Wewe sio mzima...kuna haja gani mtu kuandika "Bilionea kapigwa risasi"" angeweza kuandika tu ""diwani wa sehemu flaniapigwa risasi"" au "flani apigwa risasi" kama ni mtu anaefahamika....sasa swali langu ni je....matumizi ya neno "Bilionea" yanaendana na uhalisia wa watu hao?? Maana kila kijana akifa Arusha ....BILIONEA KAFA!!!! Khaaaa !!! Tanzania tuna mabilionea wangapi?? au kila kijana anaefanya biashara ya madini Mbuguni tu ni bilionea??
Tumia ubongo wako kutafakari nilichokizungumza....usitumie "masaburi"