Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 8,367
- 10,396
Dah mkuu mimi hata sikuelewi kwa kweli🤣Nawauliza kuwa hili ndo kombe lake la mwisho la Dunia kushiriki?
Maana naona jamaa hashikiki,
Wala pia hagusiki,
Ronaldo ana dhiki,
Ana maneno lukiki,
Kama Chris Mauki.