Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,619
- 5,519
Churaana kipi cha ziada labda?
Churaana kipi cha ziada labda?
Mpuuzi wewe, acha dharau na kejeli kwa kinamama. Unataka kuniambia kati ya Mama yako au dada zako, hakuna hata mmoja ambaye maishani mwake amewahi kuwa nyumba ndogo ya mwanaume fulani!!!??.Tunajua alikuwa bibi mdogo wa mfalme wa Mshoga na mkuu wa sijui wilaya sijui mkoa hawezi kuwa mtetezi wa wananchi.Huyu ni mtawala atawatetea wananchi dhidi ya nani anyewaonea? Yeye ni sehemu ya anayewaonea,hii itakuwa contrary to nemo judex in causa sua.
Ila kumbuka tupo hapa tulipo kutokana na utawala wa ccm ktk Nchi hii, rushwa, wizi, ubadhirifu, mikataba mibovu, utapeli, uchafu na kila aina ya uovu.Mabavicha ndio wa kwanza kuomba cv za watu,jana mliomba cv nya Namia,leo mtu amewarahisihia kazi ili tu muweke kwa matumizi ya kunyuka baadae,mnaponda aliewaroga kafa
Alisimama Bega kwa Bega kuhakikisha walanguzi wa zao la korosho wanatokomezwa. Ili mkulima apate stahiki yake. Na hata ambao walikuwa wananufaika na walanguzi hao, walipojaribu kukwamisha jitihada zake, bila woga aliwashughulikia ili tu mkulima afaidike na jasho lake.
Kuna watu hawachagui aisee[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Your former chairman ndiyo anakula hii kitu??
Korosho bado ni sehemu ya siasa chafu za Mtwara? Kwanini the humble guy wa Lindi amuone threat?Nina mashaka makubwa huyu mama aidha akaukosa ukuu wa mkoa au akahamishwa Mtwara. Ametibua sana dili nyingi za mzee wa Ruangwa na hawa majamaa mawili makubwa ya wizara ya kilimo. Binafsi ningefurahi ningeweza walau kuongea hata kwa dakika moja kwa simu manake sipo Mtwara.
The constituent is covered ahalf by third parties.[emoji3] [emoji3]Kwa hiyo jimbo liko wazi na uchaguzi mdogo ruksa!
Kumbe nawe umeliona mkuu, huyu anayempromo sijui atakuwa mtoto wake au dada akeKwahiyo umekuja kumpigia debe la uwaziri?
Kuna nafasi zipo wazi mnaanzaga mdogo mdogo
Hongera
Kila hakikisha chako unalipwa kabisa
Kauli nyepesi hizo,ukiona mtu analaumu kufeli kwake kwa kusingizia wengine ujue ana matatizo makubwa sana.Ila kumbuka tupo hapa tulipo kutokana na utawala wa ccm ktk Nchi hii, rushwa, wizi, ubadhirifu, mikataba mibovu, utapeli, uchafu na kila aina ya uovu.
Siyo siasa chafu...korosho ni kichochoro cha viongozi wakubwa wa kisiasa wasiokuwa waadilifu kutumika vibaya na wafanyabiashara wakubwa wa pembejeo na wanunuzi wa korosho. Hili lipo wazi! Nina uhakika na hiki ninachokisema.Korosho bado ni sehemu ya siasa chafu za Mtwara? Kwanini the humble guy wa Lindi amuone threat?
Korosho zinalimwa na watu maskini sana. Ila wauzaji wake ni matajiri sana. Inasikitisha mnoSiyo siasa chafu...korosho ni kichochoro cha viongozi wakubwa wa kisiasa wasiokuwa waadilifu kutumika vibaya na wafanyabiashara wakubwa wa pembejeo na wanunuzi wa korosho. Hili lipo wazi! Nina uhakika na hiki ninachokisema.