Mfalme Zumaridi akamatwa na Polisi Mwanza

Mfalme Zumaridi akamatwa na Polisi Mwanza

Anakosea sana kujiita Mungu
Tatizo la hii gavoo inawapa uhuru mkubwa sana hao matapeli wa kimadhehebu kuendelea kufirisi masikini.

Wote hao, sijui nabii kuposa, upako, gwazima nk nk!

Eti 'uhuru wa kuabudu'!

Uhuru wa kuabudu taka taka!

Wajifunze Rwanda namna nzuri ya kushughulika na hao matapeli.
 
Makanasani hakuna watoto wakike na wakiume?? Kanisa lipi hilo
 
Wamuache mfalme.
Mwanamke aweza kuwa mfalme? Limwana mke sagaji hilo.Na anapewa pesa na mashirika ya wasagaji ana utajiri sio wa sadaka ni wa kutoka mashirika ya wasagaji

Yuko mwingine anaitwa nabii Yasip Paul Bendera kanisa lake liko Buza ,Temeke. waumini wa kike humwita Baba Nabii ni msagaji pesa hupata toka kwa mashirika ya Lesbians

Boss wao wote wawili ni mtume askofu Paul Bendera ana kanisa Kijitonyama ,Dar es salaam linaitwa Revealation Church of Tanzania au kiswahili huitwa kanisa la ufunuo limeficha siri la kufunuana marinda nkndio kashika mfumo wa makanisa ya mashoga na wasagaji Tanzania

Hao wote wako chini yake.Huyo Askofu Paul Paul Vendera Zumaridi yeye ndie aliyemfundisha huo ushenzi na huyo nabii Yaspi ni mke wa mwanajeshi lakini huo upuuzi wa u lesbian tutor wake ni huyo askofu Bendera wa kijitonyama.Na anajiita Yaspi Paul Bendera. NI MHAYA baba yake wala haitwi Paul Bendera. Kabeba jina la huyo mentor wake wa uasagaji

Alipofunzwa mambo ya usagaji akachukua jina la Askofu Paul Bendera kama baba yake wa huo ushenzi
.Uhamiaji tafadhali nendeni mkamhoji huyo anajiita nabii Yaspi Paul Bendera je hayo majina ni halisi au sio kama sio kwa nini?ni raia au sio raia?
Pia fuatilieni wote walioko chini ya hilo kanisa la Askofu Bendera

Fanyeni upesi spidi ya umeme wasije kimbia nchi au kupoteza ushahidi
 
Ni msagaji huyo Zumaridi ndio maana huitwa baba sio mama na wanawake
Una ushahidi mkuu?
Chura mwenye mashavu pia wanamtuhumu hivyo hivyo, je ni kweli?

Issue kujiita Mungu au kuwa Mungu ni kosa kwenye Sheria za nchi hii?

Kama sivyo hii kuhangaika na watu wenye Imani zao huoni ni upotezaji wa muda na rasilimali?
 
Wakamatwe hili iweje kwaiyo nchi hii akuna uhuru wa watu kuabudu wanacho kiamini?
Ushoga na usagaji haukubaliki Tanzania hata ukiwa kanisani

Huyo Zumaridi ni don wa usagaji anapokea pesa toka mitandao ya wasagaji kueneza usagaji Tanzania ndio maana hukomaa aitwe mfalme Zumaridi sio malikia Zumaridi wakati ni mwanamke
Toka lini mwanamke akaitwa mfalme?
 
Mwanamke aweza kuwa mfalme? Limwa mke sagaji hilo.Na anapewa pesa na mashirika ya wasagaji ana utajiri sio wa sadaka ni wa kutoka mashirika ya wasagaji

Yuko mwingine anaitwa nabii Yasip Paul Bendera kanisa lake liko Buza ,Temeke. waumini wa kike humwita Baba Nabii ni msagaji pesa hupata toka kwa mashirika ya Lesbians

Boss wao wote wawili ni mtume askofu Paul Bendera ana kanisa Kijitonyama ,Dar es salaam linaitwa Revealation Church of Tanzania au kiswahili huitwa kanisa la ufunuo limeficha siri la kufunuana marinda nkndio kashika mfumo wa makanisa ya mashoga na wasagaji Tanzania

Hao wote wako chini yake.Huyo Askofu Paul Paul Vendera Zumaridi yeye ndie aliyemfundisha huo ushenzi na huyo nabii Yaspi ni mke wa mwanajeshi lakini huo upuuzi wa u lesbian tutor wake ni huyo askofu Bendera wa kijitonyama.Na anajiita Yaspi Paul Bendera. NI MHAYA baba yake wala haitwi Paul Bendera. Kabeba jina la huyo mentor wake wa uasagaji

