Mfalme Juha !

Umetumia kipimo/vipimo gani vinavyotambuliwa kimataifa kufikia hitimisho kuwa ni rahisi sana kuiongoza Watanzania ukijua udhaifu wao?

Udhaifu wa Watanzania ni upi?

Unaufahamu vipi huo udhaifu wa Watanzania?

Nielimishe!
Hivi mkuu mfano mtu aki base kwa kipimo kile cha kauli ya marehemu mzee Kenyatta kwa Mwl Nyerere walipokuwa wanazungumzia kuongoza watu wa nchi hizi jee kipimo hicho kitakuwa cha kimataifa?
 
Wanayo haki, orodhesha majina ya vigogo kumi tu,tujue majuha wapo au hawapo,ili juha mkubwa awape haki yao na juha mpigania haki ya majuha naye afurahi
 
Umekunywa chai lakini?
i didnt take my breakfast coz i cant afford sugar price currently.nilidhan labda angesubiri hii ishu ya sukari,lugumi viishe kwanza then angeanza na hili la vitu hewa!!.its imposible to change and improve a nation within a year na ndo maana baba wa taifa la india hayati mahtma gandhi ali categorize plans into two categories..those immediate and ultimate plans.kila kitu kinahitaji muda kuwa implemented aspecially kwa nchi kama yetu ambayo almost kila kitu hakija kaa pouwaaa....ni lazima tuziweke mind zetu very relaxed ili kuassure wise decisions
 
Umetumia kipimo/vipimo gani vinavyotambuliwa kimataifa kufikia hitimisho kuwa ni rahisi sana kuiongoza Watanzania ukijua udhaifu wao?

Udhaifu wa Watanzania ni upi?

Unaufahamu vipi huo udhaifu wa Watanzania?

Nielimishe!
Na huwezi kumwelewa alichoandika, utaendelea kuuliza maswali tu.
 
Umetumia kipimo/vipimo gani vinavyotambuliwa kimataifa kufikia hitimisho kuwa ni rahisi sana kuiongoza Watanzania ukijua udhaifu wao?

Udhaifu wa Watanzania ni upi?

Unaufahamu vipi huo udhaifu wa Watanzania?

Nielimishe!
yaa naweza kukusaidia kaka.....udhaifu mkubwa wa sisi watanzania ni pale neno umasikini linapotamkwa.na thats why hata juzi kwenye hotuba ya mh.aliona alitumie neno wanyonge ili aguse pale ambapo anajua watanzania lazima watapiga makofi..lakin kiukweli ni ngumu sana kuamini kama kweli watoto wa vigogo ni wengi kiasi hicho mpk kufikia kias kwamba wanaweza wakawanyima nafasi watoto wa masikini ku join hiyo level...
 
Wana jamvi.

Kwa wanaopenda kujisomea vitabu kwa wingi, sidhani kama watakua hawajawahi kupitia hadithi ya mfalme juha!

Kwa wale wavivu ngoja niwaandikie summary hapa halafu tuhusanishe na siasa zetu hapa tanzania.

Mfalme juha alishonewa vazi zuuri la kufikirika, fundi mshonaji alimpa imani mfalme juha kuwa ati hilo vazi la kufikirika linampendeza saana mfalme. Bahati mbaya mfalme alimuamini saama fundi wake. Fundi alimaliza kushona vazi lake la kufikirika na akaenda kumvisha mfalme juha.

Mfalme juha alokuwa hataki kusikia la imamu wala la shehe, hivyo fundi alimvisha mfalme juha vazi baada ya kuchojoa nguo zoote! akalivaa vazi la kufikirika ila bahati mbaya hakukua na mtu yeyote aliyekuwa na uwezo wa kumuambia chochote mfalme juha, kumbe mfalme juha alikuwa mtupu kama alivyo zaliwa isipokuwa fundi wake tuu alimuambia kwa utupu wake huo anapendeza na vazi lake la kufikirika!

Akatokea maskini jasiri, aliye kata tamaa na maishayake, asiyogopa kufa akamuambia mbona mfalme wetu mtukufu uko uchiii! Mfalme mwisho wa siku alighadhabika ati kwa sababu wasaidizi wake hawakumueleza ukweli kuwa yu mtupu na hamna kitu kama vazi la kufikirika.

