James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,340
N
Ahojiwe uraia wake na tumpe kesi ya uhujumu uchumi mbwa huyuAkamatwe ahojiwe
Ahojiwe uraia wake na tumpe kesi ya uhujumu uchumi mbwa huyuAkamatwe ahojiwe
...ahahahaaaaaaN
Ahojiwe uraia wake na tumpe kesi ya uhujumu uchumi mbwa huyu
Wako wakimbizi ambao wana makosa kweli na hatimae hurudi makwao kwa maridhiano na ndugu zao na viongozi walio madarakani Huyu naye ambaye hakuna mwenye ushahidi wa uovu alioufanya angependa kurudi nadhani raisi yeyote asingemzuia lakini sidhani kama atapenda kurudi kwenye nch ambayo imejaa fitna na watu wenye chuki za kijinga kama wewe hivyo.Maalim anamuwakilisha huyu , akishinda tu anarudi
Ilikuwa ni historia tu alipofikia huyo Jamshid kwani ilikuwa watawala ni wazanzibari wenye asili tofauti.Haikuwa tatizo mpaka walipofitinishwa. Mtu mwenye asili ya Oman akitawala Zanzibar tatizo liko wapi.Mbona Tanzania imewahi kutawaliwa na maraisi wenye asili ya Kenya na Msumbiji.Marekani imetawaliwa na mtu mwenye asili ya Uiengereza.Si rahisi kuwatenganisha viumbe vya Mwenyezi Mungu kwa matakwa ya kibinadamu.
Kama kuna mtu anaona ubaya ni kutawaliwa na mtu mwenye asili ya Oman basi ana dalili ya chuki za kidini.
Ahojiwe uraia wake na tumpe kesi ya uhujumu uchumi mbwa huyu
Maalim anamuwakilisha huyu , akishinda tu anarudi
Acha kabisa haya maisha,wakati mwingine yanachanganya sanaWalompindua washakufa yeye bado anakula mema ya nchi
Yale yalikuwa mapinduzi bandia na ya kulazimisha kwa maslahi ya mabeberu na ili kuudhuru uislamu ambapo mabeberu waliwatumia viongozi wetu wakuu wa wakati huo kuyafanikisha kwa kuuwa watu wasio na hatia.Kuna viongozi wetu waliopita ambao hupewa majina makubwa lakini kumbe walikuwa vibaraka na mbumbumbu kweli kweli.Acha kabisa haya maisha,wakati mwingine yanachanganya sana
Yale yalikuwa mapinduzi bandia na ya kulazimisha kwa maslahi ya mabeberu na ili kuudhuru uislamu ambapo mabeberu waliwatumia viongozi wetu wakuu wa wakati huo kuyafanikisha kwa kuuwa watu wasio na hatia.Kuna viongozi wetu waliopita ambao hupewa majina makubwa lakini kumbe walikuwa vibaraka na mbumbumbu kweli kweli.
Kama wasingejenga chuki baina ya watu kwa kuwatungia visa na visasi mpaka kundi la watu fulani likaonekana kama si watu na si wananchi basi wala kusingekuwa na mapinduzi ya sura ile.Kungetokea ugomvi wa uroho wa madaraka lakini sio wa kuwachukia watu wenye asili ya uarabu ambao walikuwa wamechanganyika mno na watu wote.
Inasikitisha sana.Pamoja na hiyo google soma kitabu cha Alghasaniy cha Kwaheri kwaheri.Mimi nakichukulia kuwa ni moja ya vitabu vikubwa vya historia kwani kimezungumza na wahusika wa mapinduzi moja kwa moja na waathirika sio wale wanaokaa mezani ni kuweka ndoto na chuki zao tu,Ukiondoa yote hayo mimi binafsi ni muathirika na nimeishi na wenzangu kila mmoja akisimulia mkasa wake tofauti kabisa na chuki za kisiasa na kikabila kwenye majukwaa. Nimeishi na waliobakwa na hawakuolewa wakafa kwa kihoro na wale walioshuhudia watu walioishi nao kwa ujirani mzuri lakini siku ile wakaletewa bunduki na wakazitumia kuuwa majirani nao ambao walikuwa wakitendeana mema na hawakuwa na ugomvi nao.Lakini hiyo ilikuja katika kampeni za chini chini za miaka kadhaa na zilizopata kasi karibu na siku ya mapinduzi kwa madai kuwa hawa ni mabeberu na wanawatuma bure.Wanasema nyinyi hivi na vile.Kumbe uongo mtupu. Ukitaka kujua angalia watoto waliozaliwa walikuwaje siku baada ya siku.Ingia google,"Zanzibar revolution wikipedia" utatokwa machozi sheikh, waomani/waislamu walivyouawa dhidi ya hao makafiri ambao wengiwao hatukonao tena, wanamme na wakina mama wameuawa kinyama, na wengine wajawazito 😥😥 very sad. Okello, Nyrr na Karume walidhani wataishi milele.
