Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,270
- 79,643
Bantu peoples - Wikipedia.Tatizo hujasema mbantu ana sifa gani na hatuna uhakika iwapo una takwmu kamili za watawala wa Oman.
Bantu peoples - Wikipedia.Tatizo hujasema mbantu ana sifa gani na hatuna uhakika iwapo una takwmu kamili za watawala wa Oman.
Nimeshaisoma hiyo,katika paragraph ya mwanzo inasema hivi "Bantu peoples are the speakers of Bantu languages, comprising several hundred indigenous ethnic groups in sub-Saharan Africa, spread over a vast area from Central Africa across the African Great Lakes to Southern Africa. "
Wakoloni siyo wazanzibarMkuu wale ni wazanzibari
Wakoloni siyo wazanzibar
siyo kama ni wamevuka mipaka ya ukoloni walikuwa ni wafanyabiashara haramu ktk nchi halalialiekwambia kama ni wakoloni nani?
siyo kama ni wamevuka mipaka ya ukoloni walikuwa ni wafanyabiashara haramu ktk nchi halali
Mjinga aweza Elimika Shekhe! na akajua. lkn Mpumbavu ukimtwanga akawa unga, ukamuumba upya upunguani wake utakuwa zaidi. ana mropokea hata babae bila utambuzi!!!Punguza ujinga
nani aliwanunua ? na kwa nini aliwahasi, kuwabinya koradaniBabu zako waliuzwa na Wajomba zao!
Mjinga aweza Elimika Shekhe! na akajua. lkn Mpumbavu ukimtwanga akawa unga, ukamuumba upya upunguani wake utakuwa zaidi. ana mropokea hata babae bila utambuzi!!!
nani aliwanunua ? na kwa nini aliwahasi, kuwabinya koradani
mambo ya watwana na mabwana hayo
Nani aliyachochea
msikubali yakarudi tena hao wenye hiyo damu na asili ya ubwana wasipewe kura asilani
Unajidanganya dogo na Elim yako hiyo ya Madrasa, muombege tu hiyo CCM inayowabembeleza hivohivo!!! atakuja kichwa maji mmoja mwenye hasira km mimi, ninaanza na wasaliti wala Makombo km wewe!!!, yaani sipigi bali itakuwa nakata funua moto mchibuyu!CCM propaganda zenu na zama zenu zimekwisha
wanaupenda sana uislamuWazanzibari mnanishangaza.mnaona fahari kutawaliwa na warabu wa Oman kuliko kujitawala wenyewe. Shame on You.
mzee hao waarabu wako mbona ndo watu wenye matatizo zaidi hadi wengine wanajilipua.hii dunia bila uislamu ingekuwa ni mahali pa amani sanaIngia google,"Zanzibar revolution wikipedia" utatokwa machozi sheikh, waomani/waislamu walivyouawa dhidi ya hao makafiri ambao wengiwao hatukonao tena, wanamme na wakina mama wameuawa kinyama, na wengine wajawazito very sad. Okello, Nyrr na Karume walidhani wataishi milele.
kwa hiyo kiboko ya waarabu ni IsraelMwee! Bora utawaliwe na mzungu kuliko waarabu! wakijifanya kurudi bora watanzania mfe wote mkishindwa! au muungane na Israel.
Israel yenyewe inawachukia waarabu balaa! inawaua lkn hawasikii, sasa jirani yako hamuelewani sembuse wewe muafrica mweusi?
Zamu yake sasa anavuna alichopanda, acha akae kifungoni, km alivowafanyia watumwa! hatakufa! siku akitubu ndo atakufa!
hawa wazee wanapigania dini.agenda yao wanataka kila mtu duniani awe muislamuUnajidanganya dogo na Elim yako hiyo ya Madrasa, muombege tu hiyo CCM inayowabembeleza hivohivo!!! atakuja kichwa maji mmoja mwenye hasira km mimi, ninaanza na wasaliti wala Makombo km wewe!!!, yaani sipigi bali itakuwa nakata funua moto mchibuyu!
Wewe lazima utakuwa mwarabu koko !!! Damu ya kibeberu ubaguzi haukomi imeunganishwa na Cain, sana bibi zenu wadenge walibakwa na watoto wa sultani! hata huko Oman hawawapendi, wanajua nyie kizazi cha watumwa mna hasira nao! Zanzibar hampendwi hizo ni hasira! na bado mnachokoza Mamlaka!
Ilani fiche ya chama langu pendwa ni OPERATION KATA FUNUA ZANZIBAR, Ukae mkao wa kula, colon letu halichukuliwi hivihivi kijinga!
Weee! wanaiogopa hata kuisikia tu! Misri ilinyanyua mikono kitambo, Lebanon, na sasa UAE, si unamjua Kashodge issue, iliwaingiza familia ya kifalme chaka! sasa UAE wameufayata wanaitambua Israel, Bado Iran kichwa maji!kwa hiyo kiboko ya waarabu ni Israel
mzee hao waarabu wako mbona ndo watu wenye matatizo zaidi hadi wengine wanajilipua.hii dunia bila uislamu ingekuwa ni mahali pa amani sana
shida yao kuu kuhusu muungano wao wanataka watawaliwe na waarabu.wanawapenda kweli waarabu na waarabu ni wabaguzi hawataki hata kuoana nao lakini maislamu bado hayaelewiWeee! wanaiogopa hata kuisikia tu! Misri ilinyanyua mikono kitambo, Lebanon, na sasa UAE, si unamjua Kashodge issue, iliwaingiza familia ya kifalme chaka! sasa UAE wameufayata wanaitambua Israel, Bado Iran kichwa maji!
U kitaka kuamini nenda Kariakoo, wapalestina wengi wanajifanya wapemba! sema nao ''Shaloom''! weee nakwambia wanahama faster, wanajua Israel iko kila mahali, wana agents! na anaweza kukupoteza mazimaa! bila hata serikali kujua!
Hakuna mpemba-Muarabu atakae jibu hii hoja hapo wanaamini mimi ni MOSSAD niko kazini! naweza kuwa-monitor kwa kutumia PC yangu. lengo la wapinga muungano, wanataka kujaza Wapalestina wasiokuwa na kwao tangu vita ya Yom kipur, Zanzibar ndo maana wanaililia sana. tunajua janja yao kitambo sana!!!