kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kumlinganisha felix tshisekedi na moise katumbi ni matumizi mabaya ya akili.
Hata vitabu vya Mungu vinasema kuwa
Kila mtu uongezewa kitu akiwa nacho
Sio kwamba ataongezewa akili na wakati Hana akili
Felix tshisekedi kabla ya kuwa rais alikuwa muuza pizza uko beljiji
Moise katumbi kabla ya kuwa gavana alikuwa
economic operator
Alikuwa tayari Ana ndege zake Ana makampuni mengi
Ana miliki club ya mpira na mengine mengi
Alafu wanatokea wa pumbavu wanasema moise hawezi kuendesha nchi
Kuendesha biashara tu mpaka ufikie level ya akina moise na wengine wengi ni Sawa na kuendesha nchi tu.
Maana unahitaji akili nyingi, usimamizi ,umakini na mengine mengi.
Sasa yeye felix kabla ya kuwa rais alikuwa Ana miliki nini hakuna.
Nchi tumpe katumbi.
Kongo ni tajiri na inahitaji mtu tajiri ili ipate kuendelea.
Hata vitabu vya Mungu vinasema kuwa
Kila mtu uongezewa kitu akiwa nacho
Sio kwamba ataongezewa akili na wakati Hana akili
Felix tshisekedi kabla ya kuwa rais alikuwa muuza pizza uko beljiji
Moise katumbi kabla ya kuwa gavana alikuwa
economic operator
Alikuwa tayari Ana ndege zake Ana makampuni mengi
Ana miliki club ya mpira na mengine mengi
Alafu wanatokea wa pumbavu wanasema moise hawezi kuendesha nchi
Kuendesha biashara tu mpaka ufikie level ya akina moise na wengine wengi ni Sawa na kuendesha nchi tu.
Maana unahitaji akili nyingi, usimamizi ,umakini na mengine mengi.
Sasa yeye felix kabla ya kuwa rais alikuwa Ana miliki nini hakuna.
Nchi tumpe katumbi.
Kongo ni tajiri na inahitaji mtu tajiri ili ipate kuendelea.