residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,008
- 14,522
Sio kula,mpaka na matunda yamepatikana.Your former chairman ndiyo anakula hii kitu??
Sio kula,mpaka na matunda yamepatikana.Your former chairman ndiyo anakula hii kitu??
Provision of papuchi to the ritayadi hizi ekiselensi hedi of the stageJAMBO GANI LA AANA AMEFANYA HADI AKAPEWA UKUU WA WILAYA KABLA YA KUPANDA NGAZI NA KUWA MKUBWA WA MKOA
Sio kula,mpaka na matunda yamepatikana.
Kulipa kodi na hela ya mwengeKauli nyepesi hizo,ukiona mtu analaumu kufeli kwake kwa kusingizia wengine ujue ana matatizo makubwa sana.
Wewe umefanya jambo gani la kutukuka kulisaidia taifa lako?
Naona unataka dhahama ya mfalme wa Masoga ikuangukie
Ndio maana hatuwezi kuendelea kwa mtindo huuIyo huruma ipo wapi nipe namba yke ya cmu nahitaji PAPUCHI yke maana nimekwama kitambo sana
Mkuu unamaanisha mzee gani? Kwani anaye? Tule na bwana mkuu!!Mambo mengine msiweke hadharani, huoni utaleta shida kwenye familia yake, sasa mzee wake akijua dereva anamsaidia kazi unafikiri itakuwaje?
Kumbeeee!!! Kila nabii na zama zake.Tunajua alikuwa bibi mdogo wa mfalme wa Mshoga na mkuu wa sijui wilaya sijui mkoa hawezi kuwa mtetezi wa wananchi.Huyu ni mtawala atawatetea wananchi dhidi ya nani anyewaonea? Yeye ni sehemu ya anayewaonea,hii itakuwa contrary to nemo judex in causa sua.