Tafakuri yangu ni kama huyo mfalme baada ya kuonyesha tupu yupo tayari kuendelea kuwa mfalme?

Tafakari hili.
 
Wana jamvi.

Kwa wanaopenda kujisomea vitabu kwa wingi, sidhani kama watakua hawajawahi kupitia hadithi ya mfalme juha!

Kwa wale wavivu ngojq niwaandikie summary hapa harafu tuhusanishe ma siasa zetu hapa tanzania.

Mfalme juha alishonewa vazi zuuri la kufikirika, fundi mshonaji alimpa imani mfalme juha kuwa ati hilo vazi la kufikirika linampendeza saana mfalme. Bahati mbaya mfalme alimuamini saama fundi wake. Fundi alimaliza kushona vazi lake la kufikirika na akaenda kumvisha mfalme juha.

Mfalme juha alokuwa hataki kusikia la imamu wala la shehe, hivyo fundi alimvisha mfalme juha vazi baada ya kuchojoa nguo zoote! akalivaa vazi la kufikirika ila bahati mbaya hakukua na mtu yeyote aliyekuwa na uwezo wa kumuambia chochote mfalme juha, kumbe mfalme juha alikuwa mtupu kama alivyo zaliwa isipokuwa fundi wake tuu alimuambia kwa utupu wake huo anapendeza na vazi lake la kufikirika!

Akatokea maskini jasiri, aliye kata tamaa na maishayake, asiyogopa kufa akamuambia mbona mfalme wetu mtukufu uko uchiii! Mfalme mwisho wa siku alighadhabika ati kwa sababu wasaidizi wake hawakumueleza ukweli kuwa yu mtupu na hamna kitu kama vazi la kufikirika.

Tafakuri yangu ni kama huyo mfalme baada ya kuonyesha tupu yupo tayari kuendelea kuwa mfalme?

Tafakari hili.
Story haikuishia hapo malizia
 
Wana jamvi.

Kwa wanaopenda kujisomea vitabu kwa wingi, sidhani kama watakua hawajawahi kupitia hadithi ya mfalme juha!

Kwa wale wavivu ngojq niwaandikie summary hapa harafu tuhusanishe ma siasa zetu hapa tanzania.

Mfalme juha alishonewa vazi zuuri la kufikirika, fundi mshonaji alimpa imani mfalme juha kuwa ati hilo vazi la kufikirika linampendeza saana mfalme. Bahati mbaya mfalme alimuamini saama fundi wake. Fundi alimaliza kushona vazi lake la kufikirika na akaenda kumvisha mfalme juha.

Mfalme juha alokuwa hataki kusikia la imamu wala la shehe, hivyo fundi alimvisha mfalme juha vazi baada ya kuchojoa nguo zoote! akalivaa vazi la kufikirika ila bahati mbaya hakukua na mtu yeyote aliyekuwa na uwezo wa kumuambia chochote mfalme juha, kumbe mfalme juha alikuwa mtupu kama alivyo zaliwa isipokuwa fundi wake tuu alimuambia kwa utupu wake huo anapendeza na vazi lake la kufikirika!

Akatokea maskini jasiri, aliye kata tamaa na maishayake, asiyogopa kufa akamuambia mbona mfalme wetu mtukufu uko uchiii! Mfalme mwisho wa siku alighadhabika ati kwa sababu wasaidizi wake hawakumueleza ukweli kuwa yu mtupu na hamna kitu kama vazi la kufikirika.

Tafakuri yangu ni kama huyo mfalme baada ya kuonyesha tupu yupo tayari kuendelea kuwa mfalme?

Tafakari hili.

Huwa nasikia raha sana nikiona watu hutoa rejea za waandishi wetu mahiri. Infact hakuwa maskini jeri aliyemdharirisha Mfalme juha, alikuwa mtoto mdogo ambaye alikuwa mmoja wa wanachi wake waliofika kikaoni kumsikiliza mfale Juha, mpenda masifa. Mtoto yule alisema'' eehhhhh mfalme yuko uchi.....''

