Mfahamu vyema mnyama Tembo (Elephant )

Mfahamu vyema mnyama Tembo (Elephant )

Meno ya tembo yanatumika kufanyia nini maana mbona wanauliwa kisa meno yao?
 
Meno ya tembo yanatumika kufanyia nini maana mbona wanauliwa kisa meno yao?
Meno yao hutumika kutengenezea daga pamoja na vitu vya urembo nchini Yemen ambavyo garama yake ni kubwa na kule nchini yemen mtu akiwa na daga iliyotengenezwa kwa malighafi ya meno huonekana kuwa ni mtu tajiri na huheshimika sana katika jamii but all in all we should protect our wildlife for future generations
 
nshu ya ukubwa hii hutokana na gene za mnyama husika.
ni kweli tembo wa ngorongoro na ruaha hawa huwa na maumbo makubwa kulinganisha na tembo wa maeneo mengine na huwa nasikia tembo wa mikumi huwa na umbo dogo zaidi kuliko wengine.
hata zamani kulikuwa na simba wakubwa ila walimalizwa kwa kuwindwa na jamii za kimasai kutokana na nshu ya kuwa Moran ni mpaka umuue simba dume.
Mkuu hapa kidogo uko wrong. Kwenye ishu ya simba wakubwa kupotezwa na uwindaji wa jamii za kimaasai na kuwa "ilikuwa" huwezi kuwa morani mpaka uue simba dume.

Ni kweli, idadi kubwa na specie nyingi za simba zilipotea kutokana na "trophy" hunting of the Big Five ambayo kea kipindi hicho mnyama aliekuwa "most prized trophy" alikuwa ni Sharubu/Simba. Kuhusiana na wamaasai kuwawinda, hii ilikuwa "sanasana" ni pale ambapo simba kavamia zizi na yeyote atakae rusha mkuki wa kwanza ndio anaepata heshima ya kupewa mkia wa simba. Ni mara chache sana ulifanyika uwindaji wa kukusudia/ule wa kwenda na kumuua simba. Na pamoja na uwindaji huo na ule wa kulinda dhidi ya mashumbulizi endelevu ya mifugo yao, sidhani kama ulikuwa ni kiasi cha kuwapunguza simba kwa idadi kubwa vile.
 
Mkuu hapa kidogo uko wrong. Kwenye ishu ya simba wakubwa kupotezwa na uwindaji wa jamii za kimaasai na kuwa "ilikuwa" huwezi kuwa morani mpaka uue simba dume.

Ni kweli, idadi kubwa na specie nyingi za simba zilipotea kutokana na "trophy" hunting of the Big Five ambayo kea kipindi hicho mnyama aliekuwa "most prized trophy" alikuwa ni Sharubu/Simba. Kuhusiana na wamaasai kuwawinda, hii ilikuwa "sanasana" ni pale ambapo simba kavamia zizi na yeyote atakae rusha mkuki wa kwanza ndio anaepata heshima ya kupewa mkia wa simba. Ni mara chache sana ulifanyika uwindaji wa kukusudia/ule wa kwenda na kumuua simba. Na pamoja na uwindaji huo na ule wa kulinda dhidi ya mashumbulizi endelevu ya mifugo yao, sidhani kama ulikuwa ni kiasi cha kuwapunguza simba kwa idadi kubwa vile.
nimekusoma mkuu.
nilikuwa nsha sahau kama ata huwa kuna nshu ya trophy hunting.
napenda tufahamu kwamba tofauti ya poaching na trophy hunting ni vibali tu japo vyote kwa pamoja ni threats kwa wanyama wetu japo wengine hudai eti trophy hunting ni njia moja wapo ya ku control ongezeko la idadi ya wanyama katika eneo husika.
 
Huyo ndiye tembo. Kama una swali lolote kuhusiana na tembo usisite kuuliza nami nitakujibu kama inavyotakiwa.
Mkuu nina plan kufanya project fulan kuhusiana na hawa viumbe naomba tuwasiliane jamaa yangu 0715365934.
 
nimekusoma mkuu.
nilikuwa nsha sahau kama ata huwa kuna nshu ya trophy.
Mfano mzuri (na m'baya tukiangalia madhara yake) wa trophy hunting ni hii kesi ya hivi majuzi kati ya 2015/2016 ile ya kuuliwa kwa simba Cecil yule aliekuwa iconic attraction ya Hwange National Park in Zimbabwe.

Cecil the Lion Died One Year Ago—Here's What's Happened Since

Sasa yule ni simba mmoja tu na ni kwa sababu tu ya umaarufu wake ndo dunia ilijua uovu wa the ongoing trophy hunting.

Ukisoma Wikipedia juu ya simba, utagundua kuwa ni aina nyingi sana za hawa wanyama haziko tena leo hii (wako EXTINCT) kutokana na influence ya wanadamu.
 
Huwa nachekaga pale viongozi wetu wa masuala ya rasilimali za kitalii wanaposema "tusipoangalia hawa wanyama wetu watatoweka kama Dinosaurs".

Sasa huwa nawaza, namna wanavyosema hivyo, wanasahau kuwa wako wanyama wa hivi karibuni tu ambao kutokana na "ulafi" wetu wanadamu wametoweka. Kwa sababu mifano (hiyo ya Dinosaurs) wanayotumia haiko relevant na ulimwengu au ekolojia ya leo. Na by the way, dinosaurs walitoweka by the forces of nature na sio influence ya wanadamu.
 
Mtoto wa TEMBO huacha kunyonya mara tu baada kuota pembe. Na hii ni kwa sababu mama Tembo huchomwa na kuumizwa pindi akimnyonyesha mtoto mwenye pembe.
 
mtaalam tukimaliza ya Tembo utupe na ya nyangumi maana kwa uzito(190t) aliokuwa nao anaweza akaja feri ghafla na kugeuka akayarusha maji yakafika mpaka magomeni na akaondoka kwa kasi ya bombadia....
Kina cha feri kinaweza kuwa kidogo kwake... . ..
 
Task zile ni meno ya mbele upande wa juu yaliyobadilika na kuwa katika mfumo wa pembe kwa kiswahili fasaha yale ni meno ya tembo na siyo pembe. Ukimwita tembo au ndovu ni sawa yote ni majina yake
Kuna tofauti mkuuuu.....
 
Daah safi sana hilo somo mkuu kila Wiki tupia ya mnyama mmoja mmoja tupate elimu adimu, hivi tembo anaweza kulala chini na nilikwenda Kule Manyara tukamuona kama alikua ana majimaji sikioni yanatoka polepole je nini yale maji au machozi ya hasira ??hebu nipe somo hapo mkuu
 
Back
Top Bottom