Kul nafsi dhaikatul mauti wainnama tuwa fauna hujurakum yaumal kiyamat
Hapa Umetifuka Kiccm Sisiem Hajaweka Idgham Za Kumakinika Ila Alah Mafrlahu Warahmuh Wasknuh Fill Jannat
Kul nafsi dhaikatul mauti wainnama tuwa fauna hujurakum yaumal kiyamat
Nchi nyingi za kiarabu zimekaa kinafiki nafiki tuRest in hell..ameshiriki sana kumuua ghadafi..mshenzi tu
Waziri wa Mambo nje ndo kama waziri mkuu siyo sawa na mawaziri wengine
Hopefully the next leader can help Saudi Arabia transition their society into the17th century smoothly
mfalme abdullah afariki dunia
![]()
hayyat mfalme abdullah
taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mfalme wa saudi abdullah bin abdulaziz amefariki dunia akiwa hospitalini .
tamko la kifo cha mfalme huyo zilitolewa na kaka wa mfalme huyo aitwaye , salman,ambaye naye aliwahi kuwa mfalme.
kabla ya tamko hilo television ya taifa la saudi lilikatiza matangazo yake na kuweka nyimbo za quraan kama ishara ya kifo cha kiongozi wa juu wa ufalme.
king abdullah, amefariki dunia akiwa na miaka 90, alilazwa hospitalini kwa wiki kadhaa tangu december mwaka wa jana kutokana na maambukizi kwenye njia ya hewa.
mfalme huyo aliingia madarakani mwaka 2005 lakini alikuwa ni dhaifu mwenye kushambuliwa na maradhi mara kwa mara. Chanzo.bbc