Naona amewapa pesa ili mpigie kampeni apate cheo ccm,tunawajuwa wote mliopewa pesa kwa taarifa yenu tunawajuahata mi binafsi namkubali sn huyu mama, kiukweli ni mchapakazi sana na wanamtwara wengi sana wameonyesha kumkubali.......kwa miaka ya karibuni hakuna sehemu ngumu kiutawala kama masasi na tandahimba kwa mkoa wa mtwara, lakini huyu mama kakubalika sehemu zote hizo!!!