Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,645
Tunataka tujue kama kafa au kapona tuambizane vizuri mleta mada ijazie kidogo tarifa yako.
kwa hiyoNasikia walikuwa pia hawapatani na Lema.
...Imeelezwa kuwa watu hao walifanya jitihada zote lengo ilikuwa ni kumteka lakini mfanyabiashara huyo alijitetea mpaka akajitoa ndio wakaamua kumpiga risasi...
Kwanini usiseme imekuwa kama nchi nyingi za kigaidi kama za Kiarabu?Arusha imekuwa kama Soweto wakati wowote unaweza kutolewa uhai wako.
Yes, ths guy is billionea kwani anamiliki properts za zaidi ya 10 billions, kwa nini asiwe billionea
Nimeamini kweli ww nikiereere,issue hapa siyo ubilionea issue ni mtu kupigwa risasi
Poleni wafiwa, jamani siasa si ugomvi siasa ni sera na hoja.
umeisoma hii habari?tutoe pole kwa wafiwa, mpaka polisi watakapotoa jibu la mwisho la upelezi...
nakuluhusiwa -kuruhisiwaTukio nilakweli lkn hakupata madhara makubwa, risasi Ilimkwaruza kwenye paja alienda hospital usiku ule ule akatibiwa nakuluhusiwa kuludi Nyumbani.
Yes, ths guy is billionea kwani anamiliki properts za zaidi ya 10 billions, kwa nini asiwe billionea
Kwa hiyo, akina nanihii ndio wamemtwanga risasi sio? Lakini wale staili yao si kung'oa kucha?
Unaumwa njia ya haja kubwa..!!