Alipofunzwa mambo ya usagaji akachukua jina la Askofu Paul Bendera kama baba yake wa huo ushenzi
.Uhamiaji tafadhali nendeni mkamhoji huyo anajiita nabii Yaspi Paul Bendera je hayo majina ni halisi au sio kama sio kwa nini?ni raia au sio raia?
Pia fuatilieni wote walioko chini ya hilo kanisa la Askofu Bendera

Fanyeni upesi spidi ya umeme wasije kimbia nchi au kupoteza ushahidi
Wewe umefika mtu wa 4 kusema hiki kitu mkuu.Leo nimeamini nikweli 100%
Wakwanza alikuwa ni dada yangu mtoto wa bamkubwa alikuwa muuamini badae akaacha...
Huyu alianza kuwa muumini baada ya mme wake kufa kwa ajairi ya meli MV NYERENYERE Nadhani unakumbuka hivyo akili yake iliyumba nakujikuta kawa mfuasi wa dini hiyo.

Alisema huo mkasa kuwa huwa anasagana na wanawake walipo karibu nawe na wanaume wanao mlinda marinda yao ni shaka shakani
Mwingine kanimbia mwaka huu huu kuhusu huyo bendera.LEO NIMEAMINI
 
View attachment 3334921

Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza linapenda kutoa taarifa kuwa leo tarehe 15.05.2025 majira ya saa nne asubuhi huko mtaa wa Buguku, kata ya Buhongwa, wilaya ya Nyamagana, limemkamata na linaendelea kumhoji Diana Edward Bundala ambaye pia hujitambulisha kwa jina la Mfalme Zumaridi, miaka 42, mkazi wa mtaa wa Buguku, kata ya Buhongwa, ambaye ameyageuza makazi yake kuwa kanisa, anatuhumiwa kuendesha shughuli za kidini bila usajili pamoja na kufanya mahubiri kwa waumini wake kwa sauti ya juu katika eneo hilo ambalo ni makazi ya watu na kusababisha usumbufu kwa majirani wanaoishi karibu na makazi yake.

Aidha, mwanamke huyo anahojiwa kuhusiana na taarifa inayoendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii akionekana kwenye picha mjongeo akiwa na kundi la watoto wenye umri mdogo wa jinsia ya kike na kiume akiwaeleza kuwa yeye ndiye Mungu wao ambaye ana uwezo wa kuwatenganisha na kifo.

Uchunguzi kuhusiana na tukio hili unaendelea, Jeshi la polisi katika uchunguzi huo litashirikiana na taasisi nyingine za serikali; hivyo linawaomba wananchi wenye taarifa mbalimbali zinazoweza kusaidia uchunguzi wa tuhuma hizi wafikishe kwa Jeshi la polisi. Uchunguzi utakapokamilika hatua za kisheria zinazostahili zitachukuliwa.
Kama

View attachment 3334921

Jeshi la polisi mkoa wa Mwanza linapenda kutoa taarifa kuwa leo tarehe 15.05.2025 majira ya saa nne asubuhi huko mtaa wa Buguku, kata ya Buhongwa, wilaya ya Nyamagana, limemkamata na linaendelea kumhoji Diana Edward Bundala ambaye pia hujitambulisha kwa jina la Mfalme Zumaridi, miaka 42, mkazi wa mtaa wa Buguku, kata ya Buhongwa, ambaye ameyageuza makazi yake kuwa kanisa, anatuhumiwa kuendesha shughuli za kidini bila usajili pamoja na kufanya mahubiri kwa waumini wake kwa sauti ya juu katika eneo hilo ambalo ni makazi ya watu na kusababisha usumbufu kwa majirani wanaoishi karibu na makazi yake.

Aidha, mwanamke huyo anahojiwa kuhusiana na taarifa inayoendelea kusambaa katika mitandao ya kijamii akionekana kwenye picha mjongeo akiwa na kundi la watoto wenye umri mdogo wa jinsia ya kike na kiume akiwaeleza kuwa yeye ndiye Mungu wao ambaye ana uwezo wa kuwatenganisha na kifo.

Uchunguzi kuhusiana na tukio hili unaendelea, Jeshi la polisi katika uchunguzi huo litashirikiana na taasisi nyingine za serikali; hivyo linawaomba wananchi wenye taarifa mbalimbali zinazoweza kusaidia uchunguzi wa tuhuma hizi wafikishe kwa Jeshi la polisi. Uchunguzi utakapokamilika hatua za kisheria zinazostahili zitachukuliwa.


View attachment 3334876
Kupoteza maboya ya No reform No election?
NB;Zumaridi ni mwehu anayefaa kukaa anacheza na poli
NYote mnaosema zumaridi sio MUNGU tuonesheni huyo MUNGU Yuko wapi!!!
 
Back
Top Bottom