Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Poleni Wazanzibar.
Umejuaje kuwa hizo comments zimepostiwa na wakazi wa Dar?Watu wa dar mnalala kweli? Hii serikali imewafanya kitu kibaya sababu ya foleni mmekuwa waamsha popo Tanzania.
Poleni Wazanzibar.
Sijaelewa protocol za kifalme zinakuwaje labda,,nilifikiri atarithi Ufalme mtoto wake wa kiume au hakuwa na watoto? Kama ana watoto why Ufalme uende kwa mdogo wake. Wajuzi naombeni mnifahamishe hili
Alikua Akitmia Utajiri Wa Taifa Lake Kunyanyaxa Mataifa Mengne Na Pia Kulinda Mataifa Mengne
kabisa,Rest in peace mfalme mtukufu.
ulitaka aivuruge nchi kama syria au yemen ndio umkubali???????????Nilimkubali alipokuwa crown prince lakini pindi alipoukwa ufalme akalazimishwa kufuata matakwa ya magharibi na akakubali. Mungu ameweke pema
kabisa,
king abdullah alikuwa mwerevu sana.
nitamkumbuka daima
ulitaka aivuruge nchi kama syria au yemen ndio umkubali???????????
As king he pushed through cautious reforms, including giving women a greater public role, against opposition from religious conservatives, he defeated an Islamist insurgency 10 years ago
tyrant