LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
Leo kabla ya kuondolewa kihuni kaletewa 400 mil
Sijawahi kuua hata panya , bali wauaji ni wale waliomnyonga Lwajabe na kumvisha shati jipya na kumtundika mkuranga , cha ajabu taarifa badala itolewe na RPC wa Pwani ikatolewa na RPC wa DSM !Wewe una roho ya uuwaji ndani yako siyo bure!
Madiwani waliochaguliwa kuwakilisha wananchi ndio wamepiga kura, ili meya ag'olewe sasa hayo mengine yanatoka wapi?
Weka kifungu cha sheria hapa kinachohalalisha hayo...Bwashee akidi ilitimia ambayo ni wajumbe 17
Inapopigwa kura kinachoangaliwa ni wingi wa kura siyo akidi.
Chadema kama walikuwemo ukumbini basi huo uamuzi ni halali meku.
Lakini ni uamuzi usio na tija masna hata huyu Meya wa Dar aliyeingilia dirishani anaogopa kuwazuia mwendokasi kujaza abiria kupita kiasi ili kuidhibiti Corona!
Nikupie million Mia unipe tigoUkatae milioni 200 wakati mnakula woh woh!! msitutanie
Hakuna wa kumpa hiyo hela acheni porojo za kahawani hiyo hela ni while tayari pia ukiongezea kamahiyo nikituo cha afya ati
Baba yako hana? Anayo bana mpe buku mbili akupe upige kilasaa dogo... uta livu iti lavu iti!!Nikupie million Mia unipe tigo
Mbona tunatajana tena?Magonjwa...
Pale shetani anapojifanya ana akiliKwahiyo hayo madaraja ya Pawaga ndio yatajengwa sasa.
Na Watalii wataanza kuja Ruaha national parks?!!
Tanzania tufanye Nini ili tuwe na siasa ambazo wananchi ndio tataamua mshindi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe?Kwahiyo hayo madaraja ya Pawaga ndio yatajengwa sasa.
Na Watalii wataanza kuja Ruaha national parks?!!
Dar kuna meya kaingilia dirishani?Bwashee akidi ilitimia ambayo ni wajumbe 17
Inapopigwa kura kinachoangaliwa ni wingi wa kura siyo akidi.
Chadema kama walikuwemo ukumbini basi huo uamuzi ni halali meku.
Lakini ni uamuzi usio na tija masna hata huyu Meya wa Dar aliyeingilia dirishani anaogopa kuwazuia mwendokasi kujaza abiria kupita kiasi ili kuidhibiti Corona!