mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,331
- 4,856
Leo ndoa nyingi wanaume wengi tunalia wanawake wetu hawana adabu hawatuheshimu wanatupangia unyumba, nk mnasahau kitu kimoja ya kwamba ili uheshimiwe lazima kuwepo na kitu kitachokufanya uheshimiwe, mtoto humuheshimu baba yake kwa sababu ya mahitaji yake, mwananchi anamuheshimu kiongozi wake sababu ya mamlaka yake ya uamuzi.
Kwamba leo hy wewe mwananchi ukikosea au ukavunja sheria za nchi kuna jera, kwahiyo ukiwaza kumbe kuna mamlaka huwez leta upuuzi, ndio sawa na mapenzi, mke anamuheshimu mumewake sababu mume sio ana mamlaka no unaheshimiwa sababu ya mahitaji unayompatia mkeo, na ukitaka hiyo heshima idumu chukua mfano huu, usimfunze muuza, samaki kuvua samaki ikiwa wewe ni mvuvi.
Kwa maana ukimfunza kesho utakosa wakumuuzia, kwa maana muuzaji atajua namna ya kuwapata, kama hujanielewa, ni hivi wanawake wa dhaman na wasasa ni walewale tabia ni zile zile isipokuwa kilichobadilika ni style ya sasa ya jinsi ya wanaume wa sasa wanavyoishi na hao wake tofaut na wanaume wa zaman walivyokuwa wakiish nao
Kwamba leo hy wewe mwananchi ukikosea au ukavunja sheria za nchi kuna jera, kwahiyo ukiwaza kumbe kuna mamlaka huwez leta upuuzi, ndio sawa na mapenzi, mke anamuheshimu mumewake sababu mume sio ana mamlaka no unaheshimiwa sababu ya mahitaji unayompatia mkeo, na ukitaka hiyo heshima idumu chukua mfano huu, usimfunze muuza, samaki kuvua samaki ikiwa wewe ni mvuvi.
Kwa maana ukimfunza kesho utakosa wakumuuzia, kwa maana muuzaji atajua namna ya kuwapata, kama hujanielewa, ni hivi wanawake wa dhaman na wasasa ni walewale tabia ni zile zile isipokuwa kilichobadilika ni style ya sasa ya jinsi ya wanaume wa sasa wanavyoishi na hao wake tofaut na wanaume wa zaman walivyokuwa wakiish nao