Mfahamu vyema mnyama Tembo (Elephant )

Mfahamu vyema mnyama Tembo (Elephant )

Maadili kaka na kanuni za JF haziruhusu.
But unaweza kuwatch tu kupitia YouTube just search tu ziko nyingi tu.

Mimi ninazo na Tembo,simba,tiger,nyani,twiga,pundamilia,nyumbu,duma,nyati
Mim Sio Kaka Ako

Mim Shemeji Yako

Ok Pouwah
 
Shemeji Vp Tena

Ebu Sema Na Wee Unacho jua Kuhusu Uyu Mnyama
58780892bc417073bb37d922b9585663.jpg
 
USILOLIJUA KUHUSU TEMBO.

1. Tembo, Pamoja na ukubwa wake, akitembea hana kishindo kabisa. Miguu yake kwa chini ni kama ina sponji hivi

2. Tembo ana uzito wa tani 7

3. Tembo jike hubeba mimba miaka 2

4.Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80

5. Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na maji lita 40

6. Uume wa tembo una kilo 27, ukimuona wakati anafanya mapenzi kwa nyuma unaweza kuhisi ana miguu mitatu.

7. Ni moja kati ya wanyama ambao hawapendi kelele

8. Wastani wa umri wake wa kuishi ni miaka 60.

9. Tembo hufanya mapenzi kwa masaa

12. Masaa 6 ya mwanzo huyatumia kumuandaa mwenzi wake, na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe. Na hiyo ni ile raundi ya kwanza (bao la kwanza)

10. Tembo dume huwa na wanawake wawili mpaka wanne

11. Akipiga bao tembo dume manii zake ni ujazo wa lita tano.
UKIAMBIWA USIMUIGE TEMBO, UWE UNAELEWA
Hata hapo No 11 unasema manii ya Tembo ni Lita 5.

Ukweli wa kisayansi baada ya tafiti mbalimbali ni huu.

Tembo anatoa manii ya ujazo wa 93mls sawa na 0.093 Lita

Binadamu mwanaume anatoa manii 3mls

Sungura anatoa manii 1mls

Farasi hutoa manii 50mls

Jogoo hutoa manii 0.8mls

Mbwa hutoa manii 6mls
 
Mim Sio Kaka Ako

Mim Shemeji Yako

Ok Pouwah
JF ni watu wote siyo only You kumbuka,siwezi kupost video unazotaka niweke.

Nimekushauri ukitaka kuona wanyama wakifanya mating nenda YouTube utazikuta tu watafiti wamejaribu kuweka ili kuthibitisha tafiti zao pia.
 
Kama ndivyo, basi ukipiga hesabu sawa sawa unaweza kukuta kumbe kutunza tembo ni hasara tupu kwa taifa!! Lita 40 za maji mi nakunywa mwezi mzima na chenji ya kutosha inabaki halafu yeye anayabugia siku moja tu? Kumbe ndo maana huwezi kuona sehemu ambayo tembo na wanyama wengine hunywa maji halafu ukakuta maji ya kutosha zaidi ya maji yaliyojaa matope! Majani nae ni kiumbe hai lakini hana wa kumtetea lakini siku akisikia tembo wameisha basi majani yatafanya sherehe!!!

Ikiwa kupungua kwa vyanzo vya maji kunachangiwa na mabadiliko ya tabia za nchi basi hata tembo nae ana mchango katika hili!
Hizi ni fikra za kijangili kabisa.
Unashindwa hata kugoogle maana ya ecosystem.
Kwa maneno mengine unataka kusema kusingekua na kiumbe anaitwa tembo kusingekua na shida ya maji kabisa..
 
dukuduku langu ni hapo namba tano chakula sawa lkn kwenye maji hiyo lita 40 za maji ni kidogo sana hiyo ni kiwango cha ng'ombe wa kisasa kwa siku
 
Nlikuwa busy na dada yako shemeji yangu. Si unajua tena leo ukitoka kwenda kutembea na sisi ndo tunapata muda wa kufanya kama hao tembo ila sisi ni masaa nane. Unarudi saa ngap shem? Upitie gengen uniletee na matunda nirudishe nguvu zilizopotea.

Shemeji Toa Hoja Acha Kulalamika
 
1.Tembo pamoja na ukubwa wake
akitembea hana kishindo kabisa miguu yake
kwa chini ni kama ina sponge hivi.
2.Tembo anaukubwa wa tani 7
3.Tembo jike hubeba mimba miaka 2
4.Tembo mtoto huzaliwa akiwa na kilo 80
5.Chakula cha tembo kwa siku ni kilo 300 na
maji lita 40
6.Uume wa tembo una kilo 27,ukimuona
wakati anafanya mapenzi kwa nyuma
unaweza kuhisi ana miguu mitatu.
7.Ni moja kati ya wanyama ambao hawapendi
kelele
8.Umri wake wa kuishi ni miaka 60
9.Tembo ana fanya mapenzi kwa masaa 12
masaa 6 ya mwanzo anamuandaa mwenzi
wake na 6 yanayobaki ndio shughuli yenyewe
na hiyo ni ile raundi ya kwanza.
10.Tembo dume huwa na wanawake wawili
mpaka wanne
11.Akipiga bao tembo dume manii zake ni
ujazo wa lita tano.
kwanza hakuna ajabu hapo, halafu hiyo namba mbili, hakuna ukubwa wa kitu kinachoitwa tani saba, ila kuna kitu kinaitwa uzito wa tani saba
 
54077bdd91a5aa362437ba5547b19efa.jpg


Tunamzungumzia tembo. Huyu ndiye mnyama mkubwa kuliko wote aishiye nchi kavu na anashika namba mbili duniani kwa ukubwa baada ya nyangumi (Blue whale ambaye ana uzito wa tone 190).

