Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,345
- 2,018
Duh! Yani hamu alimgegeda Mama yake? Mkuu, kitabu gani unasoma kupata hizo nadharia nami nikitafute?Hapana mkuu canaan alilaaniwa sababu inadaiwa ham alimlala mama yake yaani mke wa Noah ndio akazaliwa canaan ila nadharia nyingine inasema canaan ndio aliona uchi wa nuhu ndio akaenda kumwambia ham ambaye naye ndio akaenda kuwaambia kina shem na japhet nadharia ya tatu inasema Ham alimuhasi Nuhu ndio maana hakupata watoto wengine baada ya gharika hivyo kwa hasira akamlaani canaan sababu ni kizazi cha HAM maana HAM aliua kizazi cha nuhu pia so bado kuna debate god willing ntapandisha uzi tujadili kwa kina
Kuhusu watu weusi kutokana na canaan kunaweza kuwa na ukweli ila kizazi cha canaan kibiblia kilifutika 90% hivyo hata kma walibaki walimezwa na semites wengine wa mashariki ya kati hivyo wakaishia huko yemen au qatar ila hawakufika afrika however watu weusi hatukulaaniwa kokote kumbuka waafrika wametoka kwa watoto wa ham wale wakubwa yaani Cush mizraim na phut ambao laana ya nuhu haikuwapata hivyo sio kweli kwamba ile laana ndio ilitufanya tukawa weusi na hta kma ni kweli ingemhusu tu canaan ambaye kizazi chake kilishapotea so sioni wapi laana imetufikia waafrika
Ni uelewa wangu tu huu wajuzi wanaweza tusaidia
mitale na midimu Malcom Lumumba Eiyer
Maana Mwanzao 9: 20 na kuendelea mbona inasema Nuhu alilewa kupindukia akawa hajitambui mwisho akakaa uchi ndo huyo Hamu akauona uchi wa Babake.
Pombe zilivomuisha ndo akatambua Hamu kamuona uchi na ndo laana ikaanzia hapo