Mfahamu daktari wa kwanza duniani "Hippocrites"

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
416
1,483
Jina lake ni Hippocrates. Alizaliwa mwaka 460 AD Ugiriki.

Kabla ya huyu mwamba matibabu kwa wanadamu ilikuwa changamoto. Ilikuwa ukiumwa, unatibiwa na waganga wa kienyeji bila utaratibu mzuri.

Hawa waganga walikuwa hawana heshima kwa wagonjwa na walisababisha wagonjwa wengi kufa.

Ikitokea Mgonjwa yuko Mahututi, who walikuwa wanamuacha ajifie tu.

Huyu bwana Hippocrates ndiyo akaanzisha utaratibu na kanuni za Utabibu.

Kutokana na waganga kutowajali wagonjwa, Hippocrates akaamuru kwamba kila mganga anaejihusisha na matibabu lazima aape.

Sio hilo tu, alisema kila MTU anaetaka huduma ya Uganga lazima apate elimu hiyo kwanza.

Kwa kifupi bwana Hippocrates ndiyo baba wa madaktari. Ndiyo maana madaktari baada ya kuhitimu wanakula kiapo kinachoitwa "Hippocrates Oath"
 
Jina lake ni Hippocrates. Alizaliwa mwaka 460 AD Ugiriki.

Kabla ya huyu mwamba matibabu kwa wanadamu ilikuwa changamoto. Ilikuwa ukiumwa, unatibiwa na waganga wa kienyeji bila utaratibu mnzuri.

Hawa waganga walikuwa hawana heshima kwa wagonjwa na walisababisha wagonjwa wengi kufa.

Ikitokea Mgonjwa yuko Mahututi, who walikuwa wanamuacha ajifie tu.

Huyu bwana Hippocrates ndiyo akaanzisha utaratibu na kanuni za Utabibu.

Kutokana na waganga kutowajali wagonjwa, Hippocrates akaamuru kwamba kila mganga anaejihusisha na matibabu lazima aape kwamba.

Sio hilo tu, alisema kila MTU anaetaka huduma ya Uganga lazima apate elimu hiyo kwanza.

Kwa kifupi bwana Hippocrates ndiyo baba wa madaktari. Ndiyo maana madaktari baada ya kuhitimu wanakula kiapo kinachoitwa "Hippocrates Oath"
Afrika tunae Imhotep
 
Jina lake ni Hippocrates. Alizaliwa mwaka 460 AD Ugiriki.

Kabla ya huyu mwamba matibabu kwa wanadamu ilikuwa changamoto. Ilikuwa ukiumwa, unatibiwa na waganga wa kienyeji bila utaratibu mzuri.

Hawa waganga walikuwa hawana heshima kwa wagonjwa na walisababisha wagonjwa wengi kufa.

Ikitokea Mgonjwa yuko Mahututi, who walikuwa wanamuacha ajifie tu.

Huyu bwana Hippocrates ndiyo akaanzisha utaratibu na kanuni za Utabibu.

Kutokana na waganga kutowajali wagonjwa, Hippocrates akaamuru kwamba kila mganga anaejihusisha na matibabu lazima aape.

Sio hilo tu, alisema kila MTU anaetaka huduma ya Uganga lazima apate elimu hiyo kwanza.

Kwa kifupi bwana Hippocrates ndiyo baba wa madaktari. Ndiyo maana madaktari baada ya kuhitimu wanakula kiapo kinachoitwa "Hippocrates Oath"
sio kweli, hizo ni maktaba zao ndo zinasema hivyo, mi historia yangu niliyo isoma, inasema uganda walikuwa wanafanya matibabu tena vizuri kabisa, na ikafika mbali zaidi hadi operation za wajawazito walioshindwa kwa njia ya kawaida walifanya,, na hata kipindi ukoloni unaingia Afrika walikuta huo utaratibu.....

hivyo mtazamo wangu mimi nakuona wewe muongo...
 
Screenshot_20240504-165854_Chrome.jpg
 
Jina lake ni Hippocrates. Alizaliwa mwaka 460 AD Ugiriki.

Kabla ya huyu mwamba matibabu kwa wanadamu ilikuwa changamoto. Ilikuwa ukiumwa, unatibiwa na waganga wa kienyeji bila utaratibu mzuri.

Hawa waganga walikuwa hawana heshima kwa wagonjwa na walisababisha wagonjwa wengi kufa.

Ikitokea Mgonjwa yuko Mahututi, who walikuwa wanamuacha ajifie tu.

Huyu bwana Hippocrates ndiyo akaanzisha utaratibu na kanuni za Utabibu.

Kutokana na waganga kutowajali wagonjwa, Hippocrates akaamuru kwamba kila mganga anaejihusisha na matibabu lazima aape.

Sio hilo tu, alisema kila MTU anaetaka huduma ya Uganga lazima apate elimu hiyo kwanza.

Kwa kifupi bwana Hippocrates ndiyo baba wa madaktari. Ndiyo maana madaktari baada ya kuhitimu wanakula kiapo kinachoitwa "Hippocrates Oath"
Picha please
 
Back
Top Bottom