Mfanyabiashara wa madini, Mathias Manga apigwa risasi

Mfanyabiashara wa madini, Mathias Manga apigwa risasi

Ni kweli wamempiga risasi nani ya bega ila anaendelea poa na lengo Lao halikuwa halikuwa zuri .
 
Habari niliyopata dakika kidogo ni kuwa Mathias Manga yuko vizuri na ni kweli alivamiwa hiyo jana na amejeruhiwa tu na hata hajalazwa na kwa muda huu yupo anaelekea uwanja wa ndege KIA kumpokea fisadi mamvi atakeye kuwepo leo hapa Jiji Arusha.

Kwa ujumla Mathias Manga yuko salama na kajeruhiwa kidogo tu!
 
Mathius Sio Bilionea Nimmachinga Tu Anayechuuza Tanzanite Pale Arusha Nairobi Mi Namjua Sana Ni Mrushi Mdhulumati Hapa Alitaka Kufanywa Erasto Msuya Vitu Vya Watu Sio Vizuri Msisingizie Siasa
 
Habari niliyopata dakika kidogo ni kuwa Mathias Manga yuko vizuri na ni kweli alivamiwa hiyo jana na amejeruhiwa tu na hata hajalazwa na kwa muda huu yupo anaelekea uwanja wa ndege KIA kumpokea fisadi mamvi atakeye kuwepo leo hapa Jiji Arusha.

Kwa ujumla Mathias Manga yuko salama na kajeruhiwa kidogo tu!
Yaani usiku kapigwa risasi, lakini leo anaenda kumpokea mgeni ,huyo hajapigwa wala kajeruhiwa.
 
Habari niliyopata dakika kidogo ni kuwa Mathias Manga yuko vizuri na ni kweli alivamiwa hiyo jana na amejeruhiwa tu na hata hajalazwa na kwa muda huu yupo anaelekea uwanja wa ndege KIA kumpokea fisadi mamvi atakeye kuwepo leo hapa Jiji Arusha.

Kwa ujumla Mathias Manga yuko salama na kajeruhiwa kidogo tu!

We Chalii Umenivunja Mbavu'aje Yani Mtu Apigwe Moto Jana Leo Yuko Fiti Kisaikolojia Kuendelea Na Kampein Aliemshuti Katumia Risasi Ya Kuwindia Ndege Nadhani
 
Mathius Sio Bilionea Nimmachinga Tu Anayechuuza Tanzanite Pale Arusha Nairobi Mi Namjua Sana Ni Mrushi Mdhulumati Hapa Alitaka Kufanywa Erasto Msuya Vitu Vya Watu Sio Vizuri Msisingizie Siasa

Muuza nyanya soko kuu ktk ubora wako
 
attachment.php

Wakuu salama?

Hatimaye siasa za Tanzania zachukuwa sura mpya.

Habari nilizozipata muda huu ni kwamba Mathias Manga, bilionea wa jiji la Arusha, na Diwani wa Kata ya Mlangarini Arumeru Magharibi (CCM), amepigwa risasi na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo wakati akielekea nyumbani.

Imeelezwa kuwa watu hao walifanya jitihada zote lengo ilikuwa ni kumteka lakini mfanyabiashara huyo alijitetea mpaka akajitoa ndio wakaamua kumpiga risasi.

Niko nafuatilia kwa karibu kujuwa soon nitawapa updates japo kwa habari za haraka haraka wanasema kuna siasa ndani yake.

======================

Updates


Hapo siasa zinaingiaje?
 
Back
Top Bottom