tyc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,179
- 2,955
Kasomi,
Kama hii interview umeifanya wewe basi iko shallow kiukweli, kwa mtu wa hadhi ya Shigongo hapa nchini umeruka na kuacha kudadisi mambo mengi juu yake
Kwenye hii stori ameelezea kuacha kazi ya unesi na kwenda machimboni, ghafla stori ikarukia kwenye namna alivyopata elimu yake ya chuo na ikaishia hapo,,,,
Hujamuuliza alianzaje kufanya biashara mpaka kumiliki makampuni..!!
Hujamuuliza kwann aliacha machimbo na kukimbilia mjini kufanya biashara..!!
Hujamuuliza nn kimemsukuma kuingia ktk ubunge..!!
Hujamuuliza kuhusu deni lake alilokuwa akiidai CCM tangu 2015 akaambiwa na Bi Zakia Meghji anywe maji kwanza 😀, je alilipwa au ndio amefidiwa kwa kupitishwa ubunge 2020 baada ya kukatwa kwenye kura za maoni Dr Charles Tizeba...!??
Hujamuuliza kuhusu tetesi ya kwamba alishauza asilimia kubwa ya hisa zake za makampuni ya Global..!!
Kama alinyimwa kuingia Udsm kwann asiende vyuo vingne maana kila chuo kina qualifications tofauti
Na mengineyo mengi hata kuhusu family status yake
Kwa kifupi interview iko shallow tina tina
Kama hii interview umeifanya wewe basi iko shallow kiukweli, kwa mtu wa hadhi ya Shigongo hapa nchini umeruka na kuacha kudadisi mambo mengi juu yake
Kwenye hii stori ameelezea kuacha kazi ya unesi na kwenda machimboni, ghafla stori ikarukia kwenye namna alivyopata elimu yake ya chuo na ikaishia hapo,,,,
Hujamuuliza alianzaje kufanya biashara mpaka kumiliki makampuni..!!
Hujamuuliza kwann aliacha machimbo na kukimbilia mjini kufanya biashara..!!
Hujamuuliza nn kimemsukuma kuingia ktk ubunge..!!
Hujamuuliza kuhusu deni lake alilokuwa akiidai CCM tangu 2015 akaambiwa na Bi Zakia Meghji anywe maji kwanza 😀, je alilipwa au ndio amefidiwa kwa kupitishwa ubunge 2020 baada ya kukatwa kwenye kura za maoni Dr Charles Tizeba...!??
Hujamuuliza kuhusu tetesi ya kwamba alishauza asilimia kubwa ya hisa zake za makampuni ya Global..!!
Kama alinyimwa kuingia Udsm kwann asiende vyuo vingne maana kila chuo kina qualifications tofauti
Na mengineyo mengi hata kuhusu family status yake
Kwa kifupi interview iko shallow tina tina