Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,231
- 6,471
Ukiondoa TBC, taarifa za habari za saa mbili usiku za ITV na UTV zinafanana karibia kila kitu. Habari zinazotangazwa ni zilezile.
Kuna habari sio mbaya kufafanana kama vile habari iliyotoka kwa Rais, Mawaziri nk. Sasa shida ni kufanana hadi habari ndogondogo. Katika zama hizi za upatikanaji habari nyingi kwa njia rahisi ni Jambo la kushangaza kwa vyombo vya habari kufanana habari hizohizo.
Je, kuna uwezekano kuna chombo kwa kujihami imeamua kuhakikisha inapata taarifa zote za upande wa pili ili kuvuna wafuasi na wapenzi wa chombo chenzake?
Kuna habari sio mbaya kufafanana kama vile habari iliyotoka kwa Rais, Mawaziri nk. Sasa shida ni kufanana hadi habari ndogondogo. Katika zama hizi za upatikanaji habari nyingi kwa njia rahisi ni Jambo la kushangaza kwa vyombo vya habari kufanana habari hizohizo.
Je, kuna uwezekano kuna chombo kwa kujihami imeamua kuhakikisha inapata taarifa zote za upande wa pili ili kuvuna wafuasi na wapenzi wa chombo chenzake?