Inasikitisha sana.Pamoja na hiyo google soma kitabu cha Alghasaniy cha Kwaheri kwaheri.Mimi nakichukulia kuwa ni moja ya vitabu vikubwa vya historia kwani kimezungumza na wahusika wa mapinduzi moja kwa moja na waathirika sio wale wanaokaa mezani ni kuweka ndoto na chuki zao tu,Ukiondoa yote hayo mimi binafsi ni muathirika na nimeishi na wenzangu kila mmoja akisimulia mkasa wake tofauti kabisa na chuki za kisiasa na kikabila kwenye majukwaa. Nimeishi na waliobakwa na hawakuolewa wakafa kwa kihoro na wale walioshuhudia watu walioishi nao kwa ujirani mzuri lakini siku ile wakaletewa bunduki na wakazitumia kuuwa majirani nao ambao walikuwa wakitendeana mema na hawakuwa na ugomvi nao.Lakini hiyo ilikuja katika kampeni za chini chini za miaka kadhaa na zilizopata kasi karibu na siku ya mapinduzi kwa madai kuwa hawa ni mabeberu na wanawatuma bure.Wanasema nyinyi hivi na vile.Kumbe uongo mtupu. Ukitaka kujua angalia watoto waliozaliwa walikuwaje siku baada ya siku.
Kuna app maalum wenyewe google wameanzisha karibuni ya kuchuja habari zilizothibitishwa kwani hii ya sasa unakutana na mambo mengi ambayo yametungwa tu wala si ya kweli.Na kwa ujumla ni vigumu sana kudhibiti japo huenda huko mbeleni ikasaidia.Shukurani kwa ufafanuzi mzuri sana , Allah akujaze kheri sheikh wangu,,,Inshaallah nitakipitia hicho kitabu, na waislamu wote nawaomba wapitie hicho kitabu wapate kujua yaliyomo, google sometimes wanaficha ukweli.
wewe wenye asili ya Kibantu mbona hujawahi kutawala Oman?Ilikuwa ni historia tu alipofikia huyo Jamshid kwani ilikuwa watawala ni wazanzibari wenye asili tofauti.Haikuwa tatizo mpaka walipofitinishwa. Mtu mwenye asili ya Oman akitawala Zanzibar tatizo liko wapi.Mbona Tanzania imewahi kutawaliwa na maraisi wenye asili ya Kenya na Msumbiji.Marekani imetawaliwa na mtu mwenye asili ya Uiengereza.Si rahisi kuwatenganisha viumbe vya Mwenyezi Mungu kwa matakwa ya kibinadamu.
Kama kuna mtu anaona ubaya ni kutawaliwa na mtu mwenye asili ya Oman basi ana dalili ya chuki za kidini.
Wenye asili ya kibantu wanakuwaje kwa uoni wako.Na jee unajuwa historia kweli ya watawala wote wa Oman.wewe wenye asili ya Kibantu mbona hujawahi kutawala Oman?
Nimeuliza Mbantu ama Mmanyema anayetawala Oman!Wenye asili ya kibantu wanakuwaje kwa uoni wako.Na jee unajuwa historia kweli ya watawala wote wa Oman.
Na iwapo mfano hujamuona huyo unayemtaka atawale Oman,hii ligi unayotaka ina sababu gani na jee umefikia muda wa kuhoji hivyo kwa Oman.
Baada ya hapo nikujibu kuwa wapo wengi tu wenye asili ya Tanzania na Zanzibar ambao wanatawala Oman.Kumbuka ile meli iliyokuja Tanzania kama miaka 3 iliyopita iliongozwa na mawaziri wakubwa wa Oman ambao wametokea Tanzania na huko Tanzania wana ndugu wa kila rangi na makabila.