Mjomba Malume
JF-Expert Member
- Apr 8, 2025
- 903
- 1,317
Aisee huyu jamaa ameshindikana!
Lionel Messi leo ameandika historia mpya baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kabisa kufunga kwenye mechi 7 mfululizo za World Cup.
Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na:
🇫🇷 Just Fontaine — Ufaransa (1958)
🇧🇷 Jairzinho — Brazil (1970)
Wote walikuwa wamefunga kwenye mechi 6 mfululizo pekee.
Messi alianza mfululizo wake kwenye World Cup 2022 dhidi ya:
âš½ Australia
âš½ Netherlands
âš½ Croatia
âš½ France (magoli 2)
Kisha akaendelea World Cup 2026 dhidi ya:
âš½ Algeria (hat-trick)
âš½ Austria (magoli 2)
âš½ Jordan
Lionel Messi leo ameandika historia mpya baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kabisa kufunga kwenye mechi 7 mfululizo za World Cup.
Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na:
🇫🇷 Just Fontaine — Ufaransa (1958)
🇧🇷 Jairzinho — Brazil (1970)
Wote walikuwa wamefunga kwenye mechi 6 mfululizo pekee.
Messi alianza mfululizo wake kwenye World Cup 2022 dhidi ya:
âš½ Australia
âš½ Netherlands
âš½ Croatia
âš½ France (magoli 2)
Kisha akaendelea World Cup 2026 dhidi ya:
âš½ Algeria (hat-trick)
âš½ Austria (magoli 2)
âš½ Jordan