balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,473
- 12,605
Mapinduzi yalipangwa Dar,waingereza walimpa Nyerere kazi maalum na ndo maana alimpokea na Uingereza ikamhifadhi.Karume yeye alikuwa hajui lolote hata Babu.Mpango ulikuwa Ni kulinda maslahi ya mabeberu na kanisa.Ingia google,"Zanzibar revolution wikipedia" utatokwa machozi sheikh, waomani/waislamu walivyouawa dhidi ya hao makafiri ambao wengiwao hatukonao tena, wanamme na wakina mama wameuawa kinyama, na wengine wajawazito very sad. Okello, Nyrr na Karume walidhani wataishi milele.