Kwa nini iwe siasa na isiwe kudhulumiana kwenye biashara zake?
Ni kweli kabisa Inawezekana ikawa ni mambo ya biashara... hakuna taarifa rasmi hadi sasa zinazoweza kuthibitisha kuwa ni Ujambazi, Siasa au ni kisasi..?
Kwa nini iwe siasa na isiwe kudhulumiana kwenye biashara zake?
Nasikia walikuwa pia hawapatani na Lema.Hizi habari kama za kweli Lowassa atakuwa amepata pigo kubwa sana.
Tukio nilakweli lkn hakupata madhara makubwa, risasi Ilimkwaruza kwenye paja alienda hospital usiku ule ule akatibiwa nakuluhusiwa kuludi Nyumbani.
Kwa hiyo bilionea wa Arusha yupo hai anaendelea vizuri.Tukio nilakweli lkn hakupata madhara makubwa, risasi Ilimkwaruza kwenye paja alienda hospital usiku ule ule akatibiwa nakuluhusiwa kuludi Nyumbani.
Dakika mbili zilizopita umemuhusisha Lowassa na hizi habari na umesema ni pigo kwa Lowassa sasa hivi unatuambia majambazi.Habari za uhakika kutoka Arusha mfanyabiashara wa mawe Mathiasi Manga jana usiku wakati akirudi nyumbani alizamiwa na majambazi katika kupambana walifanikiwa kumpiga Mathiasi Manga risasi ya bega .habari ambazo nimezipata Mathiasi yupo hospitali na anaendelea vizuri .majambazi walikuwa na nia za kumuua lakini hawakufanikiwa .
Kwa hiyo siyo majambazi Lowassa ndiyo unahusika?Hizi habari kama za kweli Lowassa atakuwa amepata pigo kubwa sana.
Nasikia walikuwa pia hawapatani na Lema.
Arusha imekuwa kama Soweto wakati wowote unaweza kutolewa uhai wako.
Hizi habari kama za kweli Lowassa atakuwa amepata pigo kubwa sana.
Naona system inafanya jitihada zote kuzuiya mafuriko ya El,hapa bila kumumunya maneno wazee wa kungoa kucha wamehusika,huyu jamaa amekuwa mstari wa mbele sna kumsapoti lowassa,team membe mko wap??mmeamuwa kupita shortcut baada ya kuzidiwa na mamvi?
Dakika mbili zilizopita umemuhusisha Lowassa na hizi habari na umesema ni pigo kwa Lowassa sasa hivi unatuambia majambazi.
Wewe kiboko.
Habari za uhakika kutoka Arusha mfanyabiashara wa mawe Mathiasi Manga jana usiku wakati akirudi nyumbani alizamiwa na majambazi katika kupambana walifanikiwa kumpiga Mathiasi Manga risasi ya bega .habari ambazo nimezipata Mathiasi yupo hospitali na anaendelea vizuri .majambazi walikuwa na nia za kumuua lakini hawakufanikiwa .
Kama hakupata majeraha huko hospitali alienda kufanyiwa matibabu ganichanzo chako cha habari sio sahihi! hakupata jeraha kubwa alipata matibabu nakuruhusiwa Usiku ule ule.
hajafa anaendelea vizuri mkuututoe pole kwa wafiwa, mpaka polisi watakapotoa jibu la mwisho la upelezi...