Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,018
Yaap 17th Century. They need more time to reach 21st Century.17 th century?
Yaap 17th Century. They need more time to reach 21st Century.17 th century?
Walichoniudhi kwenye tyrant ni ushoga...
RIP "Maulana" Abdullah kama alivyokuwa anaitwa na wananchi wake!!
Ana kiporo ya baraza la mawaziri sijui kama ataweza. Akienda sitashangaa
Kubali umekosea Marekani haina cheo cha Waziri Mkuu!
Wabongo bwana!
ni jina la heshima tu. kama una unavyoweza kumuita Yeah mkombozi au mfalme !
Amesababisha vita vingi katika nchi za Kiislamu. Ndiye aliye fund machafuko ya Libya na Syria. Kwa kawaida vita vyote katika nchi za Kiislamu huwa funded na Saudi Arabia: kuanzia Yemen, Iraq, Libya nk. Nchi mbaya sana hii inayojali maslahi ya wazungu tu.
Kuna wakati Abdalla ameitaka USA 'ikate kichwa cha nyoka' akimaanisha Iran.
Mungu atamhesabia kama anavostahiki.
Thx mkuu kwa somo!
Awali nilidhani Maulana ni Mungu tu ndiyo maana siku nimeenda Saudia nikakuta mabango pale Riyadh wanamuita Maulana nikashtuka sana!
Wewe ambaye sio Kibaraka utaishi miaka mingapi?
Amesababisha vita vingi katika nchi za Kiislamu. Ndiye aliye fund machafuko ya Libya na Syria. Kwa kawaida vita vyote katika nchi za Kiislamu huwa funded na Saudi Arabia: kuanzia Yemen, Iraq, Libya nk. Nchi mbaya sana hii inayojali maslahi ya wazungu tu.
Kuna wakati Abdalla ameitaka USA 'ikate kichwa cha nyoka' akimaanisha Iran.
Mungu atamhesabia kama anavostahiki.
And that is the end of the human story on this piece of universe,u'rs and mine are coming.Get prepared.
If the muslim customs are followed, he will be buried the same day in a white sheet so that the earthly creature feast on his body. After that, his immediate family get together for a meal. The next day, all is well and back to normal.
Christians don't die like you guys.And that is the end of the human story on this piece of universe,u'rs and mine are coming.Get prepared.
QURAN 16:95 Yours fades away but what thou hath submitted to ALLAH are thereof forever
asipoenda najinyonga.