Nchi pekee duniani ambayo Makamu wa Rais anatumwa nje ya Nchi kufanya kazi maalum kwa zaidi ya siku 30

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,496
37,789
Kazi maalum. Naam imethibitika pasi na Shaka kwamba Makamu wa Rais wa Tanzania Dr Mpango alikuwa nje ya Nchi Kwa zaidi ya mwezi mzima Kwa kazi maalum (special mission). Tangu nimfahamu Dr Mpango sikuwahi kujua kama Mheshimiwa ni Jasusi wa kiwango cha juu kiasi hiki.
Lakini ni nchi gani iliwahi kumtuma Afisa wake No.2 kwenda kufanya kazi maalum Kwa faida ya Nchi yake Kwa mwezi mzima?
Dr Mpango ni Mkristo Safi, anakijua vizuri kisa cha Mfalme Ahabu aliyejibadilisha mavazi ili aingie vitani na Washami wakamfuata yeye tu Hadi walipompata 1Wafalme 22:31-34.
Tanzania haiwezi kuwa na kazi maalum nje ya Nchi kama ni kweli ikamtuma Makamu wa Rais ni hatari. Siku nyingine tusifanye hivi ni hatari kiusalama na kidiplomasia pia. Lakini kama si hivyo basi nimkumbushe Mheshimiwa Makamu asome 1Waf.22:14 (Kama Bwana aishivyo, neno lile aniambialo ndilo nitakalolinena. Leo amenena mbele ya madhabahu ya Bwana, naamini amenena kweli aliyoambiwa na Bwana.
 
Kazi maalum. Naam imethibitika pasi na Shaka kwamba Makamu wa Rais wa Tanzania Dr Mpango alikuwa nje ya Nchi Kwa zaidi ya mwezi mzima Kwa kazi maalum (special mission). Tangu nimfahamu Dr Mpango sikuwahi kujua kama Mheshimiwa ni Jasusi wa kiwango cha juu kiasi hiki.
Lakini ni nchi gani iliwahi kumtuma Afisa wake No.2 kwenda kufanya kazi maalum Kwa faida ya Nchi yake Kwa mwezi mzima?
Dr Mpango ni Mkristo Safi, anakijua vizuri kisa cha Mfalme Ahabu aliyejibadilisha mavazi ili aingie vitani na Washami wakamfuata yeye tu Hadi walipompata 1Wafalme 22:31-34.
Tanzania haiwezi kuwa na kazi maalum nje ya Nchi kama ni kweli ikamtuma Makamu wa Rais ni hatari. Siku nyingine tusifanye hivi ni hatari kiusalama na kidiplomasia pia. Lakini kama si hivyo basi nimkumbushe Mheshimiwa Makamu asome 1Waf.22:14 (Kama Bwana aishivyo, neno lile aniambialo ndilo nitakalolinena. Leo amenena mbele ya madhabahu ya Bwana, naamini amenena kweli aliyoambiwa na Bwana.
.....nina walakini sana na majibu yake....amesema mbele ya madhabahu....Mungu hadhihakiwi....anyway pole sana VP
 
Kazi maalum. Naam imethibitika pasi na Shaka kwamba Makamu wa Rais wa Tanzania Dr Mpango alikuwa nje ya Nchi Kwa zaidi ya mwezi mzima Kwa kazi maalum (special mission). Tangu nimfahamu Dr Mpango sikuwahi kujua kama Mheshimiwa ni Jasusi wa kiwango cha juu kiasi hiki.
Lakini ni nchi gani iliwahi kumtuma Afisa wake No.2 kwenda kufanya kazi maalum Kwa faida ya Nchi yake Kwa mwezi mzima?
Dr Mpango ni Mkristo Safi, anakijua vizuri kisa cha Mfalme Ahabu aliyejibadilisha mavazi ili aingie vitani na Washami wakamfuata yeye tu Hadi walipompata 1Wafalme 22:31-34.
Tanzania haiwezi kuwa na kazi maalum nje ya Nchi kama ni kweli ikamtuma Makamu wa Rais ni hatari. Siku nyingine tusifanye hivi ni hatari kiusalama na kidiplomasia pia. Lakini kama si hivyo basi nimkumbushe Mheshimiwa Makamu asome 1Waf.22:14 (Kama Bwana aishivyo, neno lile aniambialo ndilo nitakalolinena. Leo amenena mbele ya madhabahu ya Bwana, naamini amenena kweli aliyoambiwa na Bwana.
Hili la "kazi maalumu" ni questionable na haiingii akilini..

Ni uongo na udanganyifu wa wazi na wa mchana kweupe kwa dhana ile ile ya viongozi wetu kudhani kuwa wao wenye dhamana ya uongozi wana akili sana na sisi tusio kwenye nafasi zao (uongozi) ni wajinga, wapumbavu, hatuna akili na hatufikirii vizuri...

