Kibaraka wa Marekani huyu afe tu
Marekani sidhani kama wana cheo cha Waziri Mkuu!.Mfalme wa Saudi Arabia King Abdullah afariki dunia muda mfupi uliopita akiwa na Umri wa miaka 90. Mdogo wake(half brother) King Salman ametangzwa kuwa mrithi wake.
Mfalme huyo atazikwa mjini Riadh ndani ya masaa kumi kianzia sasa.
Saudi Arabia nchi pekee inayofuata mfumo wa kifalme lakini ina urafiki wa siku nyingi na Marekani inayofahamika kuwa nchi yenye demokrasia pana duniani. Rais Obama tayari ameshatuma salamu zake kwa Wasaudi Arabia.
Hata hivyo, kutokana na muda na maandalizi ya masuala ya kiusalama kuna uwezeno mkubwa kuwa Obama atashimdwa kwenda huko ila atawakilishwa na Waziri wa mambo ya nje (waziri mkuu) Mr John Kerrry.
Nawasilisha
Mikael Aweda
Chanzo CNN
Marekani sidhani kama wana cheo cha Waziri Mkuu!.
Kibaraka wa Marekani huyu afe tu
Mfalme wa Saudi Arabia King Abdullah afariki dunia muda mfupi uliopita akiwa na Umri wa miaka 90. Mdogo wake(half brother) King Salman ametangzwa kuwa mrithi wake.
Mfalme huyo atazikwa mjini Riadh ndani ya masaa kumi kianzia sasa.
Saudi Arabia nchi pekee inayofuata mfumo wa kifalme lakini ina urafiki wa siku nyingi na Marekani inayofahamika kuwa nchi yenye demokrasia pana duniani. Rais Obama tayari ameshatuma salamu zake kwa Wasaudi Arabia.
Hata hivyo, kutokana na muda na maandalizi ya masuala ya kiusalama kuna uwezeno mkubwa kuwa Obama atashimdwa kwenda huko ila atawakilishwa na Waziri wa mambo ya nje (waziri mkuu) Mr John Kerrry.
Nawasilisha
Mikael Aweda
Chanzo CNN
JK ataunganisha Saudia lazima..
JK ataunganisha Saudia lazima..
Hopefully the next leader can help Saudi Arabia transition their society into the17th century smoothly
kwa sala hizi naamini atamuona Mungu.
thx mikael kwa taarifa endelea kutujuza kinachojiri tunaandaa flightplan ya geneva to saudia kama tunaweza wahi tutakuwapamoja hukomfalme wa saudi arabia king abdullah afariki dunia muda mfupi uliopita akiwa na umri wa miaka 90. Mdogo wake(half brother) king salman ametangzwa kuwa mrithi wake.
Mfalme huyo atazikwa mjini riadh ndani ya masaa kumi kianzia sasa.
Saudi arabia nchi pekee inayofuata mfumo wa kifalme lakini ina urafiki wa siku nyingi na marekani inayofahamika kuwa nchi yenye demokrasia pana duniani. Rais obama tayari ameshatuma salamu zake kwa wasaudi arabia.
Hata hivyo, kutokana na muda na maandalizi ya masuala ya kiusalama kuna uwezeno mkubwa kuwa obama atashimdwa kwenda huko ila atawakilishwa na waziri wa mambo ya nje (waziri mkuu) mr john kerrry.
Nawasilisha
mikael aweda
chanzo cnn
Hata hivyo mfalme huyu alikuwa mzee sana,, pia alikuwa mgonjwa mara kwa mara so his death wasn't come as supprise!!
Daah..RIP mfalme..ngoja tuangalie mazishi ya karne..gari la kubebea maiti itakuwa la dhahabu
Daah mkuu sijui ataenda kwny mazishi?