....hii nchi inashangaza yaani ktk ulimwengu huu bado uwezo wa jeshi letu linafichwa!hawawezi kuficha maana ni rahisi kujua aina za silaha na nyezo zake zote zilizokuja Tanzania kupitia mashirika ya kimataifa.Hivyo suala kuwa ni mambo ya usalama linatumika kuficha kitu na hii ndio kawaida yetu........hapo kuna uwizi tu...
CCM inalitumia Jeshi ili kufanya ufisadi ambao hauwezi kuwa audited
Hahahaha mkuu BAK kila utawala unakula kwa namna yake, utawala huu manunuzi mengi hayafati taratibu,ni mwendo wa order tu. Ukikumbushia kivuko usisahau na nyumba za serikali watu waliwapa mpaka vimada wao.
Hivi ni lini baba jesca atafukua makabauri haya ya Meremeta,Tanggold,Deepgreen finance,Richmond..?
hahahahaha umeua mkuu, hakuna ambaye angesalimika ktk kile chama cha kijaniMajizi yote haya Mkuu. Hili jizi jingine wamelilinda ndani ya Serikali hadi wakalisukumizia Ikulu. Kule China haya majizi na mafisadi yanachapwa shaba tu. Imagine tungekuwa na utaratibu huu hapa nchini, MACCM kusingebaki jizi hata moja na ungekuwa mwisho wa haya majizi kuinajisi Ikulu kwa miaka nenda miaka rudi sasa.
Hawa watu hawaaminiki,huyu mzee aliwahi kuthibitisha chini ya kiapo maria kejo alimpa rushwa ya milioni mia mbili au saba hivi kama kumbukumbu zangu ziko sahihi ili aridhie mkataba wa IPTL. Kumbe naye mpigaji tuI trusted Ruttabanzibwa...sana kumbe naye yumo. he has to win back my trust by clearing all these allegations around him.
Thubutu! CCM ni wale wale! Sema ukiwa ndani wewe ni mwizi mtakatifu, mkabila mzuri na mwenye upendo nk kama anavyoainisha Pascal Mayalla!Hahahaha mkuu BAK kila utawala unakula kwa namna yake, utawala huu manunuzi mengi hayafati taratibu,ni mwendo wa order tu. Ukikumbushia kivuko usisahau na nyumba za serikali watu waliwapa mpaka vimada wao.
Hivi ni lini baba jesca atafukua makabauri haya ya Meremeta,Tanggold,Deepgreen finance,Richmond..?
Leo hii mnalia mnadai mmemmiss! Makamanda banaHata kukutana na Watanzania hataki! Anajua watu wana maswali kibao kuhusiana na tuhuma mbali mbali za wizi, rushwa na ubadhirifu ndani ya siri kali, na akitoa majibu yake ya kisanii wanaweza pia kumzomea! Mtawakimbia Watanzania mpaka lini!?
Leo hii Dr. Slaa ni takataka na mla mihogo. Bavicha kwa kweli mnaogopesha..in my other posting niliuliza isije kuwa Dr.Slaa ameibuka na mafaili asiyopaswa kuwa nayo. wasije tu wakambana kama walivyombana Seif Sharrif Hamad.
..upande mwingine inawezekana kuna ulaji,wizi,jinai imetokea katika hiyo account ya meremeta. sasa kumbana Dr.Slaa itakuwa ni kumuumiza mtu mwenye nia njema na taifa letu.
..CCM wanaweza kuamua kuuchuna kuhusu Buzwagi, wakangangana na hili suala la account za Meremeta kwamba ni suala la Usalama.
Ila leo mnajiliza kwamba mmemmiss! Bavicha aisee!!Kama kawa ni lazima nitaibukia popote kwenye hii mijadala.
Ni wazi kuwa kuna wengi tunashare mawazo lakini approaching ni well.... Tofauti.
Na ndio maana threads zangu zote zinaanza kumake sense sasa hivi na wengi hawayapuuzii mawazo yangu kama walivyokuwa wakifanya kabla.
Nilishasema kuwaweka mafisadi LUPANGO kutaliponya TAIFA kwani issue kuwa wanahatarisha usalama wa taifa kwa kuligawa nilishaiweka wazi toka siku ya kwanza nillipogundua mbinu hizi na mikakati ya kusafishana machoni pa watanzania kwa kuanzia na ziara zao za vijijini!
Sasa Kikwete ni kiongozi gani huyu?
PINDA MTU WA ROZARI...WALIMTUMIA ILI KUWAHADAA WANANCHI ILI TUSIKILIZE PUMBA ZAO KWA KUPITIA KWAKE!
Tatizo ni kwamba hata chinga wenyewe sasa wanajuwa mateso yao yamesababishwa na nani...Pia wanajua wanapigwa bao kwani USHAHIDI WOTE UKO NJE NJE!
Watanzania wenzangu, the moment of the truth for the future of our country is NOW and we should not leave this momentum slip away. Let's keep the same pressure to this corrupt government.
Leo hii Dr. Slaa ni takataka na mla mihogo. Bavicha kwa kweli mnaogopesha
l
Kuna similarities nyingi sana kati ya ZANU PF na CCM. Wakati JK anajifanya kumkemea Mugabe na chama chake, CCM na JK wanayafanya yale yale ambayo yameifikisha pabaya Zimbabwe. Kweli nyani haoni......
..nadhani huko aliko Dr.Slaa anamshukuru MUNGU.
..siasa zetu zimeingiliwa na watu MAKATILI.
..kama Tundu Lissu kashambuliwa kwa smg, nadhani Dr.Slaa yeye angeshambuliwa kwa makombora ya katyusha.