Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Joseph Mbilinyi aahirisha kuhamishia biashara zake South Africa ili kumpa nafasi Rais mpya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,232
Joseph_O._Mbilinyi_on_Instagram:_“Mimi_JOSEPH_MBILINYI,_MFANYABIASHARA_wa_MBEYA._Natangaza_KUS...jpg
Hii ndio Taarifa yake mpya aliyoisambaza kwa Umma, kwamba ameamua kuahirisha mpango wake wa kuhamishia biashara zake nje ya nchi baada ya Rais mpya Samia Suluhu kuonyesha mwanga wa kujali wawekezaji.

Sugu tayari alishapata ofa ya kupewa maeneo ya kuwekeza kwenye nchi tatu za Africa ikiwemo Zambia, Malawi na South Africa, hata hivyo ameahirisha mpango huo baada ya kusikia maneno kutoka kwa Rais mpya aliyesisitiza wawekezaji kutendewa haki .

Sasa tuendelee kusikilizia kama yanayosemwa na Mh Rais ndio yatakayojiri.
 
Kwan akisikilizia kimya kimya bila kutangaza atapungukiwa nin? anatafuta attention tu huyo kijana wa chadema.
Sugu anayo attention toka yupo kijana, The guy need no attention, ungejua Historia yake usingeandika hiki ulichoandika hapa
alafu huyo ni mtu mzima usimfananishe na kina rayvan nk, sababu ya yeye kuyasema hayo ni

1.yeye ni mwana harakati
2.yeye ni mfanyabiashara

Hivyo basi nafasi zake hizo mbili katika jamii zinampa uhuru wa kuongea, ni kama wewe hapa JF huzuiliwi ku comment kwa sababu wewe ni Member hivo ni haki yako, the same to Sugu ni mtanzania na katiba inampa uhuru wa kueleza chochote kila ile mradi havunji sheria za nchi
 
Back
Top Bottom