Mfalme Ogu wa Bashani: Mnefili pekee aliyepona kwenye Gharika la Nuhu

Og aliweza kukata mlima, kuubeba na kuutupa? Na bado akaishi akapona gharika nje ya safina, wakati ambapo maji yalichukua mwaka mzima kukauka, nadharia nyingine, zinataka uvumilivu, kuzielezea!
Mkuu hizo zimeandikwa na vitabu vya dini ya kiyahudi mfano talmud midrash tanakh torah n.k ambao ndio kma quran au biblia yao..... Pia hao walimuona uso kwa uso ndio wakaja na hii simulizi sasa unaposema nadharia sijui unatoa kwa msingi upi

Kihistoria inakubalika kulikuwepo na watu wa futi zaidi ya 20 hapa duniani kwa ushahidi wa kisayansi na kiachiolojia na nimeweka hapo juu kuhusu kaburi la OG kuvumbuliwa na wanasayansi wa kifaransa!!! So tusiwe wagumu wa kusema HAIWEZEKANI ilihali Pyramids na mnara wa babeli mpaka leo maengineer wanajiuliza waliwezaje watu wa kale kuinua matofali size ya kontena ilihali hakukuwa na teknolojia kma ya sasa

Ukiweza kujibu hizo puzzle ndio utaelewa ukweli juu ya uwepo wa watu wa futi 20+ katika ulimwengu wa kale

Google tu Jiji la baalbek utaona maajabu ya tofali kma kontena sasa nani alibeba yale??

baalbek.jpg
 
Og aliweza kukata mlima, kuubeba na kuutupa? Na bado akaishi akapona gharika nje ya safina, wakati ambapo maji yalichukua mwaka mzima kukauka, nadharia nyingine, zinataka uvumilivu, kuzielezea!
Mkuu kuhusu maji kuna story isome juu ya wanajeshi 4 wa marekani waliopotea vitani baada ya ndege yao kutunguliwa na japan miaka ya 1940 ila waliweza kusurvive bila chakula na maji kwa siku zaidi ya 100 yaani robo mwaka ndio sembuse jitu la futi 28+ tena ambalo biblia inasema maji yalifunika milima kwa mikono 15 sasa mtu wa mikono futi 28 utalinganisha na mikono 15??? Ina maana kma angepanda kwenye mlima maji yangeishia kiunoni.... Kma ni chakula atakula hta mizoga siku zisogee
 
Kwa namna moja inaweza kuwa Mungu ndio alitaka wanadamu wa kale wawe hivo sababu ya umri waliokuwa wakiishi..... Yaani mtu aliishi miaka 900+ kama Adam au Methuselah ni lazima mwili uwe wa kibabe ili iweze kuhimili miaka yote hiyo sidhani kama unaweza kuwa na kamwili kama wa joti alafu uishi miaka 900 never!! Sijasoma biology au genetics ila kwa mtazamo wangu naona kuna connection kati ya UIMARA wa mwili na kuishi miaka mingi

Na ndio maana baada ya kupunguza umri wa wanadamu yaani baada ya gharika tunaona watu waliishi miaka sio zaidi ya 300 na ndio maana hata majitu makubwa yalipungua yakabaki yenye damu ya wanefili pekee!! Hii pia inaweza kuongezea sababu kwenye hoja yangu ya hapo juu kuhusu UMRI=UIMARA WA MWILI

Hoja kinzani itasema kuwa huenda kuna ukweli kuwa walikuwa kizazi cha kitofauti yaani mchanganyiko wa kizazi cha nyoka + na kizazi cha Mungu na ndio maana wakazaliwa watu warefu na wenye nguvu za ajabu ni katika kipindi hiki ndipo simulizi za majitu mashujaa kma nimrod Saigon gilgamesh na Hercules Zilikuwa kipindi hicho hadi wakaitwa MIUNGU kwa wakati wao hivo hoja ya uzao wao kutokuwa wa kibinadamu inapata mashiko hapa sababu tuliona uzao wa wanadamu wengine nje ya wanefili hawakuwa warefu sana kufikia hawa warefai/wanefili

Anyway labda watalaamu wa genetics wanaweza kusaidia hapa cc Kiranga
Hili la hacules vipi mkuu nimeangalia movie kadhaa naona kama jamaa alikua mwamba kweli kama ukipata muda hebu shusha nondo hii tupate japo mbili tatu
 
Hili la hacules vipi mkuu nimeangalia movie kadhaa naona kama jamaa alikua mwamba kweli kama ukipata muda hebu shusha nondo hii tupate japo mbili tatu
Ni kweli mkuu Hercules alikuwa ni nondo ingawa simulizi zake ni ngano za kigiriki ambazo kma kweli zilitokea hapa duniani basi zilitokea kipindi cha wanefili takribani miaka elfu7 iliopita ndio walikuwepo watu wa type ya hercules mfano walikuwepo watoto wa zammuzamim waliotwa mahway na mahyahaw kwa kiebrania.... Walikuwa na nguvu za ajabu sana kiasi waliomba vita na malaika.... Pia kuna ngano za watu kama gilgamesh ambaye kwa ubabe wake hapa duniani aliomba vita na MUNGU ili aisambaratishe mbingu nzima!!!

