Maxence melo na mwenzako mike kwa kutuletea jf merry xmass and happy new year
Wana chitchat wote nyinyi maisha yenu hayana stress kwani kuwako chit chat stress mnaziondoa kabisa merry xmass and happy new year
Wazee wa mmu na love connect huko najua story kubwa ni za kungonoka tu merry xmass kwenu kwani nnajua topic zenu ni hot kuna waliolowanicha pichu kwa topic zenu na waliovimbisha pichu kwa topic zenu hongereni sana
Vile vile napenda kutoa merry xmass kwa wazee wa jukwa a siasa kina tuntemeke, mzee mwanakijii , le mutuz, mzito wa kabwela, ritz, rejao ma wengine na waliopotea kama kina hutaki unaacha najua nyinyi mna uchungu sama wa nchi hii mnajitajidi kukemea maovu japokuwa wengine ndio nitoke vipi yao ila merry xmass and happy new year see you soon 2013
Napenda kutoa merry xmass and happy new year kwa wazee wa biashara na ujasiliamali kina lat, entreprenuer na wenzako wote michango yenu ilikuwa ya maana na kilichozungumziwa kule naamini kitakuwa chachu na maendeleo kwa taifa letu
Wazee wa stress , wazee aa bahasha za kaki, wazee a kukaa posta, wazee wa mishe mishe JUKWAA LA KAZI JA TENDA msikonde wanangu 2013 kitaeleweka tu merry xmass and happy new year kwenu
Wazee wa kushindanisha vyuo mpooo JF EDUCATION merry xmass wazee pigeni msuli life kitaa ngumu sio mnakaa kuingia jf tu
Wazee wa m iq yao wachawi wa kompyuta GADGETS AND TECHNOLOGY merry xmass wakuu naamini hapa tutampata the next ALI MUFURUKI
Wazee wa ushauri wa kitaabibu JF DOCTORS merry xmass and happy new year ila tafandali naomb 2013 msigome plizzzzz
Wazee wa Law merry xmass and happy new year ila wakuu ni nini najuamna kesi nyingi mahakamani ila jaribuni basi kuja mara moja moja kwa jukwaa lenu linapwaya sana siku hizi. Ni hayo mwanawane
wazee wa picha kina mbuzi mzee na wenzako merry xmass and happy new year ni furaha sana kuwa na kina nyie jukwaani hapa
GUEST MEMBERS WOTE merry xmass and happy new year ila next time jisajilini bwana sio mnakaa tu kuchungulia chungulia na kuondoka tunataka na mawazo yenu
Wazee wa INTELLIJENSIA NA IQ hawa jamaa humj nawaheshimu sana na maada zao aisee merry xmass sana na happy new year 2013 tuemdeleze gurudumu hili hili la kujuzama
Wazee wa kupanda ndege, wazee wa kusikiliza bbc, cnn, wazee wa news za serious ishuzi mkiwemo na ma diaspora
INTERNATIONAL FORUMS merry xmass and happy new year
Sasa naomba niwape salamu za xmass wale wote ambao tuliwahi kukwaruzana nao kwa namna moja au nyingine maybe
1.mada yangu haikuwapendeza
2. Post yangu au comment iliwachukiza
3. Tulikwaruzana kwa kurushiana maneno
Ambapo mpaka ukafikia steji ya kunikasirikia napenda kusema SAMAHANINI SANA NA MERRY XMASS AND HAPPY NEW YEAR