Kasome kanuni kwanza ndio uje ulete mjadala ukiwa atleast una ABC
Akidi ya Kikao cha kwanza na cha pili zinatofautiana
Akidi ya kikao cha kwanza ni 2/3 ya Wajumbe wote wa baraza la Madiwani
Akidi ya kikao cha pili baada ya cha kwanza kuahirishwa kwa kukosa akidi huwa ni 2/3 ya waliojudhuria na kupiga kura kanuni ya 9(4)
Kama hujaelewa uliza lingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Akidi ya Kikao cha kwanza na cha pili zinatofautiana
Akidi ya kikao cha kwanza ni 2/3 ya Wajumbe wote wa baraza la Madiwani
Akidi ya kikao cha pili baada ya cha kwanza kuahirishwa kwa kukosa akidi huwa ni 2/3 ya waliojudhuria na kupiga kura kanuni ya 9(4)
Kama hujaelewa uliza lingine
Kama itakupendeza ungeelewa kwanza nilichouliza naona umekurupuka sina shida na kuondolewa au kutoondolewa nimeuliza 2/3 ya 26 ni 14?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app