Weka na rejeo la ''Kasri la mwinyi Fuadi'' pasipo kusahau ya yule mzee aliyesema ''....YANAMWISHO HAYA....''-KULI
 
Wana jamvi.

Kwa wanaopenda kujisomea vitabu kwa wingi, sidhani kama watakua hawajawahi kupitia hadithi ya mfalme juha!

Kwa wale wavivu ngoja niwaandikie summary hapa halafu tuhusanishe na siasa zetu hapa tanzania.

Mfalme juha alishonewa vazi zuuri la kufikirika, fundi mshonaji alimpa imani mfalme juha kuwa ati hilo vazi la kufikirika linampendeza saana mfalme. Bahati mbaya mfalme alimuamini saama fundi wake. Fundi alimaliza kushona vazi lake la kufikirika na akaenda kumvisha mfalme juha.

Mfalme juha alokuwa hataki kusikia la imamu wala la shehe, hivyo fundi alimvisha mfalme juha vazi baada ya kuchojoa nguo zoote! akalivaa vazi la kufikirika ila bahati mbaya hakukua na mtu yeyote aliyekuwa na uwezo wa kumuambia chochote mfalme juha, kumbe mfalme juha alikuwa mtupu kama alivyo zaliwa isipokuwa fundi wake tuu alimuambia kwa utupu wake huo anapendeza na vazi lake la kufikirika!

Akatokea maskini jasiri, aliye kata tamaa na maishayake, asiyogopa kufa akamuambia mbona mfalme wetu mtukufu uko uchiii! Mfalme mwisho wa siku alighadhabika ati kwa sababu wasaidizi wake hawakumueleza ukweli kuwa yu mtupu na hamna kitu kama vazi la kufikirika.

Tafakuri yangu ni kama huyo mfalme baada ya kuonyesha tupu yupo tayari kuendelea kuwa mfalme?

Tafakari hili.
Tafakuri hii ni jadidu, hasa kipindi hiki ambacho mjadala mkuu upo kwenye kauli za Baba Jesca na mwanaye. Je ni kweli Mfalme wetu, Baba Jesca amekaa uchi? Tafakari!
 
Wana jamvi.

Kwa wanaopenda kujisomea vitabu kwa wingi, sidhani kama watakua hawajawahi kupitia hadithi ya mfalme juha!

Kwa wale wavivu ngoja niwaandikie summary hapa halafu tuhusanishe na siasa zetu hapa tanzania.

Mfalme juha alishonewa vazi zuuri la kufikirika, fundi mshonaji alimpa imani mfalme juha kuwa ati hilo vazi la kufikirika linampendeza saana mfalme. Bahati mbaya mfalme alimuamini saama fundi wake. Fundi alimaliza kushona vazi lake la kufikirika na akaenda kumvisha mfalme juha.

Mfalme juha alokuwa hataki kusikia la imamu wala la shehe, hivyo fundi alimvisha mfalme juha vazi baada ya kuchojoa nguo zoote! akalivaa vazi la kufikirika ila bahati mbaya hakukua na mtu yeyote aliyekuwa na uwezo wa kumuambia chochote mfalme juha, kumbe mfalme juha alikuwa mtupu kama alivyo zaliwa isipokuwa fundi wake tuu alimuambia kwa utupu wake huo anapendeza na vazi lake la kufikirika!

Akatokea maskini jasiri, aliye kata tamaa na maishayake, asiyogopa kufa akamuambia mbona mfalme wetu mtukufu uko uchiii! Mfalme mwisho wa siku alighadhabika ati kwa sababu wasaidizi wake hawakumueleza ukweli kuwa yu mtupu na hamna kitu kama vazi la kufikirika.

Tafakuri yangu ni kama huyo mfalme baada ya kuonyesha tupu yupo tayari kuendelea kuwa mfalme?

Tafakari hili.
Aliweza kuendelea kuwa mfalme si kwa ujuha wake bali kwa ujuha wa watu wake aliowatawala kwakuwa hata baada ya kugundua ujuha wa mfalme wao wao wakavaa miwani ya mbao na headphone za nta.....!!!wakafunika kombe....
 
Back
Top Bottom