Wamekosea sana. Hiki ni kiburi cha hali ya juu Cha viongozi wa serikali hii. Na kiburi siku zote hutangulia uanguko la mwenye kiburi hicho...

Mithali 18:12 NENO
"....Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi, bali unyenyekevu hutangulia heshima..."

Kwani kuna ubaya gani kwa serikali kuonesha unyenyekevu Kwa umma ambao ndio wamiliki wa serikali hii?

Hii serikali itapata vipi heshima toka kwa wananchi iwapo wanautupa unyenyekevu jalalani na kukitanguliza kiburi mbele?

Wangeweza kufanya jambo moja tu.

Aidha kunyamaza kimya au kukiri kosa na kuomba radhi kwa wananchi. Lakini kitendo cha serikali yenyewe kufanya kosa la kuficha taarifa na sasa wanataka kuanzisha ugomvi mwingine na wananchi eti kwa kuanza kuwaita wazushi na walitumia mitandao vibaya kuzusha, ni uwendazimu mwingine wa viongozi wetu hawa..

At first place, serikali ilishindwa nini kukanusha taarifa hizi za uzushi siku mbili au moja tu mara zilipojitokeza na kutoa taarifa kamili kule VP alipo na anachofanya..?

Hili la kazi maalumu binafsi hata haliingii akilini hata chembe. Ni uongo mtupu ila lipo jambo kubwa linafichwa...!
 
Kazi maalum. Naam imethibitika pasi na Shaka kwamba Makamu wa Rais wa Tanzania Dr Mpango alikuwa nje ya Nchi Kwa zaidi ya mwezi mzima Kwa kazi maalum (special mission). Tangu nimfahamu Dr Mpango sikuwahi kujua kama Mheshimiwa ni Jasusi wa kiwango cha juu kiasi hiki.
Lakini ni nchi gani iliwahi kumtuma Afisa wake No.2 kwenda kufanya kazi maalum Kwa faida ya Nchi yake Kwa mwezi mzima?
Dr Mpango ni Mkristo Safi, anakijua vizuri kisa cha Mfalme Ahabu aliyejibadilisha mavazi ili aingie vitani na Washami wakamfuata yeye tu Hadi walipompata 1Wafalme 22:31-34.
Tanzania haiwezi kuwa na kazi maalum nje ya Nchi kama ni kweli ikamtuma Makamu wa Rais ni hatari. Siku nyingine tusifanye hivi ni hatari kiusalama na kidiplomasia pia. Lakini kama si hivyo basi nimkumbushe Mheshimiwa Makamu asome 1Waf.22:14 (Kama Bwana aishivyo, neno lile aniambialo ndilo nitakalolinena. Leo amenena mbele ya madhabahu ya Bwana, naamini amenena kweli aliyoambiwa na Bwana.
Tatizo ni CCM
 
Kilichonifurahisha ni kwamba mambo yote yanayoandikwa mitandaoni dhidi yao kumbe hua yanawafikia halafu wanatichunia.
 
Katika kitu serekali itakosea ni kutaka wakamata walioulizia alipo huyu ndugu ndo watu watazidi chimba zaidi na kuleta evidence za alipokuwa Bora wajivunge lipite kama linavyopita la yapi
 
Hili la "kazi maalumu" ni questionable na haiingii akilini..

Ni uongo na udanganyifu wa wazi na wa mchana kweupe kwa dhana ile ile ya viongozi wetu kudhani kuwa wao wenye dhamana ya uongozi wana akili sana na sisi tusio kwenye nafasi zao (uongozi) ni wajinga, wapumbavu, hatuna akili na hatufikirii vizuri...

Wamekosea sana. Hiki ni kiburi cha hali ya juu Cha viongozi wa serikali hii. Na kiburi siku zote hutangulia uanguko la mwenye kiburi hicho...

Wangeweza kufanya jambo moja tu.

Aidha kunyamaza kimya au kukiri kosa na kuomba radhi kwa wananchi. Lakini kitendo cha serikali yenyewe kufanya kosa la kuficha taarifa na sasa wanataka kuanzisha ugomvi mwingine na wananchi eti kwa kuanza kuwaita wazushi na walitumia mitandao vibaya kuzusha, ni uwendazimu mwingine wa viongozi wetu hawa..

At first place, serikali ilishindwa nini kukanusha taarifa hizi za uzushi siku mbili au moja tu mara zilipojitokeza na kutoa taarifa kamili kule VP alipo na anachofanya..?

Hili la kazi maalumu binafsi hata haliingii akilini hata chembe. Ni uongo mtupu ila lipo jambo kubwa linafichwa...!
Sisi ndio tumehoji, yeye kuondoka miezi hata miwili kama yupo kwenye ziara ya kiserikali, na Raisi yupo, wala haidhuru chochote na hajakosea kifungu chochote.

