Mfalme Zumaridi akamatwa na Polisi Mwanza

Mfalme Zumaridi akamatwa na Polisi Mwanza

Ushoga na usagaji haukubaliki Tanzania hata ukiwa kanisani

Huyo Zumaridi ni don wa usagaji anapokea pesa toka mitandao ya wasagaji kueneza usagaji Tanzania ndio maana hukomaa aitwe mfalme Zumaridi sio malikia Zumaridi wakati ni mwanamke
Toka lini mwanamke akaitwa mfalme?
Hilo ndio kosa alilokamatwa nalo?
Hapa unaangaliwa uhuru wa kuabudu na katiba ilivyovunja.

Kama kujiita sijui Mfalme au Marikia, Kuna nabii Mwanamke?
Mbona wanajiita wengi tu.
Au hawa nao watajiunga kwenye huo ufedhuli?


Kama anachukua fedha huko, na ushahidi unao kwa nini msimfichue?
 
Mimi Nina macho ya kuona ambavyo wewe uwezi kabisa kuona vinginevyo ukiona utakua mwehu mkuu Zumaridi ni MUNGU wa wanaomwamini.💯
Mimi Nina macho ya kuona ambavyo wewe uwezi kabisa kuona vinginevyo ukiona utakua mwehu mkuu Zumaridi ni MUNGU wa wanaomwamini.💯
Haina shida.Basi hiyo ni cocacolastic!
 
Mbona mwamposa hakamatwi?
Kwani kuna tofauti kati yao???
Zumaridi ni psychopath, anaweza leta maafa mbele ya safari. Mwamposa ni mjasiliamali anayechuma kwa kutumia jina la Mungu na mtoto wake Yesu.
 
Mama wa watu amejiajiri ila wao wanataka awe jobless ili awe chawa wao 😭
 
Mwanamke aweza kuwa mfalme? Limwa mke sagaji hilo.Na anapewa pesa na mashirika ya wasagaji ana utajiri sio wa sadaka ni wa kutoka mashirika ya wasagaji

Yuko mwingine anaitwa nabii Yasip Paul Bendera kanisa lake liko Buza ,Temeke. waumini wa kike humwita Baba Nabii ni msagaji pesa hupata toka kwa mashirika ya Lesbians

Boss wao wote wawili ni mtume askofu Paul Bendera ana kanisa Kijitonyama ,Dar es salaam linaitwa Revealation Church of Tanzania au kiswahili huitwa kanisa la ufunuo limeficha siri la kufunuana marinda nkndio kashika mfumo wa makanisa ya mashoga na wasagaji Tanzania

Hao wote wako chini yake.Huyo Askofu Paul Paul Vendera Zumaridi yeye ndie aliyemfundisha huo ushenzi na huyo nabii Yaspi ni mke wa mwanajeshi lakini huo upuuzi wa u lesbian tutor wake ni huyo askofu Bendera wa kijitonyama.Na anajiita Yaspi Paul Bendera. NI MHAYA baba yake wala haitwi Paul Bendera. Kabeba jina la huyo mentor wake wa uasagaji

Alipofunzwa mambo ya usagaji akachukua jina la Askofu Paul Bendera kama baba yake wa huo ushenzi
.Uhamiaji tafadhali nendeni mkamhoji huyo anajiita nabii Yaspi Paul Bendera je hayo majina ni halisi au sio kama sio kwa nini?ni raia au sio raia?
Pia fuatilieni wote walioko chini ya hilo kanisa la Askofu Bendera

Fanyeni upesi spidi ya umeme wasije kimbia nchi au kupoteza ushahidi
Wahi Mirembe mkuu. Ukiombwa ushahidi wa tuhuma zako utautoa?
 
Kama yeye sio Mungu?
Basi wamuonyeshe huyo wanayezani ndiye?

Uhuru wa kuabudu unaingiliwa na katiba inavunjwa
Una hoja, usikilizwe. Wakiambiwa huyo mwingine yuko wapi watakimbilia Biblia takatifu.
 
Hivi magerezani hakuna sumu? I mean slow poison?
 
NYote mnaosema zumaridi sio MUNGU tuonesheni huyo MUNGU Yuko wapi!!!
Dah, utaambiwa soma kitabu cha Mwanzo sura ya kwanza. Au kitabu cha Yohana Mtakatifu kinasema hapo Mwanzo lilikuwepo neno, na hilo ndilo Mungu, naye akamzaa Yesu.
 
Back
Top Bottom