Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 741
Simba wakiwa wengi kama kumi na tano na kuendelea wanauwezo wa kumshusha tembo lakini mziki unakuja kwenye kumla maana tembo ana ngozi ngumu ajabu unaambiwa ile ngozi hata mshale unadundaSafi,umechambua vizuri,,,nimependa hapo manii yake ni lita TANO za ujazo, na mkonga wake una misuri elfu moja, ivi simba wana uwezo wakumuua tembo mkuu,,kama wanavyomuua nyati