Hata kama allikua anaumwa, and obvious atakua alikua anaumwa iwe alikua hapa ndani, au alikua nje, kuja na point waliyokuja nayo ni maamuzi yao.
Ila hakuna kosa lolote.
 
Sisi ndio tumehoji, yeye kuondoka miezi hata miwili kama yupo kwenye ziara ya kiserikali, na Raisi yupo, wala haidhuru chochote na hajakosea kifungu chochote.

Hata kama allikua anaumwa, and obvious atakua alikua anaumwa iwe alikua hapa ndani, au alikua nje, kuja na point waliyokuja nayo ni maamuzi yao.
Ila hakuna kosa lolote.
Na wewe huna kosa maana ndio unaona hivyo hata kama huoni kwa usahihi..

Lakini nikuambie tu kuwa ni kosa kubwa limefanyika bila kujali wewe unajua hili au hujui..

VP ni mali ya umma. Ni mali ya wananchi wote. Yaani mwezi mzima mali yako haipo na unaona ni sawa tu?

Rais Mkapa aliugua kwa muda mrefu akalazwa (nadhani London, Uingereza). Umma ulitaarifiwa na hakukuwa na tatizo..

Vivyo hivyo Rais Jakaya Kikwete aliugua tezi dume na kulazwa Marekani karibu mwezi mzima au zaidi, umma ulijua na hakukuwa na tatizo..

Kwa jinsi wewe ulivyo, waweza kuja na hoja ya ",hao walikuwa Ma - Rais kamili" na "huyu ni Vice President" tu. Ukija na hoja hii, basi nitathibitisha bila shaka yoyote kuwa wewe hujui chochote..

Mara baada ya Hayati Rais John P. Magufuli kuingia madarakani mwaka 2015, tabia ya kuficha mambo serikalini hata yasiyopaswa kufichwa iliota mizizi Kwa kasi sana..

Na kosa kama hili lilitokea pia wakati wa Rais Magufuli mwenyewe alipopotea ghafla mwanzoni mwa mwaka 2021. Kila kiongozi wa serikali akawa anatoa taarifa mkanganyiko aliko Rais na kuuchanganya umma usijue ushike lipi. Nao wananchi wakawa wanakuja na speculations zao tu..

Lakini ghafla serikali yote iliumbuka kwani taarifa zilizo kinyume na taarifa rasmi za serikali zikwa kumbe Rais alishafarikigi siku nyingi...

Kubali tu kuwa kuficha taarifa zinazowahusu viongozi wetu wakuu wa nchi ni kosa na ni hatari sana. Huu sio utamaduni mzuri hata chembe..!
 
Inashangaza sana. Hivi kuna masilahi gani ya kitaifa kuficha mahali alipo makamu kwa muda huo wote?
 
Na wewe huna kosa maana ndio unaona hivyo hata kama huoni kwa usahihi..

Lakini nikuambie tu kuwa ni kosa kubwa limefanyika bila kujali wewe unajua hili au hujui..

VP ni mali ya umma. Ni mali ya wananchi wote. Yaani mwezi mzima mali yako haipo na unaona ni sawa tu?

Rais Mkapa aliugua kwa muda mrefu akalazwa (nadhani London, Uingereza). Umma ulitaarifiwa na hakukuwa na tatizo..

Vivyo hivyo Rais Jakaya Kikwete aliugua tezi dume na kulazwa Marekani karibu mwezi mzima au zaidi, umma ulijua na hakukuwa na tatizo..

Kwa jinsi wewe ulivyo, waweza kuja na hoja ya ",hao walikuwa Ma - Rais kamili" na "huyu ni Vice President" tu. Ukija na hoja hii, basi nitathibitisha bila shaka yoyote kuwa wewe hujui chochote..

Mara baada ya Hayati Rais John P. Magufuli kuingia madarakani mwaka 2015, tabia ya kuficha mambo serikalini hata yasiyopaswa kufichwa iliota mizizi Kwa kasi sana..

Na kosa kama hili lilitokea pia wakati wa Rais Magufuli mwenyewe alipopotea ghafla mwanzoni mwa mwaka 2021. Kila kiongozi wa serikali akawa anatoa taarifa mkanganyiko aliko Rais na kuuchanganya umma usijue ushike lipi. Nao wananchi wakawa wanakuja na speculations zao tu..

Lakini ghafla serikali yote iliumbuka kwani taarifa zilizo kinyume na taarifa rasmi za serikali zikwa kumbe Rais alishafarikigi siku nyingi...

Kubali tu kuwa kuficha taarifa zinazowahusu viongozi wetu wakuu wa nchi ni kosa na ni hatari sana. Huu sio utamaduni mzuri hata chembe..!
Natamani niendelee kujibu umeandika vizuri. Accha ibaki hivo. Na mm ibaki vile.
 
Back
Top Bottom