Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,232
Sugu tayari alishapata ofa ya kupewa maeneo ya kuwekeza kwenye nchi tatu za Africa ikiwemo Zambia, Malawi na South Africa, hata hivyo ameahirisha mpango huo baada ya kusikia maneno kutoka kwa Rais mpya aliyesisitiza wawekezaji kutendewa haki .
Sasa tuendelee kusikilizia kama yanayosemwa na Mh Rais ndio yatakayojiri.