Hapa kuna two pictures, moja ni big picture na nyingine ni small picture,
1. Small picture Meremeta ni mali ya jeshi la wananchi, lakini wananchi haturuhusiwi na sheria kuiulizia ingawa ni jeshi letu wananchi kama jina linavyojisema.
2. Ni nani waliohusika na kuianzisha, this is the big picture ambayo wote hapa tunai-overstep, kwa sababu ni kwenye hiki kipengere ndio utapata the whole truth na nothing but the truth ya mafisadi walioko behind hii deal na deal yenyewe kwa ujumla,
Kwa sababu mmoja wa wahusika wa hii deal nimewahi kumuona huko Majuu akikutana na wazungu flani kwa siri katika Hoteli moja karibu na Airport kuhusiana na hii deal,
3. Haya maneno ya Pinda ni moja ya matokeo ya kwenda kwa mkapa kwenye NEC majuzi, sio siri hilo tunajua tena wazi, sasa pinda aliyosema amesema, lakini haina maana kuwa ndio mwisho wetu wananchi kufuatilia kwa undani na makini, wao wenyewe serikali ndio wanatupa sababu ya kuwafuatilia kwa karibu halafu tukitoa dataz wanakaripiana huko ma-corridor ya Ikulu, dawa ni ile ile kuendelea kuwapigia kengele,
Halafu kuna wengine hapa forum mnajua vizuri sana kuhusu hii deal kwa sababu baba zenu wamehusika sasa kuweni wazalendo na wakweli mseme, sio kutuhadaa hapa ana maneno ya kumsingizia pinda, ni baba zeni ndio wamemshinikiza pinda kusema huu ujinga, sasa jitokezeni hapa mseme ukweli wakiwa viongoziw engine wasiowahusu mnakuwa na maneno mengi, sasa hapa baba zenu ndio hasa wanaohusika na hii Meremeta jitokezeni sasa!
It is about time sasa tukaanza kuita the spade for what it is yaani the spade! Mushi unasikia hii!
Ahsante Wakuu! na Hii ni Sauti Ya Umeme Wazee wa radio Station ya FMES
Mkuu nimekupata!
Pinda na yeye nilishasema aliwekwa makusudi kuja kupindisha haki ya MTANZANIA KWANI NI USALAMA WA MAFISADI TOKA ENZI ZA MWALIMU.
Huko msalani wanakokwenda Kichwangumu na wenzake kweli foleni inaweza kuwa kubwa!
Habari hii ya PINDA hata haiweleweki kabisa.
Hii NOMA FMES TUTAPAMBANA!
TUNATAKA KUONA HIZO DOCUMENTS ZA MEREMETA NA ILI TUWEZE KUONA KAMA NI JESHI LINAIMILIKI AMA NI BAADHI YA WANAJESHI WALIOJIKITA KWENYE UFISADI KWA KUSHIRIKIANA NA MKAPA ILI HATA NOMA IKITOKEA WADAI NI SIRI YA JESHI.
HALAFU WATU WAKIITWA MAFIOSO WANACHUKIA!
Na sasa ni wazi jeshi limegawanyika kama nilivyosema!
Hatutaki mwavuli wa "JESHI"
Tunataka kujua ni wanajeshi gani hao walioshirikiana na MKAPA!
Huyo ndugu anayejiita MZALENDO NI MZALENDO WA TANZANIA AMA ZAIRE NA UFARANSA?
Maana hata jeshi letu naona lishaingiliwa na ni haki likigawanyika na kama mbaya mi naona acha iwe mbaya tuu!
Kwani hakuna HISTORIA YA DUNIA INAYOONYESHA KUNA UHURU ULIOWAHAI KUPATIKANA BURE!
Huyu bwana anajua kiswahili lakini ni wazi alianza kwa kujidai hakijui vizuri.
Mpango mzima wa changa la macho ni kwamba waliamuwa kununua rada na mauchafu mengine wakijidai kuwa ni kwasababu nchi majirani za KENYA NA UGANDA nazo zilkuwa zikijaihami kijeshi kwa kuwatumia wamarekani na wakenya na huku wakiwa hawatupi kitu chochote!
Kwamba waliwapa sapoti wachina na magharibi wakawakumbatia Museveni na Kenya na hivyo wakaamua kujimilikisha migodi yetu ili wapate pesa za kununua silaha za kutulinda wadanganyika!
SASA TOKA LINI JESHI LINA HAJA YA KUMILIKI MIGODI YETU KAMA TATIZO NI PESA?
KWANI MAHITAJI YA JESHI YALAZIMISHA VIPI WAO KUMILIKI MIGODI?
WIZARA YA ULINZI NA USALAMA HUWAPA NINI JESHI?
Niliposema mchina na mmarekani wanagombea DUNIA MKABISHA.
Lakini hata hivyo meremeta si simply ya jeshi!
Bali inawezekana ni ya wanajeshi mafisadi walioamua kushirikishwa na genge la wanamtandao wakiongozwa na MKAPA!
WE WANT OUR COUNTRY BACK AND TO HELL WITH MAFISADI!
EITHER WANAJESHI AMA RAIA WHO GIVES A DAMN?
KUMBE NDIO MAANA WAKAANZA KUNIAMBIA NATAKA DAMU IMWAGIKE!
KUMBE NI KWASABABU WALIKUWA WAKI IMPLY KUWA MANENO YANGU NI YA KUPINGANA NA WANAJESHI FLANI FLANI MAFISADI AMBAO WAKO RADHI KULIGAWA JESHI NA TAIFA KWANI MIGODI WANAMILIKI WAO HUKU WAKIJIDAI NI JESHI ZIMA!
HAKUNA ANYTHING AS SUCH AS HII NI MALI YA JESHI!
NANI WENYE SHARES HUMO?
HUU NI WAKATI MPYA WA KIZAZI KIPYA NA KAULI KAMA HIZI ZITASABABISHA WATU WAANZE KUCHOMANA MOTO!