Mfahamu vyema mnyama Tembo (Elephant )

Mfahamu vyema mnyama Tembo (Elephant )

Why do elephant testes are inside?
Tembo pumbu zao hazija shikiliwa na scrotum kama walivyo mamalia wengine.


Lengo la ngozi hiii ni kushikilia pumbu zipate condition nzuri za uzalishaji wa mbegu za kiume.

Condition nayo zungumzia hapa ni either ubaridi au joto.

Inatakiwa iwe optimum, joto lisiwe kubwa kama ilivyo kwa baridi.

Twende kwa tembo ; tembo system yake ya cooling na kubalance joto ipo stable, Tembo ana sehemu chini ya masikio inayo balance joto vzuri na kuwekaa mazingira safi ya uzalishaji mbeguu.
 
Hapana mkuu tembo wana rangi moja ila wakati mwingine huweza kubadilika rangi kutokana na tabia yao yard kujiwekea maji na matope (wallowing ) ili kupunguza joto katika miili yao wakati wa jua kali kwa sababu wao hawana nywele kama wanyama wengine wao ni hairless mammals na pia hii tabia ya wallowing hufanywa na wanyama wengine pia ambao hawana nywele katika miili yao kama mbogo (Buffalo ), faru (Rhino ) na hata ngiri (Warthog )
Shawahi kuona kwenye kitabu an albino elephant.Nlikuwa nauliza unamtofautishaje tembo wa Asia na wa Africa.
ayafai kwa matumizi ya binadamu..
 
Je tembo ana magoti?
Kwanza tujue magoti ni nini??

Magoti ni sehemu ya mguu unayoweza kukunjwa / kukunjika.


Yeah, tembo ana magoti



Tazama hapa, tembo akiwa kapiga magoti
images+%285%29.jpg
download+%284%29.jpg
 
Daah safi sana hilo somo mkuu kila Wiki tupia ya mnyama mmoja mmoja tupate elimu adimu, hivi tembo anaweza kulala chini na nilikwenda Kule Manyara tukamuona kama alikua ana majimaji sikioni yanatoka polepole je nini yale maji au machozi ya hasira ??hebu nipe somo hapo mkuu
Yale sio machozi mkuu, ile "flow" inaitwa "musth flow". Na inatokea kwa Bulls/tembo dume peke yao. Inasababishwa na hormoni za kiume/testosterone kuwa juu kuliko kawaida (documented: mara 60 kuliko kawaida) hivyo inatoa huo mtiririko unaoitwa "Musth/must".

Tembo alie katika hali hii huwa ni mkorofi na mwenye hasira na ukatili kupita kawaida. Na katika kutoa hizo "stress" ndo utakuta anatafuta ugomvi na madume wenzake hata pale ambapo hakuna jike lililo kwenye "heat" karibu. Na kutokana na uwezekano wa kuumizwa na mwenzao mwenye hii hali, mara nyingi kundi linamtenga/kukaa mbali naye. Basi akiwa peke yake ndio utakuta anavunjavunja miti pasi na nia hata ya kula majani yake.
 
daah huyu mnyama kumbe ana vituko hivyo yaani akipata (genye) hamu anavunja kuanzia vichaka hadi miti mara atoe watu mbio daah papuchi kumbe ni muhimu hata kwa wanyama aloo
 
Mkuu huyo anakimbia kwa spidi gani nasikia ukigeuka ghafla anakula mzinga chini anadondoka hebu lete somo hapo
 
54077bdd91a5aa362437ba5547b19efa.jpg


Tunamzungumzia tembo. Huyu ndiye mnyama mkubwa kuliko wote aishiye nchi kavu na anashika namba mbili duniani kwa ukubwa baada ya nyangumi (Blue whale ambaye ana uzito wa tone 190).

Tembo anapatikana katika bara la Africa na barani Asia pekee katika dunia nzima, yupo katika order inayofahamika kama PROBOSCIDEA na familia yake ni ELEPHANTIDAE na uzito wake ni tone 7 kwa dume na tone 5-6 kwa jike pia la tembo hubeba ujauzito wake kwa kipindi cha takribani miezi 22-24 na huyu ndo mnyama anayebeba ujauzito wake kwa mda mrefu kuliko wanyama wote duniani na mtoto wa tembo anapozaliwa anakuwa na uzito wa kilo 120 na urefu wa futi 3.

Tembo hula nyasi na majani ya juu katika matawi ya miti (Browser ) na hula takribani kilo 300 za majani na hunywa maji lita 150-200 kila siku, pia tembo hupumzika masaa nane pekee kwa siku na masaa mengine 16 yaliyobaki huyatumia kutafuta malisho yake.

Hawa pia ni miongoni mwa wanyama walio katika hatari ya kutoweka duniani kutokana na kuwindwa sana na majangili kwa ajili ya meno yao ambayo yana thamani kubwa katika nchi za uarabuni hasa hasa nchini yemeni.

Kwa kawaida tembo huishi katika makundi na kila kundi la tembo huongozwa na tembo jike (matriarch cow or female leader ) wakati madume wao huishi katika kundi la madume pekee (Bachelor herd ) au wakati mwingine mmoja mmoja (Solitary ) na wakati wa ujamianaji madume huwatafuta majike waliopo kwenye heat kwa njia ya harufu pia madume hupigana kweli kweli kwa ajili ya kugombania majike na atakayeibuka mshindi huyo ndiye atakayejamiana na jike aliopo kwenye heat.

Uume wa dume la tembo una takribani kilo 27 na ukifanya kazi vizuri kwa mama wakati wa tendo humwaga maji (manii )lita tano . Tembo huishi duniani(life span ) kwa kipindi cha miaka 60-70 years na hii ni kutokana na kuwa tembo hutegemea sana meno yao yaani iko hivi tembo wana seti sita za meno na kila seti ya meno hulika na Kung'oka wakati wa tembo akila majani, mfano seti ya kwanza ikilika na Kung'oka seti ya pili huchukua nafasi na ya pili nayo ikilika ya tatu huchukua nafasi hivyohivyo hadi seti ya sita ambayo ndiyo seti ya mwisho na hii seti ya sita ikishalika na Kung'oka hapo tembo hatokuwa tena na uwezo wa kula vyakula vigumu kama mizizi, magome ya miti wala majani magumu na badala yake tembo huamia katika maeneo owevu (Marsh area ) na kula nyasi laini ambazo hizi nyasi hazina uwezo virutubisho vya kutosha kwa tembo na baadaye tembo hufa kwa ugonjwa wa utapia mlo (malnutrition ).

Tembo huvuna majani kwa kutumia mkonga wake ambao umeundwa na zaidi ya misuli 1000 pia mkonga wa tembo una kazi nyingi kama kunywa maji, kupumua na kadhalika.

Licha ya kuwa mzito tembo ana uwezo wa kuogelea bila kuzama na ardhini tembo ana uwezo wa kukimbia takribani kilometers 40 kwa saa.

Hapa nchini Tanzania tembo wanapatikana karibia katika hifadhi zote lakini sehemu nzuri zaidi ya kuwaona hawa kwa kaskazini ni TARANGIRE NATIONAL PARK na kusini ni RUAHA NATIONAL PARK.

Mkuu niliwahi kusikia eti tembo nao wana weka matanga ya misiba akifiwa na wanazikana kama sisi na wanazikana maeneo gani hayo maalumu? na kwann wazikane? maana sisi binadamu hata Faru Ngabu tunazika tu
 
54077bdd91a5aa362437ba5547b19efa.jpg


Tunamzungumzia tembo. Huyu ndiye mnyama mkubwa kuliko wote aishiye nchi kavu na anashika namba mbili duniani kwa ukubwa baada ya nyangumi (Blue whale ambaye ana uzito wa tone 190).

Tembo anapatikana katika bara la Africa na barani Asia pekee katika dunia nzima, yupo katika order inayofahamika kama PROBOSCIDEA na familia yake ni ELEPHANTIDAE na uzito wake ni tone 7 kwa dume na tone 5-6 kwa jike pia la tembo hubeba ujauzito wake kwa kipindi cha takribani miezi 22-24 na huyu ndo mnyama anayebeba ujauzito wake kwa mda mrefu kuliko wanyama wote duniani na mtoto wa tembo anapozaliwa anakuwa na uzito wa kilo 120 na urefu wa futi 3.

Tembo hula nyasi na majani ya juu katika matawi ya miti (Browser ) na hula takribani kilo 300 za majani na hunywa maji lita 150-200 kila siku, pia tembo hupumzika masaa nane pekee kwa siku na masaa mengine 16 yaliyobaki huyatumia kutafuta malisho yake.

Hawa pia ni miongoni mwa wanyama walio katika hatari ya kutoweka duniani kutokana na kuwindwa sana na majangili kwa ajili ya meno yao ambayo yana thamani kubwa katika nchi za uarabuni hasa hasa nchini yemeni.

Kwa kawaida tembo huishi katika makundi na kila kundi la tembo huongozwa na tembo jike (matriarch cow or female leader ) wakati madume wao huishi katika kundi la madume pekee (Bachelor herd ) au wakati mwingine mmoja mmoja (Solitary ) na wakati wa ujamianaji madume huwatafuta majike waliopo kwenye heat kwa njia ya harufu pia madume hupigana kweli kweli kwa ajili ya kugombania majike na atakayeibuka mshindi huyo ndiye atakayejamiana na jike aliopo kwenye heat.

Uume wa dume la tembo una takribani kilo 27 na ukifanya kazi vizuri kwa mama wakati wa tendo humwaga maji (manii )lita tano . Tembo huishi duniani(life span ) kwa kipindi cha miaka 60-70 years na hii ni kutokana na kuwa tembo hutegemea sana meno yao yaani iko hivi tembo wana seti sita za meno na kila seti ya meno hulika na Kung'oka wakati wa tembo akila majani, mfano seti ya kwanza ikilika na Kung'oka seti ya pili huchukua nafasi na ya pili nayo ikilika ya tatu huchukua nafasi hivyohivyo hadi seti ya sita ambayo ndiyo seti ya mwisho na hii seti ya sita ikishalika na Kung'oka hapo tembo hatokuwa tena na uwezo wa kula vyakula vigumu kama mizizi, magome ya miti wala majani magumu na badala yake tembo huamia katika maeneo owevu (Marsh area ) na kula nyasi laini ambazo hizi nyasi hazina uwezo virutubisho vya kutosha kwa tembo na baadaye tembo hufa kwa ugonjwa wa utapia mlo (malnutrition ).

Tembo huvuna majani kwa kutumia mkonga wake ambao umeundwa na zaidi ya misuli 1000 pia mkonga wa tembo una kazi nyingi kama kunywa maji, kupumua na kadhalika.

Licha ya kuwa mzito tembo ana uwezo wa kuogelea bila kuzama na ardhini tembo ana uwezo wa kukimbia takribani kilometers 40 kwa saa.

Hapa nchini Tanzania tembo wanapatikana karibia katika hifadhi zote lakini sehemu nzuri zaidi ya kuwaona hawa kwa kaskazini ni TARANGIRE NATIONAL PARK na kusini ni RUAHA NATIONAL PARK.

Mkuu somo safi sana hili ,swali langu hivi hayo meno au mapembe yanatumika kwa shughuli gani kwa binadamu mpaka vimacho vidogo wanachanganyikiwa hivyo wakiona tembo wetu?
 
Mkuu somo safi sana hili ,swali langu hivi hayo meno au mapembe yanatumika kwa shughuli gani kwa binadamu mpaka vimacho vidogo wanachanganyikiwa hivyo wakiona tembo wetu?
Vitu vingi, urembo vyombo mbalimbali.

Nakshi nakshi pia
 
Back
Top Bottom