Kiukweli watu wa zamani walikuwa wababe sana tutakuja na uzi wao tuwachambue hawa vizuri na ngano zao nikiwa na wataalam kina Kudo900 NaughtyGuy Malcom Lumumba Palantir na vichwa vingine vya humu Jukwaa pendwa ili tuongeze maarifa.
 
Ni kweli mkuu Hercules alikuwa ni nondo ingawa simulizi zake ni ngano za kigiriki ambazo kma kweli zilitokea hapa duniani basi zilitokea kipindi cha wanefili takribani miaka elfu7 iliopita ndio walikuwepo watu wa type ya hercules mfano walikuwepo watoto wa zammuzamim waliotwa mahway na mahyahaw kwa kiebrania.... Walikuwa na nguvu za ajabu sana kiasi waliomba vita na malaika.... Pia kuna ngano za watu kama gilgamesh ambaye kwa ubabe wake hapa duniani aliomba vita na MUNGU ili aisambaratishe mbingu nzima!!!

Kiukweli watu wa zamani walikuwa wababe sana tutakuja na uzi wao tuwachambue hawa vizuri na ngano zao nikiwa na wataalam kina Kudo900 NaughtyGuy Malcom Lumumba Palantir na vichwa vingine vya humu Jukwaa pendwa ili tuongeze maarifa.
Mkuu nazisubiri hizo ngano Mungu akubaliki sana

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli mkuu Hercules alikuwa ni nondo ingawa simulizi zake ni ngano za kigiriki ambazo kma kweli zilitokea hapa duniani basi zilitokea kipindi cha wanefili takribani miaka elfu7 iliopita ndio walikuwepo watu wa type ya hercules mfano walikuwepo watoto wa zammuzamim waliotwa mahway na mahyahaw kwa kiebrania.... Walikuwa na nguvu za ajabu sana kiasi waliomba vita na malaika.... Pia kuna ngano za watu kama gilgamesh ambaye kwa ubabe wake hapa duniani aliomba vita na MUNGU ili aisambaratishe mbingu nzima!!!

Kiukweli watu wa zamani walikuwa wababe sana tutakuja na uzi wao tuwachambue hawa vizuri na ngano zao nikiwa na wataalam kina Kudo900 NaughtyGuy Malcom Lumumba Palantir na vichwa vingine vya humu Jukwaa pendwa ili tuongeze maarifa.
Naomba unitag Mkuu, mie nilijuaga Hercules ndio hadithi za King Nimrod ,ila unaposema kuwa ni ngano za kigiriki ndipo nimekumbuka ,Hercules na milima Olympus ,nasubiri huo Uzi Mkuu
 
Hili la hacules vipi mkuu nimeangalia movie kadhaa naona kama jamaa alikua mwamba kweli kama ukipata muda hebu shusha nondo hii tupate japo mbili tatu
Hercules ni hadithi za ugiriki,wanasema half God ,half Man ,ktk movies zake nae kazaliwa kimaajabu ( Mama ake hakuingiliwa na mumewe) mambo ya milima Olympus huko ugiriki ,tusubiri wajuzi wa mambo watupe vitu nami Nina shauku ya kumjua huyu vzr
 
Hercules ni hadithi za ugiriki,wanasema half God ,half Man ,ktk movies zake nae kazaliwa kimaajabu ( Mama ake hakuingiliwa na mumewe) mambo ya milima Olympus huko ugiriki ,tusubiri wajuzi wa mambo watupe vitu nami Nina shauku ya kumjua huyu vzr
Aisee hizi story nazipenda sana sema sijui pa kuzipata vipi hakuna hata vitabu vya izo hadithi mkuu
 
Mmmh,kama aliyepona kwenye gharika ni mmoja tena mwanaume aliwezaje kuendeleza kizazi chake?
Hapana mkuu sikumaanisha Ogu alipona peke yake bali namaanisha katika wanadamu wote waliokuwa nje ya safina yeye pekee ndio alipona

Kuhusu kizazi chake haijaelezwa alikiendelezaje ila biblia inasema walikuwepo wanefili wengine baada ya gharika ikimaanisha huenda katika uzao wa Nuhu kulikuwa na wanefili wengine ambao mmoja wao alikuja kuolewa na mfalme Ogu na kuzaa uzao mkubwa tu ambao kwa mujibu wa biblia ilikuwa miji 80
 
Kizazi chao kiliishia wapi?
Hapa bado imebaki alama za kiulizo maana wote tulifikiri walimalizwa kwenye gharika ila bado tunaona baada ya gharika kuna wanefili ikimaanisha hawakufutika kwenye gharika..... Tunaona wengine wakiwepo hadi wakati wa mfalme suleiman hivyo sijafaham waliishia wapi hasa viumbe hawa maana Biblia haijaeleza hilo
 
Back
Top Bottom