Tembo anapatikana katika bara la Africa na barani Asia pekee katika dunia nzima, yupo katika order inayofahamika kama PROBOSCIDEA na familia yake ni ELEPHANTIDAE na uzito wake ni tone 7 kwa dume na tone 5-6 kwa jike pia la tembo hubeba ujauzito wake kwa kipindi cha takribani miezi 22-24 na huyu ndo mnyama anayebeba ujauzito wake kwa mda mrefu kuliko wanyama wote duniani na mtoto wa tembo anapozaliwa anakuwa na uzito wa kilo 120 na urefu wa futi 3.

Tembo hula nyasi na majani ya juu katika matawi ya miti (Browser ) na hula takribani kilo 300 za majani na hunywa maji lita 150-200 kila siku, pia tembo hupumzika masaa nane pekee kwa siku na masaa mengine 16 yaliyobaki huyatumia kutafuta malisho yake.

Hawa pia ni miongoni mwa wanyama walio katika hatari ya kutoweka duniani kutokana na kuwindwa sana na majangili kwa ajili ya meno yao ambayo yana thamani kubwa katika nchi za uarabuni hasa hasa nchini yemeni.

Kwa kawaida tembo huishi katika makundi na kila kundi la tembo huongozwa na tembo jike (matriarch cow or female leader ) wakati madume wao huishi katika kundi la madume pekee (Bachelor herd ) au wakati mwingine mmoja mmoja (Solitary ) na wakati wa ujamianaji madume huwatafuta majike waliopo kwenye heat kwa njia ya harufu pia madume hupigana kweli kweli kwa ajili ya kugombania majike na atakayeibuka mshindi huyo ndiye atakayejamiana na jike aliopo kwenye heat.

Uume wa dume la tembo una takribani kilo 27 na ukifanya kazi vizuri kwa mama wakati wa tendo humwaga maji (manii )lita tano . Tembo huishi duniani(life span ) kwa kipindi cha miaka 60-70 years na hii ni kutokana na kuwa tembo hutegemea sana meno yao yaani iko hivi tembo wana seti sita za meno na kila seti ya meno hulika na Kung'oka wakati wa tembo akila majani, mfano seti ya kwanza ikilika na Kung'oka seti ya pili huchukua nafasi na ya pili nayo ikilika ya tatu huchukua nafasi hivyohivyo hadi seti ya sita ambayo ndiyo seti ya mwisho na hii seti ya sita ikishalika na Kung'oka hapo tembo hatokuwa tena na uwezo wa kula vyakula vigumu kama mizizi, magome ya miti wala majani magumu na badala yake tembo huamia katika maeneo owevu (Marsh area ) na kula nyasi laini ambazo hizi nyasi hazina uwezo virutubisho vya kutosha kwa tembo na baadaye tembo hufa kwa ugonjwa wa utapia mlo (malnutrition ).

Tembo huvuna majani kwa kutumia mkonga wake ambao umeundwa na zaidi ya misuli 1000 pia mkonga wa tembo una kazi nyingi kama kunywa maji, kupumua na kadhalika.

Licha ya kuwa mzito tembo ana uwezo wa kuogelea bila kuzama na ardhini tembo ana uwezo wa kukimbia takribani kilometers 40 kwa saa.

Hapa nchini Tanzania tembo wanapatikana karibia katika hifadhi zote lakini sehemu nzuri zaidi ya kuwaona hawa kwa kaskazini ni TARANGIRE NATIONAL PARK na kusini ni RUAHA NATIONAL PARK.
 
Jike la tembo pia ana matiti mawili Kama binadamu katikati ya miguu ya mbele na akiwa na mtoto kwa siku humnyonyesha takribani lita 120 kwa siku, lita 40 asubuhi, lita 40 mchana na lita 40 jioni jumla ni lita 120 za maziwa
 
Asante mkuu...anatoa litre nyingi za maziwa. Je yanaweza kufaa kwa matumizi ya binadamu?
 
Safi,umechambua vizuri,,,nimependa hapo manii yake ni lita TANO za ujazo, na mkonga wake una misuri elfu moja, ivi simba wana uwezo wakumuua tembo mkuu,,kama wanavyomuua nyati
 
Nasikia kuna tembo wa rangi tofauti
Hapana mkuu tembo wana rangi moja ila wakati mwingine huweza kubadilika rangi kutokana na tabia yao yard kujiwekea maji na matope (wallowing ) ili kupunguza joto katika miili yao wakati wa jua kali kwa sababu wao hawana nywele kama wanyama wengine wao ni hairless mammals na pia hii tabia ya wallowing hufanywa na wanyama wengine pia ambao hawana nywele katika miili yao kama mbogo (Buffalo ), faru (Rhino ) na hata ngiri (Warthog )
 
Back
Top Bottom