4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,208
- 8,310
hahahahaaaaaHuyu kwa Barabara za Sasa angefika songea Saa 9:25alasiri
hahahahaaaaaHuyu kwa Barabara za Sasa angefika songea Saa 9:25alasiri
hahahaaaaYes mkuu hii Matema Beach Yes ilikua ni moto, pia kiswele route ya dar to songea hii bus nayo ilitamba sana, eti leo unatoka Dar saa 6am na unaingia tunduma 20:00hrs, si bora nipande baiskeli
Hamna kitu hapo. Masia ilishawahi ingia Mbeya saa saba mchana Dereva akakamatwa na kuwekwa lock upNa watu wanasifia sauli na dazu ya golden ati zinakimbia , huwa nachefuka sana
Adidas ya Tawfiq ilishwahi kukamatwa overspeed mpemba saa tisa alasiri , yani mwamba (almarhum mzee jamali )alikuwa nanaenda kuweka rekodi ya kuingia Tunduma saa tisa na robo
Wacha ww, Songea zamani kuingia saa kumi na moja ilikuwa kawaida sana, hapo mmetoka Dar saa kumi na mbili. Mind u kipimdi hicho hakukuwa na hizi tochi za 50, traffic wachache barabarani na magari hayakuwa mengi kama sasa, mizani ukipima Dar pale Ubungo mpka Makambako yaami njia ilikuwa ni nyeupe watu wanamwaga moto tu.Hakuna kitu cha namna hiyo usidanganywe! Labda kama alikuwa anaendesha helkopta! Basi likiondoka Dar saa 12 asubuhi linaingia Njombe saa 12 jioni, na toka Njombe hadi Songea ni masaa matatu na nusu hadi manne. Unamdanganya nani wewe!
Mbona lilikuwa linachelewa kiasi hiki, ulikuwa mkokoni huo maana mimi nilikuwa natoka na Scandinavia saa kumi na mbili asubuhi dodoma nafika Dar saa tano asubuhiGiriki alikuwa anapiga fimbo Superstar Dar- Dom ile enzi ya kuondoka saa 2 usiku saa 9 yupo Msimbazi stand
Dohhayajapita masaa 24 toka Tanzanite Bus ichinje watu 10 Singida, ambao bado hawajazikwa wala kutolewa kwenye mabati ya basi, tushasahau, tuko hapa tunawajaza upepo madereva wanaokwenda kasi wazidi kushindana.....
vichwa panzi vya abiria wa dunia ya tatu.... Foolishness distilled...
Hujawahi kusafiri miaka hiyo ni bora ukae kimya , kwa miaka hiyo basi njombe zilikuwa zinaingia saa sita mchanaHakuna kitu cha namna hiyo usidanganywe! Labda kama alikuwa anaendesha helkopta! Basi likiondoka Dar saa 12 asubuhi linaingia Njombe saa 12 jioni, na toka Njombe hadi Songea ni masaa matatu na nusu hadi manne. Unamdanganya nani wewe!
Lwambo marehemu umenikumbusha mbali sana... Alikuwa akiingia Morogoro msamvu watu wanalala zig zag anawakwepa wote halafu huyooo... Huku wanashangalia Rwambo RwamboOkalla na Yoge wa Kiswele walikuwa wanatoka Dar saa 12 asubuhi na kufika Songea saa 11 jioni
Kadhalika John Africa na Mapunda wa Special couch
Sasa mchizi Rwambo wa Kiswele alikuwa anaingia saa 9:45
Hujawahi kusafiri miaka hiyo ni bora ukae kimya , kwa miaka hiyo basi njombe zilikuwa zinaingia saa sita mchana
Miaka ya 2012 hapa BUDGET ilikuwa inatoka Njombe saa 0600 inafika Ubungo saa 1530.Hakuna kitu cha namna hiyo usidanganywe! Labda kama alikuwa anaendesha helkopta! Basi likiondoka Dar saa 12 asubuhi linaingia Njombe saa 12 jioni, na toka Njombe hadi Songea ni masaa matatu na nusu hadi manne. Unamdanganya nani wewe!
SEMA wakati huo hamna folen Dar-kibahaMiaka ya karibuni walioweza kidogo kuurudisha ule moto walikuwa Nganga, Happy Nation na Majinjah...
Wateja wakubwa walikuwa wafanyabiasha na madavoo wa IT, hapo raia wanawaishwa kuja kufunga mzigo K'koo kesho yake wageuze chap...
Nishawahi kupanda Happy Nation, toka Mbeya na ikafika Dar saa kumi kasoro jioni...(hii ni 2000 mwanzo hapo)...
Ulokuwepo wewee? Au ulisikia wa kutegesha sikio wajomba zako wakipiga zogo na kufurahisha Baraza?Bila kuisahau special coach
Nimegundua kitu. Huu uzi ni mzito sana kwa watoto wa 90's na wenzao wa 2000's.Okalla na Yoge wa Kiswele walikuwa wanatoka Dar saa 12 asubuhi na kufika Songea saa 11 jioni
Kadhalika John Africa na Mapunda wa Special couch
Sasa mchizi Rwambo wa Kiswele alikuwa anaingia saa 9:45
Special coach wakati anachuana na Kiswele mimi tayari nimeshaanza kuishi na dada yakoUlokuwepo wewee? Au ulisikia wa kutegesha sikio wajomba zako wakipiga zogo na kufurahisha Baraza?