very simple hata ukiangalia familia yake hawana makuu. Njoo kwenye maraisi wa kwetu afrika na familia zao utajuta wanajiona wao wako juu ya sheria!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.