UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Kwahiyo hapo hoja ni ipi ni kwamba tukubali tu kuchanjwa chanjo za corona kwa sababu tushachanjwa sana michanjo toka huko utotoni hivyo haina haja ya kuhofia usalama wa chanjo tena?''Chanjo hazifai" kisha mwilini mwako unazo kwa uchache 7,ee ndio sabaa.
Watoto kila leo wanachanjwa kadiri ya wanavyokua.
Kweli huu ni ushujaa.