Mfanyabiashara wa madini, Mathias Manga apigwa risasi

Mfanyabiashara wa madini, Mathias Manga apigwa risasi

Ni mambo ya wake za watu ndio yamemkuta hayo
 
Manga ni bilionea tena wa kiwango cha juu kma anajenga hotel ya 17bn hiyo ni hesabu mpka ikamilike nw iko kwenye finishing.....2011 ametoa madini karibia mwaka mzima kwanini asiitwe bilionea

Ni kweli kabisa manga ni Bilionea, lile Ghorofa lake pale mail stone sakina likikamilika ni litakuwa na dhamani ya Billion of Billions
 
Manga ni bilionea tena wa kiwango cha juu kma anajenga hotel ya 17bn hiyo ni hesabu mpka ikamilike nw iko kwenye finishing.....2011 ametoa madini karibia mwaka mzima kwanini asiitwe bilionea

we ni mkewe?
swali kwa hisani ya Kigogo
 
Last edited by a moderator:
Mathius Sio Bilionea Nimmachinga Tu Anayechuuza Tanzanite Pale Arusha Nairobi Mi Namjua Sana Ni Mrushi Mdhulumati Hapa Alitaka Kufanywa Erasto Msuya Vitu Vya Watu Sio Vizuri Msisingizie Siasa
We nyau humjui Mathias Manga, kaa kimya. Au unawashwa utumbo mpana?
 
sina hakika na matumizi ya neno ""BILLIONEA"" kwa Arusha....mwenye uwezo wa kuwa na gari zuri, bia kila siku, anafanya shughuli zake mbuguni, basi ni ""BILLIONEA"".

We kiherehere..acha kiherehere.
 
kila muuza madini arusha ni bilionea ,,,,huu ni upuuzi .Bilionea gani hana security?
 
Kwa hiyo wakaishie kumparaza tu?,au walitumwa wamtishe atishikeee na asifuatilie mambo ya watu?
 
Back
Top Bottom