Merry Christmas and Happy, prosperous New Year 2013

Merry Christmas and Happy, prosperous New Year 2013

Pamoja na kubaki dakika kidogo kuifurahia sikukuu ya Merry Christmas & hata mwaka mpya 2013,

Kibinafsi kabisa nina furahja kubwa ya kuona tena member wenzangu tu pamoja tena katika hali tulionao wajamen!
Sina mengi ya kusema zaidi ya furaha ya kipekee toka kwangu mjue ya kwamba member wenzangu ninawapenda!
Wale wenzangu na mimi ambao muda huu mko Kanisani kama Mimi hakika nawaambieni ya kwamba nawapenda na ninawadhamini kama mnavyonidhamini.
Sitawataja wengi maana naamini mpo ila nitawaja hawa wachache kwa niaba ya wote;

Mzee wa Rula
Mamzalendo
Yericko Nyerere
Filipo
Arushaone
Mungi
Crashwise
Jackbauer
Nanyaro Ephata
Ben Saanane
Exaud Mamuya
Thomas Odera
sweetlady
Ringo Edmund
Chitemo
IGWE
Idimulwa
Ubungo
PakaJimmy

Na wengine wengi ambao tu pamoja katika jukwaa letu la Siasa hakika ninawakubali na ninawapenda na hata kuwa takieni kila la Kheri tunapoiacha mwaka 2012 na hata kuukaribisha 2013,MUNGU pekee akatutangulie na hata tufikie malengo yetu!

Sina mengi zaidi ya kuwatakieni kila la Kheri na hata MUNGU pekee atuvushe zaidi na zaidi!
 
Mkuu LiverpoolFC nashukuru sana kwa salam zako za upendo... nami naomba nikutakie heri na fanaka ktk mwelekeo wa sikuu za funga na anza mwaka. Naomba lift kwenye thread yako nami niwatakie members wenzangu wa jukwaa hili majukwaa mengine na guests.
 
Last edited by a moderator:
likewise back to you and .thanx fo the wishes.on behalf nawakilisha rest of jf pannel for thanx given.
 
WanaJf, 2012, ndo hiyo imeyoyoma, kwa ufupi sana, nawaombeni kuexpress your sincere heart felt appreciation kwa member yeyote wa Jf kwa jambo lolote, liwe ushauri, utani, mapenzi, siasa, elimu nk ambalo unadhani kwa 2012 limekufanya umkumbuke daima

Naomba nianze na hawa hapa wengine watafuatia. Kheri ya sikukuu kwa Jf members niliowataja na wote watakaopita hapa.
1. Preta (mamsapu)
2. FP
3. MziziMkavu
4. King'asti
5. watu8
6. platozoom
7. AshaDii
8. snowhite
9. The Boss
10. Madame B


Asante ...merry x mass na wewe pia..
 
Shukrani sana mtani wangu moto2012 tuzidi kumwomba Mungu atujalaalie uzima tuuone mwaka mpya.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
kila la kheri mkuu!nakutakia uadhimishaji mwema wa siku hii adhim ya NOELI na maandalizi mema ya mwaka mpya.
mungu aendelee kukupa moyo wa upendo
 
Nami pia pamoja na familia yangu nikutakie wewe na familia yako pamoja na wajumbe wote wa jamiiforums kila la kheri wakati huu wa sikukuu ya noeli na mwaka mpya bila kusahau wageni wetu wote.
 
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa yote, nasi twakutakia X mas njema pamoja na wana JF wote.
 
Kheri ya sikukuu ya Noeli na ya mwaka 2013 kwa WANAJF wote, mwaka ujao uwe wa ukombozi zaidi.Rab atubariki.
 
Helo JF Family.
Wish you all a Merry Xmas and Happy New Year. May 2013 be such a thunderous Year in terms of new ideas that will go all the way to make our society prosper.Happy New Year!
 
heeeee, baada ya x-mas hatutaonana? mbona umeunganisha na new year,,,, au ndo mazoea tu
dont mind bwana just a joke
 
Haya tena wanajamvi wenzangu sikukuu ya NOELI ndiyo hivyo imetutupa mkono pamoja na hatujaacha kusikia mengi ya hapa ila hakika yunamshukuru Mwenyenzi MUNGU katika haya yote. Kibinafsi kabisa pamoja na ndg,,,,,,jamaa,,,,,,,na hata marafiki tuna sababu ya kipekee ya kumshukuru mola wetu,,,,,,,,,,,,,hata na yote tuna sababu ya kumtukuza na atuvushe mwaka 2012 na hata tuuone tena mwaka 2013 tukiwa na afya njema kama leo tena!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom