Mchelea Mwana
Member
- Apr 21, 2008
- 83
- 0
Karibu sana Mfalme Juha, ila nachelea kwamba wananch wako wameshaujua uJuha wako!
And guess what your days are numbered. tk tak tit tak
And guess what your days are numbered. tk tak tit tak
she is right!
Binafsi nimeishaamua labda Lowasa mwenyewe
aseme msinichague yaani ajitoe,lakini hata Mbowe akihama
na kwenda kuongea Nyota TV
Mimi na UKAWA tu mpaka kieleweke.
Mi nilishakataa hizo habari kitambo.
Inaonekana mpaka JF tumekubali ujuha huo.
Kuna mtu kaweka article inambonda mfalme kutoka The Economist naona imetolewa siioni tena.
http://www.economist.com/news/middl...s-good-governs-impulsively-government-gesture
Umetumia kipimo/vipimo gani vinavyotambuliwa kimataifa kufikia hitimisho kuwa ni rahisi sana kuiongoza Watanzania ukijua udhaifu wao?hakuna kitu rahisi katika dunia hii kama kuwaongoza watanzania.,maana ukishajua juu udhaifu wao bhaaaaaaaasi!!! Kila utakalo fanya au kuongea wao watakuwa pamoja na wewe.tumekuwa watu wa kupokea mambo kama yalivyo bila hata kutumia even a minute to think.leo ukisema "nafanya haya yote kwa ajili ya kutetea watanzania masikini na wanyonge" watu watapiga makofi na kukuita jembe au mkombozi wao.INAUMA KIKUKWELI. It meanz hawa watoto wa vigogo nao hawana haki kwenye taifa lao au!!!!
Hiyo link uliyonipa imenipa message " page not found"Tatizo lako upo outdated kuhusu kinachoendelea hapa Jamiiforums lakini unataka tudhani upo updated.
Hii habari ilishajadiliwa hapa mwezi uliopita lakini wewe unataka kujenga hoja kama MOD's hawafanyi kazi zao inavyotakiwa.
Kwa kukusaidia kama unataka mjadala kuhusiana na suala hilo pitia kwenye thread hii;
Nadhani kwenye paste nilikosea.Hiyo link uliyonipa imenipa message " page not found"
Imeondolewa?